The redemeer
JF-Expert Member
- Jan 28, 2025
- 1,497
- 2,681
Tunahitajika kujiondoa katika dhoruba za maisha ambazo zipo ndani ya uwezo wetu,na kimsingi kinacho tutese kwa sehemu kubwa ni kilichopo ndani ya uwezo wetu, hatuhitaji kujifunza,tunavua vazi la asili la kiuanafunzi, utunukiwaji wa vyeti hutufanya kuona kuwa tumemaliza kujifunza
Lakini tunahitaji maarifa kila wakati, tunahitaji kuchuja aina ya maarifa tunayo yaingiza ndani ya akili zetu, lazima kila siku tukusanye au kuongeza ujuzi, tunahitaji maarifa ili kuweza kutupa marekebisho katika nyanja tofauti tofauti za maisha yetu, bila maarifa maisha hayawi maisha katika kuishi
Sasa ulimwengu umekuwa rahisi kufikika hivyo ni rahisi sana kupata maarifa.Funguo ya kuufungua ulimwengu ipo katika maarifa hivyo tafuta ujuzi ili uunde njia bora ya kuishi, katika kutafuta maarifa ni muhimu sana kufahamu yakuwa utakutana na maarifa danganyifu
Ukuaji hupatikana katika maarifa hivyo weka wakati wa kujifunza,kuna changamoto katika kujifunza kuna wakati utakutana na maarifa danganyifu , unahitaji umakini wa akili kupenya.
Lakini tunahitaji maarifa kila wakati, tunahitaji kuchuja aina ya maarifa tunayo yaingiza ndani ya akili zetu, lazima kila siku tukusanye au kuongeza ujuzi, tunahitaji maarifa ili kuweza kutupa marekebisho katika nyanja tofauti tofauti za maisha yetu, bila maarifa maisha hayawi maisha katika kuishi
Sasa ulimwengu umekuwa rahisi kufikika hivyo ni rahisi sana kupata maarifa.Funguo ya kuufungua ulimwengu ipo katika maarifa hivyo tafuta ujuzi ili uunde njia bora ya kuishi, katika kutafuta maarifa ni muhimu sana kufahamu yakuwa utakutana na maarifa danganyifu
Ukuaji hupatikana katika maarifa hivyo weka wakati wa kujifunza,kuna changamoto katika kujifunza kuna wakati utakutana na maarifa danganyifu , unahitaji umakini wa akili kupenya.