Maisha Vs Muda,...Unatosha?!

Maneno hayo! hahahahah lol! ya nini kuteseka moyoni? Kisa mtoto wa watu uwe roho juu juu lol! 🙂



Hahahahahaha Mbu......opssss sorry BaK unajua kuna thread imeanzishwa mtoa mada analalamika kuwa hajaona wadada wa JF wakitii hisia zao..but am sure akifanya analysis kwa posts (Content analysis) ataligundua hili loh
Bye bwana nadhani nlopata leo kitakuwa cha Arusha.....kangea Loner au Wiselady!! Lol
 
Last edited by a moderator:
Reactions: BAK
ooh okay funga ya kesho ujefungulia kwangu.....ndo wheel of life bana....unabalance huku na kule!
Wa mwisho kuwazwa kabla ya kulala ndo wa kwanza kufikiriwa asubuhi dia wangu!!

mnh, bado dakika chache lakini karibia nifungulie kwa majaribu yako...we haya tu bana...mnh!


Maneno hayo! hahahahah lol! ya nini kuteseka moyoni? Kisa mtoto wa watu uwe roho juu juu lol! 🙂

aaarrrgggghhhh, wewe endelea tu kuusoma huu unyuzi mpaka utapofikia eti 'gnt klorokwini, niote!'...na liklorokwini eti nalo limeenda kweli kulala likitabasamu!...hawa washenga wengine bana.
 
Kwa wabongo ni ngumu sana hatuna descipline na mpangilio na maisha yetu. wenzetu wadhungu wanaweza. Ndio maana unasikia wameenda summer holiday na vitu kama hivyo ili kuwa karibu na familia. Nina promotor wangu huyo hata siku moja hawezi kukujibu e mail ulotuma week end, na sidhani kama anafungua e mails zake za kiofisi jmosi na jpili. Akina sie hapa tunafanya kazi 24/7 hamna jmosi wala jpili na bado hatuna maendeleo. Well nachojitahidi kufanya kati ya hayo ni kutoisahau familia.

Lo nimemkumbuka Chavez imegundulika kuwa ana uvimbe wa kansa na amekiri mwenyewe kuwa amekuwa mzembe kucheki afya yake mara kwa mara. I hope he will be fine.
 

Nyumba kubwa asante. Hivi ulikuwa wapi masaa yote mie nashambuliwa hapa?
aaahh,...njirukia zangu mie leo nalala darini!...
 

Hahahahahah lol! sema tu Mkubwa sunna ya leo haikuhesabika lol! na utailipia siku nyingine....🙂

Mie nimekutwa sehemu sehemu nina tabasamu la nguvu nikaulizwa, "Vipi kinakuanza?" nikajibu kwa nini? 🙂 Tunaona tu unacheka pekee yako hebu tuchekeshe na sisi basi lol! Basi ikabidi niwaambie nilikuwa naiwaza thread hii ya 2 love birds hapa jamvini na kukumbuka yaliyoandikwa na hao love birds na wachangiaji wengine hivyo ndio nikawa na tabasamu la kufa mtu. Kwa hiyo si KQ tu ana litabasamu la nguvu wako wengi sana including yours truly 🙂
 

aaarrrgggghhhh, wewe endelea tu kuusoma huu unyuzi mpaka utapofikia eti 'gnt klorokwini, niote!'...na liklorokwini eti nalo limeenda kweli kulala likitabasamu!...hawa washenga wengine bana.
...................Hakika post hii inanilaza unono.....loh we Klorokwini ume'sikia' lakini Mbu anvyokubeza!! haahha jamani it has been so good to 'meet' you guys loh nimecheka sana leo hadi naulizwa ..........We acheka nini? chicheke bana talia! loh
 
Mbu sred yako umeipa taito isokuwa na mvuto. Kila nikicheki taito basi naona humu sidhani kama nina la kuchangia. Maana unasema una muda? jiangalie. Mimi kila nikisoma hiyo taito najijibu"sina muda". Kumbe sredi imeenda shule kabisa. Utafutege "catch words" kutuvutia tujiulize umo ndani kunani?


Nyumba kubwa asante. Hivi ulikuwa wapi masaa yote mie nashambuliwa hapa?
aaahh,...njirukia zangu mie leo nalala darini!...
 
