Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 5,828
- 7,532
๐๐๐๐Wependa zaidi angalia yasikupende kupitirizaThanks for the compliment ๐๐ช, tuzidi kuzingatia yaliyo muhimu kwetu sote ๐๐.
๐ Siku izi napenda maji๐คฃ๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐Wependa zaidi angalia yasikupende kupitirizaThanks for the compliment ๐๐ช, tuzidi kuzingatia yaliyo muhimu kwetu sote ๐๐.
๐ Siku izi napenda maji๐คฃ๐
Daah we dogo๐๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐๐๐๐Wependa zaidi angalia yasikupende kupitiriza
Wata sema hatu zingatii itifaki๐๐คฃ๐คฃEeeeh au utaki๐
Mlango mbona ulikua wazi๐Nifungulie ๐nipo mlangoni
Aah kumbe me nkajua igbo ni naniiii na shayo ni naniiii.binti manyonyo,
igbo=bangi
shayo=pombe
๐๐๐๐Cc mshamba_hachekwi explain to her please ๐๐๐
Hajui eeeh basi em muhabarisheAna furahisha genge๐๐๐, hajuu tuliko toka๐๐๐
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji375][emoji375]Uzi huu nime uandika ili uwe Kama kengele ya ukumbusho, kwa kila mmoja wetu.
[emoji117]Maana kumezuka na Mambo ambayo yame kuwa Kama kikwazo, kwa baadhi ya watu katika safari ya maisha yao.
WIVU, kila mmoja wetu ana wivu katika maisha yake.
[emoji117]Ila baadhi ya wengi wetu tumekuwa na wivu ambao si rafiki katika maisha haya.
[emoji117]Ume ona mtu kajenga au ana kazi nzuri kukuzidi, mzee Pambana ufikie Malengo yako, jiulize yeye kafikaje hapo??. Zidisha juhudi na SI uchawi na husda.
SUALA LA MAPENZI, hapa ndo kama wabongo wengi tulipo rogwa, Kama Kijana una mengi ya kuzingatia katika maisha yako.
[emoji117]USI kubali kuyumbishwa au kupoteza muda wako, eti kisa kiumbe mwenye manyoya mwili mzima.
[emoji117]Kama uhusiano huo si rafiki basi achana nao mzee, Kumbuka una mengi na watu wengi Wana kutegemea wewe mpendwa.
AMINI KATIKA WAKATI SAHIHI, ndugu haya maisha Kuna watu tuna jipa stress za kipuuzi Sana.
[emoji117]Eti kisa fulani ana kazi au maisha mazuri, una Anza kuji ona wewe kama bwege uliye kosa mwelekeo.
[emoji117]Ina kupasa uzingatie katika barabara yako, na si njia ya mwingine.
[emoji117]Kama biashara haiendi vizuri, basi Tafuta namna ya kutafuta wateja, kwa maana Hakuna kitu kina kuwa kwa usiku mmoja.
-learn how to hold
-learn the right time to fold
-learn the right time to let go.
[emoji117] I MEAN NO MALICE TO NOBODY
View attachment 2760528
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji375][emoji375]Uzi huu nime uandika ili uwe Kama kengele ya ukumbusho, kwa kila mmoja wetu.
[emoji117]Maana kumezuka na Mambo ambayo yame kuwa Kama kikwazo, kwa baadhi ya watu katika safari ya maisha yao.
WIVU, kila mmoja wetu ana wivu katika maisha yake.
[emoji117]Ila baadhi ya wengi wetu tumekuwa na wivu ambao si rafiki katika maisha haya.
[emoji117]Ume ona mtu kajenga au ana kazi nzuri kukuzidi, mzee Pambana ufikie Malengo yako, jiulize yeye kafikaje hapo??. Zidisha juhudi na SI uchawi na husda.
SUALA LA MAPENZI, hapa ndo kama wabongo wengi tulipo rogwa, Kama Kijana una mengi ya kuzingatia katika maisha yako.
[emoji117]USI kubali kuyumbishwa au kupoteza muda wako, eti kisa kiumbe mwenye manyoya mwili mzima.
[emoji117]Kama uhusiano huo si rafiki basi achana nao mzee, Kumbuka una mengi na watu wengi Wana kutegemea wewe mpendwa.
AMINI KATIKA WAKATI SAHIHI, ndugu haya maisha Kuna watu tuna jipa stress za kipuuzi Sana.
[emoji117]Eti kisa fulani ana kazi au maisha mazuri, una Anza kuji ona wewe kama bwege uliye kosa mwelekeo.
[emoji117]Ina kupasa uzingatie katika barabara yako, na si njia ya mwingine.
[emoji117]Kama biashara haiendi vizuri, basi Tafuta namna ya kutafuta wateja, kwa maana Hakuna kitu kina kuwa kwa usiku mmoja.
-learn how to hold
-learn the right time to fold
-learn the right time to let go.
[emoji117] I MEAN NO MALICE TO NOBODY
View attachment 2760528
Yalaaa๐๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐๐๐๐, cc mshamba_hachekwiAah kumbe me nkajua igbo ni naniiii na shayo ni naniiii.
Thanks for the compliment, tuzingatie yaliyo muhimu kwetu sote ๐[emoji419][emoji419][emoji419][emoji375][emoji375]
Aiseee๐คฃ๐๐๐, msaliti๐คฃ๐คฃ๐คMlango mbona ulikua wazi๐
Eeeh nikajua hivoYalaaa๐๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐๐๐๐, cc mshamba_hachekwi
Mivurugano tu๐คฃ๐๐Hajui eeeh basi em muhabarishe
๐๐๐๐๐Mivurugano tu๐คฃ๐๐
Siku hizi una waza mambo ya ajabu๐คฃ๐Eeeh nikajua hivo
Dah zili pendwa๐คฃ๐๐๐๐๐๐๐๐