luchelele mzunguko
JF-Expert Member
- Feb 12, 2021
- 1,206
- 1,641
Tapeli za nini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Babu alitumia akili nyingine sipati picha angetokea kipindi hiki Cha korona angezisanya sana
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Babu kapiga pesa kimasihara tu, Magu ,Lowasa wamekunywa hicho kikombe,kuna ndugu huku alisafiri safari ndefu kwenda huko loliondo ,ila yuko poa labda kilimsaidiaafu wanasema eti sijui ukifika miaka 50 kama hujaukwaa utajiri usahau...kumbe timing zako tu..
Instincts zangu mimi hadi leo huwa zinaniambia kuwa huyu babu alitumiwa na watu wenye akili kubwa waliokuwa wanahitaji kupiga hela ndefu kwa ulaini. Hapa ni akili ndefu tu ilitumika na inayomilikiwa na watu wachache sana hapa duniani.Babu wa Loliondo a.k.a kikombe cha uzima aliweza kutikisha karibu Afrika nzima kwa madai ya kuwa yeye anaweza kupona ugonjwa wowote kupitia dozi moja ya dawa wa maji pekee.
Wengi walitekwa na jambo hili na kufanya matajiri, maskini, wazee, vijana kumiminika katika kibanda chake cha kuuza hio dawa.
Sasa mzee huyu yuko wapi?
Babu wa Loliondo kwa sasa ameacha kazi ya utabibu baada ya kupata mikwanja ya kutosha. Jamaa huyu alipogunduliwa kuwa dawa yake ilikuwa haifanyi kazi ilimbidi kuingia mafichoni ili kuikwepa laana na mikono ya wengi...bila shaka wengi waliumia kwa kumsikiliza tabibu huyu.
Babu sahizi ni mtu wa kulengwa kwa manati coz anamiliki nyumba, ana gari aina ya land rover na anaishi maisha ya kistarehe kuliko ya wengi wanayoishi majirani zake.
Picha tulizozipata katika blog yetu ya bkuHABARI zinamuonyesha babu wa Loliondo akipiga pozi kando ya Land Cruiser yake na pia sebuleni kwake. Cheki photo hapo chini.
Chanzo: bkuHABARI
Duuh huo mkono wa suti si mchezo unaweza kumtosha mtu mwenye kiuno 28The late mwendazake!View attachment 1796820
HahahahaaDuuh huo mkono wa suti si mchezo unaweza kumtosha mtu mwenye kiuno 28
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tapeli la kimataifa
Wengi tyuuh had kina JKBabu kapiga pesa kimasihara tu, Magu ,Lowasa wamekunywa hicho kikombe,kuna ndugu huku alisafiri safari ndefu kwenda huko loliondo ,ila yuko poa labda kilimsaidia
Duuuh had mwenda zake alikunywa kikombe hiki? [emoji849][emoji849][emoji849]The late mwendazake!View attachment 1796820
Alifanya tuwaone watu wengi tuliokuwa tunaamini kuwa wana akili kubwa kumbe mapimbi tu kifo kinaogopwa sana "create fear you will make money.
Tena Mawaziri ndio walikuwa mstari wa mbele kwenda kunywa kikombe hicho, jambo hilo lilifanya hata raia hohehahe wakimbilie kikombeDuuuh had mwenda zake alikunywa kikombe hiki? [emoji849][emoji849][emoji849]
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah aibu kwa kweli, tena hadharani mmmhTena Mawaziri ndio walikuwa mstari wa mbele kwenda kunywa kikombe hicho, jambo hilo lilifanya hata raia hohehahe wakimbilie kikombe