Maisha ni magumu aisee

Maisha ni magumu aisee

The Initiator huru

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2017
Posts
1,993
Reaction score
2,635
Maisha ni magumu sana aisee, huwezi amini mm nimeamka leo nina 2000/= tuu, nauli mpaka job 400, so nimebakiwa na buku na mia sita (1600) Jioni sijui nitafanyaje, sijanywa hata chai na mchana sijui nitafanyaje. Anyways tuendelee kupambana.

Na sisi one day yes
 
Kazini ni ofisi za kuzubiri mshahara au mishemishe unaweza pata au kukosa?

Mkuu kikubwa tupambane tu. Sometimes tunakosa kabisa, but atleast we did our best. Tujitahidi tupate cha kujitetea mbele za watoto na wajukuu zetu.
 
Yaani wewe leo kuamka na 2,000 unaanza kulia lia? Ulizia wenzio mara ya mwisho kuamka na 2,000 ilikuwa lini?
 
Back
Top Bottom