Maisha Vs Muda,...Unatosha?!

Maisha Vs Muda,...Unatosha?!


hahhh? Muda bado tunao ndugu yangu, ni kujipanga tu...

never_give_up.jpg

Mkuu sidhani kama ni kujipanga tuu. Kama hili litawezekana Tanzania, tutahitaji a completely overhaul of our culture ambayo ina include the way we live. Kuishi kwenye hilo wheel of life inahitaji time management. Kwa Watanzania, linapokuja suala la time management, we are useless. Hatujali kabisa muda. Unaweza ukawa una manage muda wako vizuri lakini ukakwamishwa na watu wengine. Mfano, unaweza ukawa umepanga kwenda kufanya check up ya afya yako for one hour, then ukitoka hapo uingie msikitini/kanisani mara moja, then gym, kabla ya kwenda kuwatembelea ndugu na jamaa. Unafika hosipitali na kusubiri zaidi ya masaa matatu kufanyiwa hiyo check up. Hapo itabidi either u cancel msikitini/kanisani, gym au kuwatembelea ndugu na jamaa, ili uwahi nyumbani kabla watoto hawajalala. Kwa hiyo the wheel of time ni crucial sana ili kufanikiwa kwenye the wheel of life.

Kama nilivyosema mwanzo, the wheel of life is so artificial. Tena nahisi aliyetengeneza hii wheel of life atakuwa alichakachua the Buddhists' wheel of life which symbolizes "the endless cycle of existence and suffering" of human being." With its six realms, it is held up to us as a mirror by Yama, the god of death who send to human beings the messengers of approaching old age, sickness and death.

Wheel of life ya ukweli and its six realms.

1. Heaven: the home of gods. Hapa ni full enjoyment inhabited by blissful, long-lived beings and happiness.
2. Humanity: Japokuwa wanadamu tuna suffer, tuna greatest chance of enlightenment.
3. Angry gods: these are warlike beings who are at the mercy of angry impulse.
4. Hungry ghosts: these unhappy beings are bound to the fringes of human existence, unable to leave because of particularly strong attachments. They are unable to satisfy their craving, symbolised by their depiction with huge bellies and tiny mouths.
5. Animal: This is undesirable because animals are exploited by human beings, and do not have the necessary self-awareness to achieve liberation.
6. Hell realms: people here are horribly tortured in many creative ways, but not for ever - only until their bad karma is worked off.

Source: BBC - Religions - Buddhism: The Buddhist universe

wheel.jpg


Lakini nafikiri the wheel of life ya kuchakachua inaweza kusaidia ku set priorities. You cannot achieve everything you desire or the world want you to achieve in your life. But there are things you good at. Prioritize on those you're good at. The wheel of life inaweza kukusaidia kujua dimenstions muhimu za maisha yako. Ukishazijua hizo dimensions, then unaweza ku set priorities. Kama you are good at making money and you love making money then concentrate on it. Kama wewe ni mzuri kwenye mambo ya kidini, then ya Kaisari mwachie Kaisari. Do what make you feel better. Otherwise, utaji
confuse.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Mkuu sidhani kama ni kujipanga tuu. Kama hili litawezekana Tanzania, tutahitaji a completely overhaul of our culture ambayo ina include the way we live. Kuishi kwenye hilo wheel of life inahitaji time management. Kwa Watanzania, linapokuja suala la time management, we are useless. Hatujali kabisa muda. Unaweza ukawa una manage muda wako vizuri lakini ukakwamishwa na watu wengine. Mfano, unaweza ukawa umepanga kwenda kufanya check up ya afya yako for one hour, then ukitoka hapo uingie msikitini/kanisani mara moja, then gym, kabla ya kwenda kuwatembelea ndugu na jamaa. Unafika hosipitali na kusubiri zaidi ya masaa matatu kufanyiwa hiyo check up. Hapo itabidi either u cancel msikitini/kanisani, gym au kuwatembelea ndugu na jamaa, ili uwahi nyumbani kabla watoto hawajalala. Kwa hiyo the wheel of time ni crucial sana ili kufanikiwa kwenye the wheel of life.

Kama nilivyosema mwanzo, the wheel of life is so artificial. Tena nahisi aliyetengeneza hii wheel of life atakuwa alichakachua the Buddhists' wheel of life which symbolizes "the endless cycle of existence and suffering" of human being." With its six realms, it is held up to us as a mirror by Yama, the god of death who send to human beings the messengers of approaching old age, sickness and death.

