Maisha ni magumu sana dah

Maisha ni magumu sana dah

Mchumiajuone, kumiliki simu janja wewe umeona ni kitu cha ajabu sana kiasi kwamba inaweza kunifanya nisijue napata wapi pesa ya kula mchana?

Simu janja wanamiliki mpaka mateja, sembuse mimi mwenye akili zangu timamu.

Kuunga kifurushi, au kutokuunga kifurushi sio hoja mkuu huwa najiunga kifurushi cha internet tu cha mwezi, unasemaje? Unataka nijiunge cha masaa 24, au unataka kujua hicho kifurushi ni cha Tsh ngapi?

Usiniambie kuwa hujui faida ya kutumia mitandao ya kijamii, ndio maana hata wewe upo humu, na mimi mwenye hali ngumu nipo najichanganya kimawazo na wenzangu, lakini natafuta fursa.

Labda naona wewe mzee ni mboga saba hujui tafsiri ya hali ngumu. Ulitaka mimi nimiliki nini?

Ulitaka nianze kutembeza bakuli kama wale omba omba, bibi na babu zangu wa pale Kariakoo, hapo ndio uamini kuwa nina hali ngumu?

Kijana usipende kutochokoza watu ambao tunapitia machungu ya maisha, ungekuwa karibu yangu ningekuchapa vibao!
Ahahahhaah nacheka kama mazuri vile.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: K M
Usifute contacts kuna siku zitakufaa


Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu yapita miaka sas contact zenyew mpka tunafuta sio makusudi lakin unapojarib omba ata msaada ata tunaona kabisa mtu dili lipo lakin kukupa aonaona shida sijui wanpenda tuwe tunaonekana tupo tupo tu ndo wafurah asa watu kama hawa contact za nini sasa
 
tokea nimezaliwa sijawahi kuambiwa maisha ni mepesi,nikiwa nasoma shule ya msingi kuna walimu walijitolea miaka zaidi ya kumi,wewe mshukuru MUNGU kwa kuwa umeweza kupata hata hilo bando la halotel la kuyasema hayo humu JF.
 
tokea nimezaliwa sijawahi kuambiwa maisha ni mepesi,nikiwa nasoma shule ya msingi kuna walimu walijitolea miaka zaidi ya kumi,wewe mshukuru MUNGU kwa kuwa umeweza kupata hata hilo bando la halotel la kuyasema hayo humu JF.
Duuh
 
Hahah, na mimi imebidi nicheki tu mkuu, ila hii heading full stress


VIIXCCCL GrandLodge,ARUSHA
 
Dah...kwa mvivu, mpiga dili na asiye mbunifu...katika zama hizi...maisha hayawezi kuwa rahisi...ukweli mchungu ..[emoji41]

Sent using Beretta ARX 160
 
Back
Top Bottom