ulishawai vuka kisiwa kimoja adi kingine kwa mtumbwi? watu walikuwa saba , na vidumu (vya lita 5)vilikuwa vitatu, walikuwa wanapokezana adi tukafika nchi kavu. Kumbuka ni watu wanaojua kuogelea kwa sana, sema ile mtu akichoka anapewa kidumu ashikilie wakati anapumzika.