...................Hakika post hii inanilaza unono.....loh we Klorokwini ume'sikia' lakini Mbu anvyokubeza!! haahha jamani it has been so good to 'meet' you guys loh nimecheka sana leo hadi naulizwa ..........We acheka nini? chicheke bana talia! loh

Ahhhh! Kumbe na wewe umeulizwa? Kumbe siko pekee yangu!! hahahahah lol! Keep on loving mummy, till the World ends

 
Last edited by a moderator:
Reactions: Mbu





aaarrrgggghhhh, wewe endelea tu kuusoma huu unyuzi mpaka utapofikia eti 'gnt klorokwini, niote!'...na liklorokwini eti nalo limeenda kweli kulala likitabasamu!...hawa washenga wengine bana.

ha ha ha loooool dah! hii post imeumiza mbavu zangu vibaya sana.
 

mie nimeona hapo red tu! acha niingize hii kwenye wheel of life yangu ya leo ndotoni. Na naahidi kuota ndoto ya kishemeji na si zaidi ya hapo.
 
Reactions: Mbu
... ebana nyie kalaleni salama bana, hata hii futari hailiki tena hapa. Naendelea kufunga mpaka kesho jioni, mpaka Mwj1 afute kauli yake ya kukutana na huyu mshenga. Mwenyewe kajiona akiweka hadharani ndio ku prove innocence, kumbe mwenziwe nime mind...lol....
am joking bana...!

Nyumba kubwa, nawasiliana na mod mmojawapo abadilishe title,...
Tatizo leo wikiendi wengi wapo makwao na familia, wapo well balanced wenzetu na maisha yao...he he he...
Tumeachiwa JF tujidai!

Nite nite guys & dolls...nitarudi kesho kuchangia athari za hili gurudumu
 

Mhhhhh! Wacha Mbu anune 🙂...sidhani kama atalala vizuri leo 🙂
 
Utakiweza hicho kibarua KQ? hahahaha lol!...Mbu kishanuna kwa kibarua ulichopewa lol!
Nikiwa kama Lawyer na Mshenga wa Mbu naomba aondoshe wasi wasi kabisa, hapa tunaweka mazingira sawa na soon mipango itakamilika, tayari nimekubaliana kukutana na MJ1 kwa kikao cha zarura ambacho B's and C's zitajadiliwa kwa kina. stay tuned!
 
Nimejikagua weee nikagundua mie panapwaya hapo pa spiritually na health & wellness. yaani kwenda kanisani hadi x-mas na pasaka. Hilo la kumwona mganga yaani hadi niugue weee .. nigoogle hilo gonjwa nililonalo.. nilifanyie utafiti wee..nitafute dawa mbadala (mitishamba etc), nikikwama sasa ndo naenda kumwona mganga.. na ole wake anijibu tofauti na nilivyo google basi mie ndo nageuka daktari..
 
Afu Mbu hujanjibu ujue kwa nini Finances na Career vimetenganishwa!!
 
Reactions: Mbu
Afu Mbu hujanjibu ujue kwa nini Finances na Career vimetenganishwa!!

eeehhh? hujalala tu weye. Haya, jibu lako ni;

Career; ni shughuli/kazi uifanyayo. 'kiingilishi/kiingredha;' An occupation undertaken for a significant period of a person's life and with opportunities for progress.

Finances; ni mapato na matumizi kulingana na maisha yako. 'kiinglishi/kiingredha;' decisions and activities of an individual, this could include budgeting, insurance, savings, investing, debt.

Umeona tofauti hapo?....si wajua sio lazima ufanye kazi (Career) ili upate kipato?
chukulia mfano wa housewife,...pensioners, Jobseekers na Allowances zao, etc....


 


Mhh nane kasoro nawe umesema unalala saa 5 mhhhhhhhhhhh
 
Reactions: Mbu
Kwa kweli swala la kujipatia muda huwa nimtihani mgumu, nikipata free time napenda nipumzike home bila bugudha,wakati mwingine mpaka najiona kma vile selfish kwa kupenda kuwa na muda wangu peke yangu,ila pia najitahidi wakati mwingine kuwapa hawa wanafamilia wangu hapa
 
Mhh nane kasoro nawe umesema unalala saa 5 mhhhhhhhhhhh

lol!...nimekuja uani kunywa maji mtungini...bi mkubwa anakoroma, nikajisemea hebu nichungulie JF!
haya narudi kulala...mnh...huna dogo naweeeeeeeeeeeeee! LOL...

am out!
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…