Maisha siku za awali ya Waingereza waliohamia Australia na New Guinea

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011

Baada ya Uingereza kutangaza Australia kuwa ni koloni lao, walianza kupelekwa wafungwa wa muda mrefu, waliohukumiwa kifo na wale waliofungwa kwenye jela zenye ulinzi mkali.

Walipelekwa pia watoto yatima na wale waliokua chini ya uangalizi wa social system.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…