Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
CrapEndelea kumsubiri tu usijali.
Ujinga ni pale unapotaka ndoto yako iwe ya kweli kwa wengine!
Ukisema ukweli ni ukabila ?
- Tena hao kina Masanja washukuru maana Mengi angewafunga
Yule mrema? Anaitwa Jose mtoto wa bi shambaIvi yuld mgonjwa aliponaaga??
Hilo jiwe gizani vile [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hivi kuna neno fulani alikuwa analitumia katika komedy zake siku za nyuma ila siku hizi huwa hatumii lina maana gani? " !!!!!!!!!!!MAPOUDOOOOOOO!!!!!!!!!!"
Sio kwa mwaka, ni miaka 3, Pesa aitafute kwa shida halafu ww umpangie matumizi? Ww ndugu zako wapo wenye pesa kwani wameisha kusaidia? Yesu alisema maskini tutakuwanao siku zote[emoji35] [emoji35]Analipia plate no 5M kwa mwaka! angepeleka madawati kijijini kwao watu si wangemshukuru sana?
Unaelewa maana ya kumpangia mtu au umekurupuka kipuuzi baada ya kula mihogo mchana huu.Sio kwa mwaka, ni miaka 3, Pesa aitafute kwa shida halafu ww umpangie matumizi? Ww ndugu zako wapo wenye pesa kwani wameisha kusaidia? Yesu alisema maskini tutakuwanao siku zote[emoji35] [emoji35]
Kwani ww huwezi kupeleka hayo madawati? Au umeifanyia nn familia yako? Mihogo ndio chakula chetu watu wa kandamaalumu wala hujakoseaUnaelewa maana ya kumpangia mtu au umekurupuka kipuuzi baada ya kula mihogo mchana huu.
HongeraKwani ww huwezi kupeleka hayo madawati? Au umeifanyia nn familia yako? Mihogo ndio chakula chetu watu wa kandamaalumu wala hujakosea
Kwanza serikali imeahidi milioni hamsini kila kijiji.. Hata kimoyo moyo ukikutana nayo utaisoma tu ..5m ndogo sn, ww ulishapeleka nn kijijini kwako?
Anatafuta kwa ajl ya familia yake na sio kijiji, kijiji kina serikali atiiii, na serikalini ukijependekeza sn yatakukuta ya manji, hii nchi sio ya kujionesha etii una hela
Mshamba anatemelea Benz na miradi kibao inafanya kazi,Mimi mjanja nimeajiriwa hata laki 5 kwa mwezi cpati.Wewe je?Pesa anayo ila bado ana kaushamba fulani hivi hakajaisha bado
Mkulima mzuri haswa namuona pale chimala.
Pesa haiangalii sura.joti anaendelea kuvaa magauni yake hao wengine sijui wapo wapi
Ulimbukeni
Sawa mkuuSio ulimbukeni wala ushamba Ni mtu kutumia kutumia pesa zako anazozipata kwa akili na jasho lake vile roho inapenda. Msimpangie
Sasa pesa amepatia wapi ndugu kama sio kilimoKilimo hakilipi hivyo jamani tusidanganyane
Kwa nini usiwaambie hao waliozipokea wazipeleke?Analipia plate no 5M kwa mwaka! angepeleka madawati kijijini kwao watu si wangemshukuru sana?
SawaKwa nini usiwaambie hao waliozipokea wazipeleke?