Until_The_End
JF-Expert Member
- Nov 21, 2020
- 1,456
- 2,202
Kama nimepotosha, ni haki yako kusahihisha. Kukosoa bila kusahihisha haina afya katika kujifunzaWewe umechukua mistari baadhi, na kwa sababu hiyo umepotosha wazo zima la andiko lenyewe: andiko au ujumbe unawahusu akina nani.
Ungeanza kusoma kuanzia Rum 8: 31-39.