Maisha ya Dar vs Maisha ya mikoani

Hamna watu wana mpangilio mzuri wa maisha kama wakulima japokuwa wanapata pesa yao mara chache kwa mwaka!...na wanaishi vizuri kwa mipango yao sasa babu hivi maisha ya machinga unayaona mazuri sana kisa wako dar!!?..you must be joking!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…