Lakini nafikiri the wheel of life ya kuchakachua inaweza kusaidia ku set priorities. You cannot achieve everything you desire or the world want you to achieve in your life. But there are things you good at. Prioritize on those you're good at. The wheel of life inaweza kukusaidia kujua dimenstions muhimu za maisha yako. Ukishazijua hizo dimensions, then unaweza ku set priorities. Kama you are good at making money and you love making money then concentrate on it. Kama wewe ni mzuri kwenye mambo ya kidini, then ya Kaisari mwachie Kaisari. Do what make you feel better. Otherwise, utaji
confuse.

...sawa kabisa bana, ila kukumbushana kumo. Hata sigara ina health warnings lakini wavutaji wanafungia macho!...

PF-cigarettes_1383528c-300x187.jpg
black-child-smoke-cigarettte.jpg
Laga.JPG


....Maisha ni vile mwenyewe wataka yawe. So long as you are happy ....'usijali furaha yako ina athari gani kwa wanaokuzunguka'
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Hapo umesema 100%, ni kweli sisi ni wazembe katika kujali maisha ya familia. Ninakataa kukubali ya kwamba anachofanya mdhungu sisi tutashindwa kama tutabadili msingi wa maisha yetu. Kwa wenzetu J2 na Jumamosi ni family days..mara nyingi moja kati ya siku hizo hakuna kupika home..familia nzima inatoka na kubadili mlo kwenye restaurant. Lakini sisi baba na mama hawaoni kama ni sahihi kwani kila siku wanasimama Pub na kujichana kila siku wakisingizia foleni barabarani.

Nyumbani kuna utitiri wa Pub hadi jioni watu wanafunga barabara za uswazi na kupanga viti nje..Hebu tujaribu kukaa na watoto nyumbani tuone kama hivyo vipub vitapata wateja..Tunajifanya ni wafanyakazi..wakati tunamaliza kila siku 4 hours kwenye matanuzi kati ya saa 10 jioni hadi saa 4 usiku.. Kama tunapenda kazi kwanini tusiendelee kufanya kazi hadi saa 4 usiku na kumaliza viporo vya kesho ili tuwe free Saturday?

Mfumo mzima wa kutojali familia na sisi wenyewe ni uzembe wetu ambao tuna-uhalalisha na mambo ya uchumi, foleni, shule etc..Hatukai pamoja kama baba na mama na kujadili mambo ya family; hatukai na watoto wetu ku-observe channel gani za TV wanaangalia. Parental Control banners kwenye vipindi vya TV havina umuhimu kwetu..kwani hakuna atakayekuwa nyumbani ku-observe, kazi hiyo tumewaachia ma-house girl ambao hata kusoma hawajui..

Mimi nadhani tuanze kujibadili.. All in all, tukumbuke kuna familia ambazo tumeshavuka haya tunayoyasema..hata kwa macho tunaziona na maneno tunasikia ..kama vile .."hao wanajifanya wadhungu..yaani utamwona baba yuko busy anawaogesha watoto halafua anafua nguo...kama sio udhungu basi amerogwa na mkewe"... Basi Ndugu yangu ..ukisikia majirani wanakusema hivi..ukenue meno..ume-win game! Wewe` unaishi perfect life..na sio maisha ya uzandiki!

Waungwana hata hao "Wadhungu" wengi wao wanashindwa kubalance hilo gurudumu linaloitwa "wheel of life" na ndio maana katika nchi nyingi za Magharibi sasa hivi divorce rate zinakaribia 60%. Wengine pamoja na kupenda maisha ya ndoa lakini hawataki watoto ili kuepuka gharama kubwa za malezi na pia kuvuruga life style ya kuchukua vacation za nguvu kwenda huku na kule. Wengine wanaona marafiki zao walio na watoto wanavyohangaika na watoto hivyo wanaamua kutokuwa na watoto pamoja na kuwa wamo katika maisha ya ndoa. Ni nafuu mno kwenda vacation kama ni mke na mume tu ukilinganisha kwenda vacation na watoto wawili au zaidi, hivyo asilimia ya wanaotaka kuwemo kwenye ndoa lakini hawataki watoto inazidi kuongezeka kwa kasi sana labda hizi ni juhudi za kutaka kubalance huo mduara wa maisha.

