Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 5,828
- 7,532
๐๐๐๐Dah Niko dhebe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐Dah Niko dhebe
Wee una shidah mkuu๐๐๐Siwaelewi sauti za kike hamna hawajambi na mic๐
๐๐๐๐๐๐๐๐Wee una shidah mkuu๐๐๐
๐๐๐๐๐๐Uzi huu nime uandika ili uwe Kama kengele ya ukumbusho, kwa kila mmoja wetu.
๐Maana kumezuka na Mambo ambayo yame kuwa Kama kikwazo, kwa baadhi ya watu katika safari ya maisha yao.
WIVU, kila mmoja wetu ana wivu katika maisha yake.
๐Ila baadhi ya wengi wetu tumekuwa na wivu ambao si rafiki katika maisha haya.
๐Ume ona mtu kajenga au ana kazi nzuri kukuzidi, mzee Pambana ufikie Malengo yako, jiulize yeye kafikaje hapo??. Zidisha juhudi na SI uchawi na husda.
SUALA LA MAPENZI, hapa ndo kama wabongo wengi tulipo rogwa, Kama Kijana una mengi ya kuzingatia katika maisha yako.
๐USI kubali kuyumbishwa au kupoteza muda wako, eti kisa kiumbe mwenye manyoya mwili mzima.
๐Kama uhusiano huo si rafiki basi achana nao mzee, Kumbuka una mengi na watu wengi Wana kutegemea wewe mpendwa.
AMINI KATIKA WAKATI SAHIHI, ndugu haya maisha Kuna watu tuna jipa stress za kipuuzi Sana.
๐Eti kisa fulani ana kazi au maisha mazuri, una Anza kuji ona wewe kama bwege uliye kosa mwelekeo.
๐Ina kupasa uzingatie katika barabara yako, na si njia ya mwingine.
๐Kama biashara haiendi vizuri, basi Tafuta namna ya kutafuta wateja, kwa maana Hakuna kitu kina kuwa kwa usiku mmoja.
-learn how to hold
-learn the right time to fold
-learn the right time to let go.
๐ I MEAN NO MALICE TO NOBODY
View attachment 2760528
Kilicho kufurahisha kipi๐ค๐ค??๐๐๐๐๐๐
Ndo nini huko daslam ๐๐๐๐๐ nipo na albam ya verteller hapa
Hiyo ni albamu ya philosophy Dizasta vinaNdo nini huko daslam ๐๐
Aisee๐๐คHiyo ni albamu ya philosophy Dizasta vina
Yaaah yassss mfatilie huyo jamaa utakuwa realy niggaAisee๐๐ค
Ana ji cream, ili awe mweusi au๐๐คYaaah yassss mfatilie huyo jamaa utakuwa realy nigga
Nimekunyooshea mikonoKilicho kufurahisha kipi๐ค๐ค??
Kwa kipi nilicho fanya??Nimekunyooshea mikono
Niko poa my crush๐ค๐ค, natumai ulikuwa na usiku mzuri๐คHabari yako crush
Kwema kaka, tuna shukuru kheri iko nasi๐๐Tuache habari izo vp kwema lkn
Njema sanaKwema kaka, tuna shukuru kheri iko nasi๐๐
Asubuhi njemaNiko poa my crush๐ค๐ค, natumai ulikuwa na usiku mzuri๐ค
U too my lovely and adorable crush ๐ค๐Asubuhi njema