Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
Tuanzie hapa umeachwa?au umekerwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inapobidi huwa nakumbuka😁Ameen, kwani we una nikumbukaga kwa mabaya😀
Anawakumbusha...😊Tuanzie hapa umeachwa?au umekerwa
bas sawaAnawakumbusha...😊
Binadamu kigeugeuBinadamu Hawa elewekagi, una jua kwanini Wana sayansi Wana tumia mnyama katika majaribio??
We nusu albino una zingua😀🤣Atakuwa kanywa supu ya maharage huyu kukata hang over ya kisungura😂
Yeah iko hivyo, so una ishi kwa mazingatioBinadamu kigeugeu
Mzee shikamoo🙏Anawakumbusha...😊
Yeah, sema ninge andika kwa lugha ya kikoloni. Inge wasumbua baadhi.Nawakumbusha pia kuwa wenye nidhamu na juhudi katika kila jambo unalo lifanya kama kijana.
Kupenda starehe zisizo za lazima, zinaa na ulevi pia ni chanzo kikubwa cha kukwamwisha mafanikio.
Hizi dharau😀😀, hutaki mi niwe na hata ka usukani😀Labda taa mkuu au rim
Una tumia chrome au app??Halafu pm yangu inazingua. Yaani Nisha update chrome Ila bado
Ndo wapi huko😀Ila ni wa dasalama
Bangi unayo mtu amekuandikia anatumia chrome wewe unauliza swaliUna tumia chrome au app??