KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Habari za asubuhi waungwana wa humu jamvini......
Hakika maisha ni safari ndefu sana na wakati mwingine kwenye maisha tunakumbana na changamoto na mitihani mbali mbali.......
Kuna baadhi ya changamoto na mitihani tunazikabili na kuzipatia ufumbuzi na kuendelea na maisha na kuna zingine kwa bahati mbaya zinatushinda na kukosa ufumbuzi wake na kubakia fumbo maishani mwetu........
Wakati mwingine maisha hayakupi unachotaka na mambo hayaendi kama ulivyotarajia hivyo kupelekea mambo kwenda mrama na misongo ya mawazo inayogonga vichwa vyetu.......
Najua kuwa kila mmoja wetu mwenye utimamu wa akili kwenye harakati za kupambania maisha kwa namna moja au nyingine ameshakumbana na mambo mbali naengine katika amekubali kushindwa na kumuachi Mungu huku akiendelea na maisha.......
Hivyo basi nawakaribisha jukwaani Wana jamvi ili kuweza kushare nasi baadhi ya matukio au mambo ili kupeana matunzo , kutiana moyo na matumaini kwenye mioyo iliyokufa ingali inaishi kwenye dunia iliyojaa fujo......
Nawasilisha......
Hakika maisha ni safari ndefu sana na wakati mwingine kwenye maisha tunakumbana na changamoto na mitihani mbali mbali.......
Kuna baadhi ya changamoto na mitihani tunazikabili na kuzipatia ufumbuzi na kuendelea na maisha na kuna zingine kwa bahati mbaya zinatushinda na kukosa ufumbuzi wake na kubakia fumbo maishani mwetu........
Wakati mwingine maisha hayakupi unachotaka na mambo hayaendi kama ulivyotarajia hivyo kupelekea mambo kwenda mrama na misongo ya mawazo inayogonga vichwa vyetu.......
Najua kuwa kila mmoja wetu mwenye utimamu wa akili kwenye harakati za kupambania maisha kwa namna moja au nyingine ameshakumbana na mambo mbali naengine katika amekubali kushindwa na kumuachi Mungu huku akiendelea na maisha.......
Hivyo basi nawakaribisha jukwaani Wana jamvi ili kuweza kushare nasi baadhi ya matukio au mambo ili kupeana matunzo , kutiana moyo na matumaini kwenye mioyo iliyokufa ingali inaishi kwenye dunia iliyojaa fujo......
Nawasilisha......