Mirlz B Matthew
JF-Expert Member
- Oct 10, 2011
- 2,212
- 3,093
Alikupatia jibu zuri sana....."Aisee siwezi kuwa maskini online na offline.. tuheshimiane upande mmoja japo ni sawa na ndoto" by ~ instagram user.
Siyo rahisi mkuu kupigwa, nimehonga sana haizidi buku 5 hela ya iphone niitoe wapi aisee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wenzako ndio wanapigwagwa ivyo ivyo
Wasapu fesibuku mpaka twita baru telegram mpaka insta kila kona mazee nayopita nakutana na pichaMimi nilikuwa simfahamu demu mmoja wa Kenya anaitwa Huddah..
Sasa nikiwa naperuzi inst nikaona picha za demu mkali anapost, nikamfollow nikacheck picha zake aisee demu yupo bomba kichizi, nika m dm akajibu fresh kwa kuwa alikua alikuwa demu mkali akaniambia nipo wapi nikafake ili nimpate nikamjibu nipe State, akaniuliza wapi huko ni mkoa gani, dah nikasema mbona demu kama mkali halafu mjanja hajui State ni wapi, nikamwambia nipo Unyamwezi akaniambia kumbe wewe upo Tabora, akaniambia nisimsumbue tena, dah nikamwambia hapana nipo Unitee State Of America (Marekani) akajichekesha akaniambia utarudi lini nikamjibu kesho kutwa akaniambia nikirudi nimletee zawadi ya Iphone 5 nikamwambia poa,
Sasa kuja kudadisi nikaja nikangundua yule pimbi alikuwa anatumia picha za Huddah wa kenya, siku nimemwambia nipo bongo tukutane, akaniambia tukutane cocobeach, nilipo enda kumwona demu mwenye coco dah..
[emoji2][emoji2][emoji2] umenifurahisha sana. Umesahau kuwa wengi hapa wana iPhone na Samsung. Sie wenye Itel tunashida wallahiMkuu sio insta tu hata JF siku hizi maisha ya hapa noma sana.
Kila mtu ni dingoo ana kimango chakutosha, kila mtu hapa JF anamilikia dinga kali kali.
Wengi hapa JF ni diaspora wako mambele huko wanafanya maisha hata ya kubeba boksi.
Hahaaa umenikimbusha miezi kadhaa ilopita aliweka dau la mahali kwa anaetaka kumuoa nilazma atoe ML500 baada ya hapo sikupata feedback yoyoteDiva the bawse ndo fake kabisa
Ukimuona insta utamtamani,lakini ukimuona live kama bundi vilee!!!
Zile picha sijui wanatumia sim aina gani, mim inst nilisha achana nayo...Kuna demu mmoja nlikuwa namuona kwny picha nasema huyu mtt balaa sasa nikakutana nae mlimani cty mwnyw nlichoka...zile picha wanasafisha na nn jamani?!
Hao ndo vibaka amin kwambaMimi mwenyewe nashangaaga pesa za bata na mavazi kila siku wanatoa wapi...?
Nimependa slogan zako ntakujumuisha kwenye kosi langu la wakwepa mizinga[emoji28]Siyo rahisi mkuu kupigwa, nimehonga sana haizidi buku 5 hela ya iphone niitoe wapi aisee
Kwa mujibu wa kamusi ya kiswahili ya Oxford iliyofanyiwa marejeo mwaka 2018 tolea namba 1 inatafsiri neno DIASPORA kuwa ni Raia aishie nje ya nchi yake kwa kubeba boksi kwenye masupamaketi, kuendesha matreka mashambani, kuzibua mitaro, kuoa/kuolewa na vikongwe wa nchi aliyopo, kujiuza (Kuwa kahaba wa kike au kiume), kufanya kazi za ndani (housemaid), na kazi zingine za kipato cha chini ambacho raia wa nchi aliyopo ni aibu kuzifanya.Hili neno diaspora lina maana gani Mkuu?
Ukitumia sana inst bila kuchanganya na zako unaweza kuwa mwizi ili upate hela uwe class,Yaani kule ukiwa na roho ndogo unaweza kufa ghafla
Insta wadada wote weupe na wote matajiri hakuna masikini kabisa kama sie hapa
hahahaMimi nilikuwa simfahamu demu mmoja wa Kenya anaitwa Huddah..
Sasa nikiwa naperuzi inst nikaona picha za demu mkali anapost, nikamfollow nikacheck picha zake aisee demu yupo bomba kichizi, nika m dm akajibu fresh kwa kuwa alikua alikuwa demu mkali akaniambia nipo wapi nikafake ili nimpate nikamjibu nipe State, akaniuliza wapi huko ni mkoa gani, dah nikasema mbona demu kama mkali halafu mjanja hajui State ni wapi, nikamwambia nipo Unyamwezi akaniambia kumbe wewe upo Tabora, akaniambia nisimsumbue tena, dah nikamwambia hapana nipo Unitee State Of America (Marekani) akajichekesha akaniambia utarudi lini nikamjibu kesho kutwa akaniambia nikirudi nimletee zawadi ya Iphone 5 nikamwambia poa,
Sasa kuja kudadisi nikaja nikangundua yule pimbi alikuwa anatumia picha za Huddah wa kenya, siku nimemwambia nipo bongo tukutane, akaniambia tukutane cocobeach, nilipo enda kumwona demu mwenye coco dah..
Yap kuna ile stail mpya imeingia anaazima iphone kwa mshkaji alafu anapiga picha akiwa anajiangalia kwenye kioo ili ole logo ya apple ionekane afu anapost[emoji23][emoji2][emoji2][emoji2] umenifurahisha sana. Umesahau kuwa wengi hapa wana iPhone na Samsung. Sie wenye Itel tunashida wallahi
Hiyo ni photoshop mzee babaZile picha sijui wanatumia sim aina gani, mim inst nilisha achana nayo...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kama mie nilivyo humu JF aiseee ni mdada/mmama wa kitajiri sana najua kizungu balaa
Ila maisha halisi utanikimbia kwa kushangaa ndo huyu jina kubwa JF
wanauza machuchuMimi mwenyewe nashangaaga pesa za bata na mavazi kila siku wanatoa wapi...?
Hii ni chaiMimi nilikuwa simfahamu demu mmoja wa Kenya anaitwa Huddah..
Sasa nikiwa naperuzi inst nikaona picha za demu mkali anapost, nikamfollow nikacheck picha zake aisee demu yupo bomba kichizi, nika m dm akajibu fresh kwa kuwa alikua alikuwa demu mkali akaniambia nipo wapi nikafake ili nimpate nikamjibu nipe State, akaniuliza wapi huko ni mkoa gani, dah nikasema mbona demu kama mkali halafu mjanja hajui State ni wapi, nikamwambia nipo Unyamwezi akaniambia kumbe wewe upo Tabora, akaniambia nisimsumbue tena, dah nikamwambia hapana nipo Unitee State Of America (Marekani) akajichekesha akaniambia utarudi lini nikamjibu kesho kutwa akaniambia nikirudi nimletee zawadi ya Iphone 5 nikamwambia poa,
Sasa kuja kudadisi nikaja nikangundua yule pimbi alikuwa anatumia picha za Huddah wa kenya, siku nimemwambia nipo bongo tukutane, akaniambia tukutane cocobeach, nilipo enda kumwona demu mwenye coco dah..
kuna omo maalumKuna demu mmoja nlikuwa namuona kwny picha nasema huyu mtt balaa sasa nikakutana nae mlimani cty mwnyw nlichoka...zile picha wanasafisha na nn jamani?!