Maisha ni magumu lakini sio kukimbia familia (Damu Yako)

Maisha ni magumu lakini sio kukimbia familia (Damu Yako)

Dalali wa mjini

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2024
Posts
326
Reaction score
464
Habari wakuu wangu.

Hapa mtaani kwangu Bana Kuna jamaa kakimbia watoto wake wawili pamoja na mama mtoto wake.

Kwa Sasa namuona dada anapitia hali mbaya Sana ya kiakili.

Wee jamaa kama upo humu umezingua Sana unaacha vipi watoto wako? ni afadhali ungewaaga Tu Kwamba unaenda kutafuta Maisha.

Au ungempeleka mwanamke kwako tu Mzee wangu.
 
Jamaa dhaifu uyo ,hata yeyote anae kataa mimba anayo jua n yake ni dhaifu tu
 
kwa resaerch zangu binafi kwanzia mwaka 1990+ tumekua na kizazi dhaifu sana cha wanaume

hawawezi kusimama kama wanaume ,hawawezi kuface changamoto kiume wanafanya blunders chungu mzima


Umesahau kuwa hicho kizazi ni kizazi cha haki za mama na mtoto .

Ambapo haki za mtoto zimemezwa na mama

Kizazi ambacho baba wa kipato cha chini akiacha Sh. 200K za kununua mahitaji ya watoto mama anachukua 150K ananua simu na akiulizwa wanatokea akina wanaume na wanawake wenye mamlaka na pesa nyingi na kumshambulia mwanaume na kumdhalilisha kuwa 150k sio pesa bila kujali uwezo wake

Kizazi ambacho Mwanamke akipata pesa ni za vikoba na kununua vijora.

Kizazi chenye wanawake wengi masingle Mother wenye pesa na kazi na biashara bora kuliko waalioko kwenye ndoa .

Kizazi ambacho mama anaona kuwa simu na bandle ni muhimu kuliko maandazi na chai ya watoto asubuhi .

Kizazi hiki kimelelewa na mama kwa asilimia kubwa
Hata shuleni na makanisani walimu wengi ni wanawake hivyo malezi kwa ujumla yanafanywa na wanawake . Hivyo kizazi au watoto wakiharibika tatizo ni malezi
 
Muwaangaliage wanawake tu hivyo hivyo bila kuwahurumia sana! Wana mambo mengi sana!
Mkuu, pole sana.
Inaonekana wa kwako alikupitisha katika changamoto kubwa na isiyosahaulika.
 
Back
Top Bottom