Na hili hii ya kuwepo ndoa nyingi zinazovunjika kutokana na kushindwa kuendana na mduara wa maisha imefikia hata wengine wanapendekeza ndoa ziwe za mikataba ya muda mfupi mfupi. Mnaingia kwenye ndoa ya mkataba wa miaka miwili, mitatu au hata mitano. Ikikatika miaka hiyo mnakaa chini kuangalia kama wote mngependa kurenew mkataba huo na kuendelea na ndoa yenu vinginevyo kila mtu anachukua 50 zake. Wengine wamo hata katika ndoa ambazo wanaziita "open marriage" ambazo mume/mke hatakiwi awe na wivu kwa mwenzie. Unarudi nyumbani unamwambia mwenzio natoka leo na boyfriend/girlfriend wangu tunaenda dinner halafu kuruka majoka na sijui kama nitarudi nyumbani au la. Sisi hii waungwana ni ndoa kweli? Watanzania/Waafrika tutazikubali ndoa kama hizi za mume/mke kwenda kuchakachua nje ya ndoa na huku mwenzie akijua wazi kinachoendelea?

Tukija kwenye kuabudu nyumba za kuabudu ziko empty kabisa siku za jumapili labda utakuwa Wazee tu, kunakuwa na ahueni wakati wa Xmas au Pasaka na hili linasababishwa na mengi ikiwemo wengine kuingia dini nyingine au kuamua kutofuata dini yoyote ile duniani.

"Wadhungu" pia wana struggle sana katika kubalance hilo gurudumu la maisha ndio maana ndoa zao hazidumu kama miaka ya nyuma ambapo ndoa nyingi zilikuwa zinadumu hata kwa miaka 40 au zaidi. Sasa hivi ndoa ya miaka 10 inaonekana imedumu kwa muda mrefu maana nyingi hazifiki hata miaka mitano. Sijui ni asilimia ngapi ya ndoa zet za Kitanzania zinazovunjika lakini nakumbuka mwaka jana kusoma article moja katika moja ya magazeti yetu kwamba idadi ya ndoa zinazovunjika inaongezeka kwa kasi ya kutisha na hii ni ishara ya wanandoa wengi kushindwa kupanga maisha yao kuendana na hilo gurudumu la maisha.
 
Waungwana hata hao "Wadhungu" wengi wao wanashindwa kubalance hilo gurudumu linaloitwa "wheel of life" na ndio maana katika nchi nyingi za Magharibi sasa hivi divorce rate zinakaribia 60%. Wengine pamoja na kupenda maisha ya ndoa lakini hawataki watoto ili kuepuka gharama kubwa za malezi na pia kuvuruga life style ya kuchukua vacation za nguvu kwenda huku na kule. Wengine wanaona marafiki zao walio na watoto wanavyohangaika na watoto hivyo wanaamua kutokuwa na watoto pamoja na kuwa wamo katika maisha ya ndoa. Ni nafuu mno kwenda vacation kama ni mke na mume tu ukilinganisha kwenda vacation na watoto wawili au zaidi, hivyo asilimia ya wanaotaka kuwemo kwenye ndoa lakini hawataki watoto inazidi kuongezeka kwa kasi sana labda hizi ni juhudi za kutaka kubalance huo mduara wa maisha.

Na hili hii ya kuwepo ndoa nyingi zinazovunjika kutokana na kushindwa kuendana na mduara wa maisha imefikia hata wengine wanapendekeza ndoa ziwe za mikataba ya muda mfupi mfupi. Mnaingia kwenye ndoa ya mkataba wa miaka miwili, mitatu au hata mitano. Ikikatika miaka hiyo mnakaa chini kuangalia kama wote mngependa kurenew mkataba huo na kuendelea na ndoa yenu vinginevyo kila mtu anachukua 50 zake. Wengine wamo hata katika ndoa ambazo wanaziita "open marriage" ambazo mume/mke hatakiwi awe na wivu kwa mwenzie. Unarudi nyumbani unamwambia mwenzio natoka leo na boyfriend/girlfriend wangu tunaenda dinner halafu kuruka majoka na sijui kama nitarudi nyumbani au la. Sisi hii waungwana ni ndoa kweli? Watanzania/Waafrika tutazikubali ndoa kama hizi za mume/mke kwenda kuchakachua nje ya ndoa na huku mwenzie akijua wazi kinachoendelea?

