Ibrahim300
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 390
- 68
Babu wa Loliondo a.k.a kikombe cha uzima aliweza kutikisha karibu Afrika nzima kwa madai ya kuwa yeye anaweza kupona ugonjwa wowote kupitia dozi moja ya dawa wa maji pekee.
Wengi walitekwa na jambo hili na kufanya matajiri, maskini, wazee, vijana kumiminika katika kibanda chake cha kuuza hio dawa.
Sasa mzee huyu yuko wapi?
Babu wa Loliondo kwa sasa ameacha kazi ya utabibu baada ya kupata mikwanja ya kutosha. Jamaa huyu alipogunduliwa kuwa dawa yake ilikuwa haifanyi kazi ilimbidi kuingia mafichoni ili kuikwepa laana na mikono ya wengi...bila shaka wengi waliumia kwa kumsikiliza tabibu huyu.
Babu sahizi ni mtu wa kulengwa kwa manati coz anamiliki nyumba, ana gari aina ya land rover na anaishi maisha ya kistarehe kuliko ya wengi wanayoishi majirani zake.
Picha tulizozipata katika blog yetu ya bkuHABARI zinamuonyesha babu wa Loliondo akipiga pozi kando ya Land Cruiser yake na pia sebuleni kwake. Cheki photo hapo chini.
Chanzo: bkuHABARI
Wengi walitekwa na jambo hili na kufanya matajiri, maskini, wazee, vijana kumiminika katika kibanda chake cha kuuza hio dawa.
Sasa mzee huyu yuko wapi?
Babu wa Loliondo kwa sasa ameacha kazi ya utabibu baada ya kupata mikwanja ya kutosha. Jamaa huyu alipogunduliwa kuwa dawa yake ilikuwa haifanyi kazi ilimbidi kuingia mafichoni ili kuikwepa laana na mikono ya wengi...bila shaka wengi waliumia kwa kumsikiliza tabibu huyu.
Babu sahizi ni mtu wa kulengwa kwa manati coz anamiliki nyumba, ana gari aina ya land rover na anaishi maisha ya kistarehe kuliko ya wengi wanayoishi majirani zake.
Picha tulizozipata katika blog yetu ya bkuHABARI zinamuonyesha babu wa Loliondo akipiga pozi kando ya Land Cruiser yake na pia sebuleni kwake. Cheki photo hapo chini.
Chanzo: bkuHABARI



