Red black
JF-Expert Member
- Nov 29, 2019
- 5,962
- 17,648
That's good 💪iam quite gud blood,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
That's good 💪iam quite gud blood,
Pamoja mkuu🤒Sawa mkuu. Ngoja niangalie.
Hi thread ni kwa ajili ya watu wote, walio choka kuishi katika Mambo yanayo wavurugia mipango yaoKila nikiona hii thread , nawaza hivi kumbe hivi vitu vinatokeaga yaaani for no reason , nakumbuka ujinga ujinga ule wa usela mavi kipindi nasoma , ile life la kishule shule, dah ujinga mwing mpka nkakosa muda wa ku concentrate na masomo
Psychological torture , kuona mtu wa maana eti kisa anatokea mjini kati sisi wengine tuliotokea vijijini ni washamba dahhhhhh
Ama kweli , mtu akivuka foolish age kwa kila dua lazima aweke maisha yake sawa
ama kweli. Anayekuja kukuhukunu huwezi mtambua ....kwa saa wa siku
I mean no malice to nobody
Premio ipi tena 🤔🤔mkuu hyo premio ilete hapa niione mwanza
Premio ipi tena 🤔🤔
Nipo nipo th, SI una jua majobless hatuna ramaniHAHAHAH ULIKUA WAPI CHIEF?
mfanyabiashara naye anajiita joblessNipo nipo th, SI una jua majobless hatuna ramani
Hebu kata hizi story bro, maana siku elewi???mfanyabiashara naye anajiita jobless
narekebisha mkuuHebu kata hizi story bro, maana siku elewi???
Tujifunze kuzingatia yaliyo muhimu kwetu sote 💪hapo katika mapenz ndio patashika nguo kuchanika kuna wakati ni bora uwe unanunua kuliko kugharamia kiumbe ambacho hata hakieleweki