Tukija kwenye kuabudu nyumba za kuabudu ziko empty kabisa siku za jumapili labda utakuwa Wazee tu, kunakuwa na ahueni wakati wa Xmas au Pasaka na hili linasababishwa na mengi ikiwemo wengine kuingia dini nyingine au kuamua kutofuata dini yoyote ile duniani.

"Wadhungu" pia wana struggle sana katika kubalance hilo gurudumu la maisha ndio maana ndoa zao hazidumu kama miaka ya nyuma ambapo ndoa nyingi zilikuwa zinadumu hata kwa miaka 40 au zaidi. Sasa hivi ndoa ya miaka 10 inaonekana imedumu kwa muda mrefu maana nyingi hazifiki hata miaka mitano. Sijui ni asilimia ngapi ya ndoa zet za Kitanzania zinazovunjika lakini nakumbuka mwaka jana kusoma article moja katika moja ya magazeti yetu kwamba idadi ya ndoa zinazovunjika inaongezeka kwa kasi ya kutisha na hii ni ishara ya wanandoa wengi kushindwa kupanga maisha yao kuendana na hilo gurudumu la maisha.


Well said BAK.
kama kuna watu ambao wanaogopa na kukimbia majukumu basi hakuna kama wazungu, Ingawa somehow naona kama system zao na lifestyle zao zinachangia pia wao waogope majukumu kama ndoa na watoto, na kwa upande wa pili pia system imewaforce wawe ni watu wa kuthamini muda kwavile kama ni mfanyakazi basi no nonsense throughout the week. They mean business. Sio Bongo unaenda ofisini halaf unapata muda wa kwenda nyumba ndogo within working hours. heheheh
 

...sawa kabisa bana, ila kukumbushana kumo. Hata sigara ina health warnings lakini wavutaji wanafungia macho!...

PF-cigarettes_1383528c-300x187.jpg
black-child-smoke-cigarettte.jpg
Laga.JPG


....Maisha ni vile mwenyewe wataka yawe. So long as you are happy ....'usijali furaha yako ina athari gani kwa wanaokuzunguka'

Haha haaa haaaa Mbu wewe?
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Well said BAK.
kama kuna watu ambao wanaogopa na kukimbia majukumu basi hakuna kama wazungu, Ingawa somehow naona kama system zao na lifestyle zao zinachangia pia wao waogope majukumu kama ndoa na watoto, na kwa upande wa pili pia system imewaforce wawe ni watu wa kuthamini muda kwavile kama ni mfanyakazi basi no nonsense throughout the week. They mean business. Sio Bongo unaenda ofisini halaf unapata muda wa kwenda nyumba ndogo within working hours. heheheh

Umesahau tangia kuingia kazini mtu kasoma magazeti, kanywa chai, kasoma email..wengi wetu hatuna mikakati thabiti na kuhitimisha ipasavyo..Kama ulivyosema Kloro, time ni valuable sana huko kwa watasha!...

Yani mimi kubalance kote financial statements katika kazi zangu za kila siku ila sijawahi kubalance hiyo 'wheel of life' kwa 100% . Unakuta vitu fulani vimeelemea vingine. Thanks Mr. Mbu nitafanyia kazi!!
 
Umesahau tangia kuingia kazini mtu kasoma magazeti, kanywa chai, kasoma email..wengi wetu hatuna mikakati thabiti na kuhitimisha ipasavyo..Kama ulivyosema Kloro, time ni valuable sana huko kwa watasha!...

Yani mimi kubalance kote financial statements katika kazi zangu za kila siku ila sijawahi kubalance hiyo 'wheel of life' kwa 100% . Unakuta vitu fulani vimeelemea vingine. Thanks Mr. Mbu nitafanyia kazi!!
Here you r! when i expect u the least! anyway happy belated besdei kwanza, niliona sredi too late.

Back to Mr Mbu's wheel of life: Yep nadhani kuchunga na kupangilia muda ni kitu muhim sana na kuzembea time kunatugharim sana aisee.

