teknolojia imeingia, lakini je? Tunaitumia ipasavyo hiyo teknolojia, au teknolojia inatutumia ipasavyo?
... Leo hii kuna Laptops, laptops zimekuwa lap top hasaaaaaa...kila wakati zipo mapajani!..Kazini, majumbani, basi hata kwenye social gatherings?...kwa u busy gani hasa?...upo outing na mamsap, nae yumo busy kwa sms/email, hah? yaani hakuna kabisa muda wa 'ubinaadamu?' ...kuna haja ya kuangalia teknolojia nasi twaipokeaje kiasi kwamba familia zinapoteza muelekeo na kukosa muda wa ki-ubinadamu!..
Hii post imenifanya niote aisee...Hii hali inawapata watu wengi sana wenye kazi/majukumu yenye kuwategemea sana hasa middle and senior cadre of workers/experts. Ndio maana taasisi nyingi zenye malipo makubwa kitu kikubwa kinachowafanya wawe "waajiri wabaya" ni ile work-life balance.They scored very poorly hadi wanatafuta hadi mikakati ya kuimprove na inashindikana maana ule mzunguko wa kazi uko palepale!
Tukiacha mchango wa waajiri katika kukosekana balance, kuna upande mwingine pia ambao unachangiwa na familia zenyewe. Huwa nasema wazee wetu waliostaafu ambao walitulea kwa kipato chao walichokipata kwenye mishahara na ambao hawakujisikia kusukumwa kuongeza kipato, walifanya vizuri kuliko siye wa zama hizi za kukimbiza shilingi isiyokamatika!
Mwanao MTM leo anataka "toys" ambazo siyo toys bali ni "hi-tech gadgets" zinazouzwa mamilion ya shilingi, umlipie ada ya mamilioni, atoke kutembea na kuburudika kwa gharama kubwa, akifunga shule aende holiday,avae mavazi yaendanayo na world trends.... the list is long!
Mamaa naye anataka aishi maisha mazuri, mjenge au mpangishe nyumba ya kiwango, usafiri wa binafsi, maisha bora kwa kifupi.Je usipochacharika unadhani familia itakuwa na amani na wewe? Je unadhani utajivunia heshima kwa ndugu jamaa na marafiki kwa kutokuhangaika... nikimaanisha urudhike na kipato cha kijungu-jiko kisichokuweka kwenye level ya wewe kujiskia confident kujichanganya nao?
Ukija kwenye kujijali afya, ukiwa huna pesa ( unayoitafuta kwa kujinyima muda wako na kuuwekeza kwenye kazi) utamudu AAR na bima nyingine za afya assuming haulipiwi na muajiri.
Nina mengi ya kuchangia kwenye hili kuonyesha its becoming almost impossible kuligawanya hilo gudumu alilotuwekea MBU na kutoa nafasi sawa.
Ninapoandika huu mchango wangu, nimekumbuka video moja tulionyeshwa miaka ya nyuma kuhusu management and leadership kwa kifupi ikionyesha baba aliyejitesa sana kutafuta ili aipe familia yake maisha mazuri.Katika kimbizana hiyo akaja kupata heart attack akafa! Alipokufa akaenda mbele ya Muumba, na akaulizwa jitetee kwanini upate paradiso na siyo jahanamu.Utetezi wake ulikuwa kwamba alihangaikia sana familia yake hadi akajikuta umauti unamfika!
Cha ajabu na kilichonishtua ( miaka ile) ni kwamba Muumba alimuuliza tena " je una uhakika familia yako ilifurahia hali hiyo?" Akajibu ' nina uhakika maana hawakukosa chochote walichohitaji".
Muumba akamwambia " subiri tuthibitishe kama kweli familia yako ilirIdhika". Ikaonyeshwa Re-play ya maisha ya yule bwana na familia yake...jamaa alishtuka kuona jinsi mkewe alivyokuwa ananung'unika kwa vile muda mwingi hayuko nyumbani hata pale alipokuwa na watoto wadogo, watoto walipoumwa, mke alipoumwa, yalipotokea matatizo mbalimbali kwenye familia etc. Kisha akaonyeshwa jinsi hakuwepo kuona wanae wakikuwa kwa haraka, wakianza shule, wakifanya homework na kushiriki michezo mbalimbali.Watoto walihudhunika baba hakuwepo kuwapa support nk.
