Maisha ya Emmanuel Mgaya maarufu kama Masanja mkandamizaji na waliokuwa comedian wenzake

Maisha ya Emmanuel Mgaya maarufu kama Masanja mkandamizaji na waliokuwa comedian wenzake

Ushamba in ukweli anao tena mpenda misifa.huuu uchungaji ni usanii mwingine tena aliona mbali akaona awe mchungaji ale hela ya wajinga kesho utasikia anafungua kanisa ili awachune vzr wajinga.
 
hatari sana! Mkuu lazima ufaham kuwa kila mmoja ana bahati yake. Mbona wapo wasomi wanapesa nyingi sana. Ishu ni kujituma bila ya kujali elimu yako. Usikate tamaaa na si lazma uwe na pesa kama za Masanja au Joti . Omba uwe na maisha mazuri tu

Amen / Inshaallah Mkuu.
 
Analipia plate no 5M kwa mwaka! angepeleka madawati kijijini kwao watu si wangemshukuru sana?
Ushaanza kupangia matumizi hela ya mwanaume mwenzio....We ushawahi kupeleka hata chaki kijijini kwenu?!
 
Nimeanza kulima mwaka huu bado sijatanua kama yeye....Nina vyanzo viwili vya kuniingizia pesa mpaka sasa....Naamini ndani ya Miaka mitano ijayo nitakua millionaire....Hasa nitakapoaanza kulima kuanzia Hekta 50.
Sasa mwenzako alikua billionea msimu wa kwanza tu,halafu ni heka 50 si hekta. Hekta 50 maana yake heka 150.
 
Back
Top Bottom