Maisha ya Dar es Salaam yamejaa anasa na starehe za kila namna

Maisha ya Dar es Salaam yamejaa anasa na starehe za kila namna

ferucho lamborgini

Senior Member
Joined
Nov 25, 2023
Posts
185
Reaction score
599
Kipindi nasoma advance nilikuwa mla bata sana, o-level nilisoma seminary, kwahiyo ile kuja dar ni kama fisi kaachiwa bucha.

Nilikuwa natoroka shule naingia sinza-africa sana kuna club ilikuwa inaitwa Ambiance hapo kulikuwa na malaya wenye mizigo hatari unaweza ukatokwa udenda, ukirudi kwa nyuma kidogo kuna club ilikuwa inaitwa kangaroo, nadhani saivi panaitwa durban.

basi mtaalamu, nikitoka club mida ya saa 11 asubuhi, natoka club hapo nimelewa kama mbwaa, napiga patrol mdogo mdogo huku nikikagua mali, mashangazi yalikuwa yananitoa roho niliyapenda sana.

kuna siku nikapata shangazi ana tako kama sim-tank nilipiga pipe sio mchezo kwa ile burudani nikatamani niingize na kichwa kabisaa.

Hapo Buguruni nilikuwa nawatimbia mida ya saa 12 kasoro asubuhi, kwenye zile mbao, asee nilikuwa napenda mapenzi wazee yaani napishana na watu wanaenda kazini asubuhi, mimi ndiyo kwanza nimebembea kwenye kiuno cha shangazi mmoja huku mlinzi akituchungulia

Huko Shugaray, kwa wahaya ndo usiseme nilikuwa member mwaminifu na jina wananijua.

Nashukuru sikuwahi kupata ugonjwa wowote zaidi ya ile adhana ya asubuhi nikiisikia asubuhi moyo unakuwa unashtuka maana ndo ilikuwa mida yangu ya kwenda kumwaga wareno, pia ile harufu ya mbao nayo inanisumbua moyo unashtuka maana ndo yalikuwa machinjio yangu
 
Sinza ya kipindi cha Kikwete ilikua hot sana. Ukisogea mbele kidogo pale unaikuta La chaz ukikunja kulia kwa mbele kuna meeda(sasa hivi ndo kitambaa cheupe). Baada ya Sinza kushuka chart balaa likaamia tabata.
Ila Tabata kuna balaa aisee

Na joto hili watoto wanaofanya kazi kwenye saloon liquor stores ni mwendo wa nguo nyepesi tuu vibukta tattoo mpka kwenye ulimi 😄
 
Umezunguka madanguro yote yenye pisi mbovu dunia nzima….Ila sijaiona uwanja wa fisi
 
Kipindi nasoma advance nilikuwa mla bata sana, o-level nilisoma seminary, kwahiyo ile kuja dar ni kama fisi kaachiwa bucha.

Nilikuwa natoroka shule naingia sinza-africa sana kuna club ilikuwa inaitwa Ambiance hapo kulikuwa na malaya wenye mizigo hatari unaweza ukatokwa udenda, ukirudi kwa nyuma kidogo kuna club ilikuwa inaitwa kangaroo, nadhani saivi panaitwa durban.

basi mtaalamu, nikitoka club mida ya saa 11 asubuhi, natoka club hapo nimelewa kama mbwaa, napiga patrol mdogo mdogo huku nikikagua mali, mashangazi yalikuwa yananitoa roho niliyapenda sana.

kuna siku nikapata shangazi ana tako kama sim-tank nilipiga pipe sio mchezo kwa ile burudani nikatamani niingize na kichwa kabisaa.

Hapo Buguruni nilikuwa nawatimbia mida ya saa 12 kasoro asubuhi, kwenye zile mbao, asee nilikuwa napenda mapenzi wazee yaani napishana na watu wanaenda kazini asubuhi, mimi ndiyo kwanza nimebembea kwenye kiuno cha shangazi mmoja huku mlinzi akituchungulia

Huko Shugaray, kwa wahaya ndo usiseme nilikuwa member mwaminifu na jina wananijua.

Nashukuru sikuwahi kupata ugonjwa wowote zaidi ya ile adhana ya asubuhi nikiisikia asubuhi moyo unakuwa unashtuka maana ndo ilikuwa mida yangu ya kwenda kumwaga wareno, pia ile harufu ya mbao nayo inanisumbua moyo unashtuka maana ndo yalikuwa machinjio yangu
Ukiona hivi jua hili shamba limekuja jana. Nenda Tandale kwa Mtogole au Kigogo kwa Binti Kayenga uone ukweli wa maisha ya Dar.
 
Kipindi nasoma advance nilikuwa mla bata sana, o-level nilisoma seminary, kwahiyo ile kuja dar ni kama fisi kaachiwa bucha.

Nilikuwa natoroka shule naingia sinza-africa sana kuna club ilikuwa inaitwa Ambiance hapo kulikuwa na malaya wenye mizigo hatari unaweza ukatokwa udenda, ukirudi kwa nyuma kidogo kuna club ilikuwa inaitwa kangaroo, nadhani saivi panaitwa durban.

basi mtaalamu, nikitoka club mida ya saa 11 asubuhi, natoka club hapo nimelewa kama mbwaa, napiga patrol mdogo mdogo huku nikikagua mali, mashangazi yalikuwa yananitoa roho niliyapenda sana.

kuna siku nikapata shangazi ana tako kama sim-tank nilipiga pipe sio mchezo kwa ile burudani nikatamani niingize na kichwa kabisaa.

Hapo Buguruni nilikuwa nawatimbia mida ya saa 12 kasoro asubuhi, kwenye zile mbao, asee nilikuwa napenda mapenzi wazee yaani napishana na watu wanaenda kazini asubuhi, mimi ndiyo kwanza nimebembea kwenye kiuno cha shangazi mmoja huku mlinzi akituchungulia

Huko Shugaray, kwa wahaya ndo usiseme nilikuwa member mwaminifu na jina wananijua.

Nashukuru sikuwahi kupata ugonjwa wowote zaidi ya ile adhana ya asubuhi nikiisikia asubuhi moyo unakuwa unashtuka maana ndo ilikuwa mida yangu ya kwenda kumwaga wareno, pia ile harufu ya mbao nayo inanisumbua moyo unashtuka maana ndo yalikuwa machinjio yangu
 
Back
Top Bottom