In short jamani hakuna jema.Haya maisha ya sasa ni ubatili mtupu!
Mimi mwenyewe ninajiangalia na kujiuliza itakuwaje kama naulizwa maswali aliyoulizwa huyo bwana hapo juu. Je na nyie wengine majibu yenu yatakuwa vipi?
Je mtastahili paradiso?
Pole kusoma kitu kirefu lakini ni vema kushirikishana.
Damn life...... Yani hata ratiba ya kuongea na Mungu inakatishwa na beer.... Beer my ass!Yaani unapanga kwenda kwenye ibada (kujaribu kurejesha uhusiano wako na Muumba wako)....ukiwa njiani unapigiwa simu....njoo hapa baa mpya, nipo na A, B na Y....
Ratiba inabadilika....unasahau njia ya kwenda nyumba ya ibada....
Damn...I surely need a life mechanic.....
aisee... be er' your ass??Damn life...... Yani hata ratiba ya kuongea na Mungu inakatishwa na beer.... Beer my ass!
Beer my foot!aisee... be er' your ass??
Beer my foot!
Mkuu umegusa kitu cha maana sana..yaani tunawezaje kuoanisha "wheel of life" na Teke-nolojia" kama ambavyo tunavyoikumbatia katika maisha na utamaduni wetu huku uswazi. Kwanza naamini huku nyumbani uswazi teknolojia tunayoitumia ni kama tone la maji au trailer la movie ya kihindi ya Amitabah Bachachan kutokana na matatizo ya uchumi na underdeveloped infrastructures ambazo vinachangia sisi kutambaa badala ya kukimbia kuelekea kwenye maendeleo.
Sehemu kubwa ya teke-noligia tunayoitumia ni mawasaliano hasa ya simu ambayo yamefika hadi kwa babu kule Loliondo. Albeit, gharama yake ni kubwa zaidi ya mkate wa kila siku. Kufungua MMU ya JF inabidi ufanye timing na Voda cheka internet na ili kubana matumizi ya Call time unaongea kwa haraka kama uko kwenye Marathon. Ni tofauti na watani zetu wa jadi watu weupe ambao wametangaza Internet ni haki ya kila kiumbe.
Hata hivyo, sehemu kubwa ya teke-lojia inayotamba hapa uswazi bongo ni mawasiliano hasa simu za viganja ..Kuna kila aina ya simu ambazo nimebuniwa kwa ajili ya wale walioendelea ..lakini nasi katika kukimbizana na teke-nolojia tukaambulia kuwa kwenye msafala ..matokeo yake utakuta mjomba wangu kule mfaranyaki amenunua iphone au blackberry ambayo anaishia kutuma sms na kupiga picha za mbuzi na kondoo wake = 5 or 10% ya matumizi.. utaona hizi simu na internet zimeingilia kwa kiasi kikubwa njia na utamaduni wetu wa mawasiliano..Badala ya mtu kupata "shikamoo" ambayo kwa bahati mbaya maana yake "niko chini ya miguu yako" unapata Sms.."mambo dia".. Katika tamaduni nyingi za Afrika ..values zetu ziko kwenye nidhamu.. lakini je tutawezaje kutumia simu, kompyuta, Ipad, internet and at the same tunaendeleza values zetu? Je sisi ni malimbukeni? Najua hii inawezekana..kwani badala ya kumtumia sms baba yangu kule Misungwi naweza kumpigia simu na kuanza kumwamkia..lakini mbona ..nikiweka jero siwezi hata kusema kitu.. Anyway.. Nitamtumia mzee ..sms..na ili kubana matumizi nitaandika in short..Mambo ni kama hivyo kwa wife.. na watoto wangu.. Pia, nikitaka kupitia Pub..nitaandika sms kwa wife..foleni iko hadi bagamoyo..naye ataniandikia ya kwake imefika Kisarawe.. ameamua kusubiri kwenye salon ya shoga yake..Mkuu Chain hii ya nyumba moja itaenda na kufanya jamii..na kuua kabisa utamaduni wetu wa kuongea kwa heshima na si kuongea tu bali hata ku-demonstrate kwa vitendo..