Hii mada mimi nishalopokwa sana sasa tunakuachia wewe Miss fresh utupatie mikoba ya late night lol
 
Mbu kuna zile messeji za kuforwadiana nilipata moja nikamtumia dada yangu hatukuongea miezi sita. Sikuwa na nia mbaya ila nilishare na ndugu zangu wote yeye aka mind kaona nimemlenga maana ana kazi yenye kipato cha juu sana na kutwa yuko kwenye ndege. Sasa hiyo message inaongelea mtoto mdogo aliyetaka kushow love kwa mama yake lakini aka end up being ignored. Ni muda siikumbuki vizuri ngoja nii search nikiipata nitaiweka. In short message ilikuwa tusijali sana kazi za ofisini kwani ofisi haina shukurani na haikupendi kama familia yako. Nilikoma kuna watu mwenzangu hawaforwadiwi message ovyo ovyo. Nilijibiwa dry mpaka nilikoma.
 

...haina noma wakuu, ...pamoja na ndoa nyingi kuvunjika, pia lifespans zinapungua kutokana na magonjwa ya BP, kisukari na stroke na suicidal rates zinaongezeka.
Haiwezekani ku balance maisha 100% katika kila kipande cha 'pie!',.....kama nilivyotanabahisha mwanzoni, kila mmoja wetu ni jukumu lake kujipangia gurudumu lake la maisha,...kama 1/10 unaweka kwenye ibada, na 9/10 kwenye kazi sawasawa kabisa...si maisha yako bana?

La msingi angalau jaribuni kubalance mawili matatu basi aisee,...​
 
Meseji imenizingua imebidi ni type kwa mkono kila niki paste yanatokea mamboa ya hajabu


 
Waungwana hata hao "Wadhungu" wengi wao wanashindwa kubalance hilo gurudumu linaloitwa "wheel of life" na ndio maana katika nchi nyingi za Magharibi sasa hivi divorce rate zinakaribia 60%. Wengine pamoja na kupenda maisha ya ndoa lakini hawataki watoto ili kuepuka gharama kubwa za malezi na pia kuvuruga life style ya kuchukua vacation za nguvu kwenda huku na kule. Wengine wanaona marafiki zao walio na watoto wanavyohangaika na watoto hivyo wanaamua kutokuwa na watoto pamoja na kuwa wamo katika maisha ya ndoa. Ni nafuu mno kwenda vacation kama ni mke na mume tu ukilinganisha kwenda vacation na watoto wawili au zaidi, hivyo asilimia ya wanaotaka kuwemo kwenye ndoa lakini hawataki watoto inazidi kuongezeka kwa kasi sana labda hizi ni juhudi za kutaka kubalance huo mduara wa maisha.

Na hili hii ya kuwepo ndoa nyingi zinazovunjika kutokana na kushindwa kuendana na mduara wa maisha imefikia hata wengine wanapendekeza ndoa ziwe za mikataba ya muda mfupi mfupi. Mnaingia kwenye ndoa ya mkataba wa miaka miwili, mitatu au hata mitano. Ikikatika miaka hiyo mnakaa chini kuangalia kama wote mngependa kurenew mkataba huo na kuendelea na ndoa yenu vinginevyo kila mtu anachukua 50 zake. Wengine wamo hata katika ndoa ambazo wanaziita "open marriage" ambazo mume/mke hatakiwi awe na wivu kwa mwenzie. Unarudi nyumbani unamwambia mwenzio natoka leo na boyfriend/girlfriend wangu tunaenda dinner halafu kuruka majoka na sijui kama nitarudi nyumbani au la. Sisi hii waungwana ni ndoa kweli? Watanzania/Waafrika tutazikubali ndoa kama hizi za mume/mke kwenda kuchakachua nje ya ndoa na huku mwenzie akijua wazi kinachoendelea?

Tukija kwenye kuabudu nyumba za kuabudu ziko empty kabisa siku za jumapili labda utakuwa Wazee tu, kunakuwa na ahueni wakati wa Xmas au Pasaka na hili linasababishwa na mengi ikiwemo wengine kuingia dini nyingine au kuamua kutofuata dini yoyote ile duniani.

"Wadhungu" pia wana struggle sana katika kubalance hilo gurudumu la maisha ndio maana ndoa zao hazidumu kama miaka ya nyuma ambapo ndoa nyingi zilikuwa zinadumu hata kwa miaka 40 au zaidi. Sasa hivi ndoa ya miaka 10 inaonekana imedumu kwa muda mrefu maana nyingi hazifiki hata miaka mitano. Sijui ni asilimia ngapi ya ndoa zet za Kitanzania zinazovunjika lakini nakumbuka mwaka jana kusoma article moja katika moja ya magazeti yetu kwamba idadi ya ndoa zinazovunjika inaongezeka kwa kasi ya kutisha na hii ni ishara ya wanandoa wengi kushindwa kupanga maisha yao kuendana na hilo gurudumu la maisha.

