Maisha ya Babu wa Loliondo(Ambilikile Mwasapile) kwa sasa

afu wanasema eti sijui ukifika miaka 50 kama hujaukwaa utajiri usahau...kumbe timing zako tu..
Babu kapiga pesa kimasihara tu, Magu ,Lowasa wamekunywa hicho kikombe,kuna ndugu huku alisafiri safari ndefu kwenda huko loliondo ,ila yuko poa labda kilimsaidia
 
Instincts zangu mimi hadi leo huwa zinaniambia kuwa huyu babu alitumiwa na watu wenye akili kubwa waliokuwa wanahitaji kupiga hela ndefu kwa ulaini. Hapa ni akili ndefu tu ilitumika na inayomilikiwa na watu wachache sana hapa duniani.

Walikaa chini wakapiga mahesabu wakasema tukifanikiwa kupata angalau asilimia 10 ya watanzania ambayo ni takriban watu million 6

6,000,000x500=300,000,000/= (million mia tatu)!
 
Huyu Babu ni Muuaji.....watu walitoka mbali sana, nchini na ngambo kuja kunywa kikombe..........hata nafikiri alikua akikojolea hayo maji!

Vibaya zaidi, watu waliacha kutumia dawa za kisasa, kwani alionya usitumie hicho kikombe na dawa zinginezo.........kwanza waarthiriwa wa UKIMWI ndio wengi aliwamaliza!

Kama ni nchi zilizoondelea angekuwa jela maisha!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…