Kwa upande wa internet..kwa ulimbukeni wetu tunachota kila kitu..najua internet ndio maktaba kuu iliyopo hapa duniani..lakini ni nani atakaye waongoza vijana wetu? Kwenye internet unaweza pata kila kitu kizuri mfano jana nili- Build komputer yangu kupitia Youtube wakati sina elimu yeyote kwani wakati niko shule nilikuwa napishana na mwalimu wa sayansi mlangoni yeye anaingia na mimi natoka kwani sikupenda sharubu zake. Sasa kama unaweza kujifunza mambo mazuri kwenye internet pia unaweza kujifunza mambo mabaya.. Ni nani ana-control familia yake.. hapo tunarudi pale pale kweye mada ya "wheel of life"
Mimi naona huku nyumbani uswazi tumechanganya mambo kwa kukumbatia teke-nologia albeit tumeshika miguu yake badala ya kichwa. Na hata kama tumenusishwa hiyo teke-nologia basi imetuchanganya hadi tunasahau miiko, nidhamu, utamaduni..yaani tunakuwa kama mtoto aliyepekwa kwenye duka la candy .. anataka kula kila kitu bila hata kujua madhara yake ya baadaye.. Nashukuru kuna wachache tumebahatika kukutana na kubadilishana mawazo hasa humu MMU.. yaani tunajifunza sana.. na Thanks..tunabadilika taratibu.. Lakini what about other folks?
aaahhaaaaaaaa.... i ws a little bit worried about the arse
Mkuu nipo bize nabalansi equation ya mbu na in 36 months ntakua nimefanikiwa
Hivi 36 months kuna weekend ngapi hapo?.....damn beer!aaahhaaaaaaaa.... i ws a little bit worried about the arse
Mkuu nipo bize nabalansi equation ya mbu na in 36 months ntakua nimefanikiwa
mkuu ukitaka kujua ni muda mfupi sana fanya miaka mitatu gawa kwa arobaini na ushee niliyonayo zidisha mara miaHivi 36 months kuna weekend ngapi hapo?.....damn beer!
aaahhaaaaaaaa.... i ws a little bit worried about the arse
Mkuu nipo bize nabalansi equation ya mbu na in 36 months ntakua nimefanikiwa
Here you r! when i expect u the least! anyway happy belated besdei kwanza, niliona sredi too late.
Back to Mr Mbu's wheel of life: Yep nadhani kuchunga na kupangilia muda ni kitu muhim sana na kuzembea time kunatugharim sana aisee.
Hii mada mimi nishalopokwa sana sasa tunakuachia wewe Miss fresh utupatie mikoba ya late night lol
Loh watu wengine wachokozi! Sasa ID ya Mbu, kuchangia kwa Mjw1 na kuwa mkewe kuna uhusiano gani wajameni!!?
Yaani mimada inayoanzishwa na Mbu, ikipata comment zako baaaasi! Wala haiitaji mtu mwingine kuchangia ili inoge!
Mimi huwa nikionaga hivi nageuka kuwa msomaji tu, nikichangia basi nimekohoa tu
Endeleeni hivyo hivyo bana.
Hahh wewe Mbu una visa sana eti tukumbuke kupanga uzazi hahhh haya bwana umeme unatulazimisha kufunga vipakatapaja vyetu kwa ulazima.
Shughuli kwetu sie tulozoealala saa saba nane usiku, tunakodoa macho darini kama fundi saa alopoteza mshale wa saa mchangani mwe
Great thinker at workMkuu umegusa kitu cha maana sana..yaani tunawezaje kuoanisha "wheel of life" na Teke-nolojia" kama ambavyo tunavyoikumbatia katika maisha na utamaduni wetu huku uswazi. Kwanza naamini huku nyumbani uswazi teknolojia tunayoitumia ni kama tone la maji au trailer la movie ya kihindi ya Amitabah Bachachan kutokana na matatizo ya uchumi na underdeveloped infrastructures ambazo vinachangia sisi kutambaa badala ya kukimbia kuelekea kwenye maendeleo.