Mkuu hapo umemaliza kila kitu. Ndio maana Gaga alivyosema anaadhimisha anniversary ya kutimiza miaka 17 kwenye ndoa, baadhi ya watu walikuwa surprised. Watu wengi wanaoa/olewa for the wrong reasons. Wengine wanaoa/olewa b'se of pressure. Na presha yenyewe haitoki kwa ndugu, jamaa na jamii tuu. Pia presha za kichumi zinachangia. Wengi wanadhani kuwa wakioana na kuishi pamoja, then kwa kuungansha kipato chao, maisha yao yatakuwa mazuri zaidi. Wanafikia hatua hii bila kufikiria kuwa kitendo cha kuishi pamoja kina gharama zake pia hasa kwenye nyanja nyingine za maisha.

Wengine wanaingia kwenye maisha ya ndoa kwa sababu ya loneliness na desperation. Lakini ukweli ni kwamba, wakati unajiskia lonely and desperate, you are much more likely to make poor love choices and end up in unfulfilling relationships. A lonely and desperate person will remain lonely after marriage. Some people are so emotionally empty that they are desperate for anyone to marry. In the end these persons end up in a painful relationship. Mbaya sana.

Wengine wanaingia kwenye maisha ya ndoa b'se of their sexual hunger. Watu wengine, sex drives zao ziko so high kiasi kwamba wanaishia kutafuta mtu to care for but in reality wanataka sex more than long-lasting intimate relationships. Watu wengine wana act kama vile they are "on heat" kama mbwa, and during those times they find a lover to share their passion. Passion inaweza kubakia mpaka siku ya harusi lakini baada ya hapo itaanza kupungua into the abyss of frustration and pain.

Wengine wanaoa/olewa kama excuse ku avoid their own real lives. Hawajawahi kufikishwa kimapenzi, hawataki kukaa muda mrefu bila kuwa na mahusiano ya kimapenzi, hawapendi kufurahia maisha yao wakiwa wenyewe bali na mtu, hawawezi kuji motivate wenyewe ku solve matatizo yanayowakabili bali wanataka ku motivate watu wengine, n.k. Wengine wanaamua kuingia maisha ya ndoa because they want to be taken care off, either emotionally au vinginevyo.

Haya, uliyoyalezea hapo juu na yale ya wachangiaji wengine ndio yanaosababisha kuwa na ndoa na familia tunazoziona sasa. Perhaps the way to address hili tatizo ni kujaribu kujijua wenyewe kwanza kabla hata ya ku explowe mind ya mtu mwingine. It is very easy to mistake physical passion, or romantic infatuation for genuine, long-lasting love. One of the ways to prevent getting married for the wrong reasons is not to date until you are ready for a romantic relationship that may lead to marriage. But if you suggest this to the modern men and women, they will go mad on you.
 
Mbu kuna zile messeji za kuforwadiana nilipata moja nikamtumia dada yangu hatukuongea miezi sita. Sikuwa na nia mbaya ila nilishare na ndugu zangu wote yeye aka mind kaona nimemlenga maana ana kazi yenye kipato cha juu sana na kutwa yuko kwenye ndege. Sasa hiyo message inaongelea mtoto mdogo aliyetaka kushow love kwa mama yake lakini aka end up being ignored. Ni muda siikumbuki vizuri ngoja nii search nikiipata nitaiweka. In short message ilikuwa tusijali sana kazi za ofisini kwani ofisi haina shukurani na haikupendi kama familia yako. Nilikoma kuna watu mwenzangu hawaforwadiwi message ovyo ovyo. Nilijibiwa dry mpaka nilikoma.

Nyumba kubwa, huyo dada amekosa tu busara. Kosa gani kubwa ulolifanya kama sio kumkumbusha upande wa pili wa maisha? By the way, jamani msinione natetea sana kujali mambo mengine apart from kazi...pheeewwwwww!
Kila mtu anatetea ajira yake hapa, yaaani mbu sieleweki hata kidogo!

Kazi (career) sio matumizi (financials)....naomba tafsiri kama nimekosea.
Waweza kufanya kazi masaa kumi na sita kwa siku, yenye ujira mduuuuuchu!...

