Moneyowner
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 1,423
- 1,252
Aisee ule mtandao balaa sana, ila msitishike na mapichapicha hayo wengi wao hata siyo maisha yao halisi.
Kule nenda kutoa stress tu basi.
Kule nenda kutoa stress tu basi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndio umejuwa leo? Hujui kwamba hata picha lazima waziedit kwanza ziwe na rangi ya mzungu ndio wapost?Aisee ule mtandao balaa sana, ila msitishike na mapichapicha hayo wengi wao hata siyo maisha yao halisi.
Kule nenda kutoa stress tu basis
Umejua Leo mkuu? Kwa taarifa yako, siyi INSTA tu!!Aisee ule mtandao balaa sana, ila msitishike na mapichapicha hayo wengi wao hata siyo maisha yao halisi.
Kule nenda kutoa stress tu basis
We Cheka tuu, ila watu wanahangahika sana kwasababu yaoHa haa. Nimecheka kinoma!
Hili neno diaspora lina maana gani Mkuu?Wengi hapa JF ni diaspora
Aisee ule mtandao balaa sana, ila msitishike na mapichapicha hayo wengi wao hata siyo maisha yao halisi.
Kule nenda kutoa stress tu basis
Mkuu sio insta tu hata JF siku hizi maisha ya hapa noma sana.
Kila mtu ni dingoo ana kimango chakutosha, kila mtu hapa JF anamilikia dinga kali kali.
Wengi hapa JF ni diaspora wako mambele huko wanafanya maisha hata ya kubeba boksi.
[emoji102][emoji102][emoji102]Hili neno diaspora lina maana gani Mkuu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama mie nilivyo humu JF aiseee ni mdada/mmama wa kitajiri sana najua kizungu balaa
Ila maisha halisi utanikimbia kwa kushangaa ndo huyu jina kubwa JF
Mkuu nijulishe kama unalifahamu![emoji102][emoji102][emoji102]