Sehemu kubwa ya teke-noligia tunayoitumia ni mawasaliano hasa ya simu ambayo yamefika hadi kwa babu kule Loliondo. Albeit, gharama yake ni kubwa zaidi ya mkate wa kila siku. Kufungua MMU ya JF inabidi ufanye timing na Voda cheka internet na ili kubana matumizi ya Call time unaongea kwa haraka kama uko kwenye Marathon. Ni tofauti na watani zetu wa jadi watu weupe ambao wametangaza Internet ni haki ya kila kiumbe.
Hata hivyo, sehemu kubwa ya teke-lojia inayotamba hapa uswazi bongo ni mawasiliano hasa simu za viganja ..Kuna kila aina ya simu ambazo nimebuniwa kwa ajili ya wale walioendelea ..lakini nasi katika kukimbizana na teke-nolojia tukaambulia kuwa kwenye msafala ..matokeo yake utakuta mjomba wangu kule mfaranyaki amenunua iphone au blackberry ambayo anaishia kutuma sms na kupiga picha za mbuzi na kondoo wake = 5 or 10% ya matumizi.. utaona hizi simu na internet zimeingilia kwa kiasi kikubwa njia na utamaduni wetu wa mawasiliano..Badala ya mtu kupata "shikamoo" ambayo kwa bahati mbaya maana yake "niko chini ya miguu yako" unapata Sms.."mambo dia".. Katika tamaduni nyingi za Afrika ..values zetu ziko kwenye nidhamu.. lakini je tutawezaje kutumia simu, kompyuta, Ipad, internet and at the same tunaendeleza values zetu? Je sisi ni malimbukeni? Najua hii inawezekana..kwani badala ya kumtumia sms baba yangu kule Misungwi naweza kumpigia simu na kuanza kumwamkia..lakini mbona ..nikiweka jero siwezi hata kusema kitu.. Anyway.. Nitamtumia mzee ..sms..na ili kubana matumizi nitaandika in short..Mambo ni kama hivyo kwa wife.. na watoto wangu.. Pia, nikitaka kupitia Pub..nitaandika sms kwa wife..foleni iko hadi bagamoyo..naye ataniandikia ya kwake imefika Kisarawe.. ameamua kusubiri kwenye salon ya shoga yake..Mkuu Chain hii ya nyumba moja itaenda na kufanya jamii..na kuua kabisa utamaduni wetu wa kuongea kwa heshima na si kuongea tu bali hata ku-demonstrate kwa vitendo..
Kwa upande wa internet..kwa ulimbukeni wetu tunachota kila kitu..najua internet ndio maktaba kuu iliyopo hapa duniani..lakini ni nani atakaye waongoza vijana wetu? Kwenye internet unaweza pata kila kitu kizuri mfano jana nili- Build komputer yangu kupitia Youtube wakati sina elimu yeyote kwani wakati niko shule nilikuwa napishana na mwalimu wa sayansi mlangoni yeye anaingia na mimi natoka kwani sikupenda sharubu zake. Sasa kama unaweza kujifunza mambo mazuri kwenye internet pia unaweza kujifunza mambo mabaya.. Ni nani ana-control familia yake.. hapo tunarudi pale pale kweye mada ya "wheel of life"
Mimi naona huku nyumbani uswazi tumechanganya mambo kwa kukumbatia teke-nologia albeit tumeshika miguu yake badala ya kichwa. Na hata kama tumenusishwa hiyo teke-nologia basi imetuchanganya hadi tunasahau miiko, nidhamu, utamaduni..yaani tunakuwa kama mtoto aliyepekwa kwenye duka la candy .. anataka kula kila kitu bila hata kujua madhara yake ya baadaye.. Nashukuru kuna wachache tumebahatika kukutana na kubadilishana mawazo hasa humu MMU.. yaani tunajifunza sana.. na Thanks..tunabadilika taratibu.. Lakini what about other folks?