Vile vile, waweza kuwa na mapato makubwa bila kufanya kazi,
kasheshe ikawa kwenye matumizi yako. Sijui nimeeleweka?

Wanaoweza kufanya uwiano mzuri, ni wale wanaoweza kumudu gharama za maisha kulingana na kazi zao.
Bro BAK, hao wadhungu si unawajua kwa Credit Cards, Overdrafts, Mortgages (foreclosure,) store cards, Car -Hire Purchase na makorokoro mengine tele? Yaani wakae huko huko na systems zao za temptations kwa wenye mioyo midogo...

Ukiendekeza kuchukua 'mikopo' yao, wallahi kila mwezi utajikuta unalipa kuliko mshahara wako, hata kama unachukua zaidi ya £2000 kwa mwezi. Mbaya zaidi, unabanwa na ma interest rates, hata nyumba yako kwa kuogopa repossession unaishia kui remorgage! Hela haitoshi ughaibuni bana, ...unazungumzia family...child minder uingereza kwa wiki analipwa £250, tena huyo ndio wa bei nafuu! Nusura ya hilo, mke inabidi aache kazi apate kulea mtoto.

Achana na ughaibuni bwana, hii wheel of balance acha iwashinde...wamejitakia!
Kwa Tanzania bado kabisa inawezekana,...jiepusheni tu na kuchukua mikopo ya kipuuzi,
na kutoa michango isokichwa wala miguu...

Unakuta watu wanatoa michango ya harusi, kitchen party, birthday, Upatu na mazaga zaga mengine
lakini ukiwashawishi wawekeze kwenye bima ya afya wanakuwa wakali haooo!.... eti akiumwa atajijua huko mbele kwa mbele.
Guys, ---BP ikifumua gonjwa la kisukari, internal Organs zinaathirika...mfano; figo likiathirika na likaacha kuchuja Urea, inabidi ufanyiwe Blood Dialysis,....mashine ya Dialysis inapatikana Regency hospital pale Upanga pekee maana ya Muhimbili ilishachakachuliwa (ama?)

....Sasa niambie session moja ya Dialysis ni kiasi gani!....mmnh....hamchelewi kuvuana saa na hereni mkaweke rehani...Tshs laki tano (500,000/=,) na kwa kawaida zinatakiwa session tatu. Kama hamna mnabakia kumuangalia ndugu yenu roho ikiacha mwili taratibu!!!!!!
 
FAMILY
I ran into a stranger as he passed by
"oh excuse me please" was my reply
He said "please excuse me too;
I wasn't watching for you."
We were very polite, this stranger and I
We went on our way and we said goodbye
But at home a different story is told,
How we treat our loved ones young and old.
Later that day, cooking the evening meal,
My son stood beside me very still.
When I turned, I nearly knocked him down.
"Move out of my way," I said with a frown
He walked away, his little heart broken.
I didn't realize how harshly I'd spoken
While lay awake in bed,
God's still small voice came to me and said,
"While dealing with a stranger,
Common courtesy you use,
But the family you love,
You seem to abuse.
Go and look on the kitchen floor.
You'll find some flowers there by the door.
Those are the flowers he brought for you.
He picked them himself: pink, yellow and blue.
He stood very quietly not to spoil the surprise.
You never saw the tears that filled his little eyes"
By this time I felt very small,
and now my tears began to fall.
I quietly went and knelt by his bed;
"Wake up, little one, wake up" I said.
"Are these the flowers you picked for me?"
He smiled, " I found ‘em, out by the tree.
I picked ‘em because they're pretty like you.
I knew you'd like ‘em, especially the blue."
I said, "Son, I'm very sorry for the way I acted today;
I shouldn't have yelled at you that way"
He said, "Oh Mom, that's okay.
I love you anyway."
I said, "Son, I love you too,
and I do like the flowers, especially the blue."
FAMILY
Are you aware that if we died tomorrow, the company that we are working for could easily replace us in a matter of days? But the family we left behind will feel the loss for the rest of their lives?
And come to think of it, we pour ourselves more into work than into our own family, an unwise investment indeed don't you think?
So what is behind the story?
Do you know what the word FAMILY means?
FAMILY = (F)ather (A)nd (M)other (I) (L)ove (Y)ou
 
Back
Top Bottom