Prisoner of hope
JF-Expert Member
- Aug 9, 2017
- 2,440
- 2,572
Tutafika tu, tukaze buti tutembee kikachelo.life ni gumu aiseee mpaka naacheka mwenyewe yaan, moja haikai mbili haikai nikiangalia sim yangu niingie upande wa contact naona hamna mwenye msaada kwangu naishia tu kufuta majina ivi wandugu tutafika kweli?
mkuu tunaongea hap jf kama tunafurah vile ila hali halisi ni mbaya sio masyala yaan mpka naisi nilizaliwa kwa bahat mbaya aiseeeLabda ninyi mnaongea tu. Mi ndo ninapitia maisha magumu kuliko ugumu wenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahahhaah nacheka kama mazuri vile.Mchumiajuone, kumiliki simu janja wewe umeona ni kitu cha ajabu sana kiasi kwamba inaweza kunifanya nisijue napata wapi pesa ya kula mchana?
Simu janja wanamiliki mpaka mateja, sembuse mimi mwenye akili zangu timamu.
Kuunga kifurushi, au kutokuunga kifurushi sio hoja mkuu huwa najiunga kifurushi cha internet tu cha mwezi, unasemaje? Unataka nijiunge cha masaa 24, au unataka kujua hicho kifurushi ni cha Tsh ngapi?
Usiniambie kuwa hujui faida ya kutumia mitandao ya kijamii, ndio maana hata wewe upo humu, na mimi mwenye hali ngumu nipo najichanganya kimawazo na wenzangu, lakini natafuta fursa.
Labda naona wewe mzee ni mboga saba hujui tafsiri ya hali ngumu. Ulitaka mimi nimiliki nini?
Ulitaka nianze kutembeza bakuli kama wale omba omba, bibi na babu zangu wa pale Kariakoo, hapo ndio uamini kuwa nina hali ngumu?
Kijana usipende kutochokoza watu ambao tunapitia machungu ya maisha, ungekuwa karibu yangu ningekuchapa vibao!
Hii ndo jf bwanaHumu bwana..mm nacheka tu
Mbaya zaid ukijiangalia umri unazidi kuyeyaamkuu tunaongea hap jf kama tunafurah vile ila hali halisi ni mbaya sio masyala yaan mpka naisi nilizaliwa kwa bahat mbaya aiseee
mkuu yapita miaka sas contact zenyew mpka tunafuta sio makusudi lakin unapojarib omba ata msaada ata tunaona kabisa mtu dili lipo lakin kukupa aonaona shida sijui wanpenda tuwe tunaonekana tupo tupo tu ndo wafurah asa watu kama hawa contact za nini sasa
We jamaa ni Muhaya...I made 25M in two months... Ni swala la :-
1. Kuwa tayari
2. Kuamua
3. KuJikubali
4. Kuwa na connection sahihi
5. Kuhakikisha kila dakika unafanya kitu chenye manufaa kwenye biashara au kiazi yako hiyo uliyowekeza
Sent using Uncesored Device
Ni Muhaya huyooo... Pitia post zake...Hongera sana, kwa mwaka utatengeneza 150,000,000/=
hahahah
Duuhtokea nimezaliwa sijawahi kuambiwa maisha ni mepesi,nikiwa nasoma shule ya msingi kuna walimu walijitolea miaka zaidi ya kumi,wewe mshukuru MUNGU kwa kuwa umeweza kupata hata hilo bando la halotel la kuyasema hayo humu JF.
Mkuu mbona unatudhalilisha Wahaya?