Ni neno linalotokana na maneno mawili/matatu; Dai ya sipora. Aliyekuwa analitamka akashindwa kulitamka ka lilivyo andikwa. Yaani "Dai ya Sipora" au Dai pia sehemu ya sipora/ shitaka la sipora. Usiogope ka weye hudaiwi.Hili neno diaspora lina maana gani Mkuu?
Camera ya 360 na filterkuna omo maalum
Nani uyo?kuna omo maalum
Kweli kabisa kama uku JF kila mtu ana mastazi , ana degree wenye diploma wachache na weng waajiliw na magu pia bila kusahau wanaendesha tugari tuzuri na kiwakebehi wengine kwamba hawana hata baby wolker[emoji23]Kila mtu ana good life kule,
Like Irene uwoyaMaisha ya mitandaoni ni usanii mtupu wanafeki life hasa hawa wanajiita wasaniii hakuna kitu njaa tupu
Welcome, mwenyewe i was in love with your Hospitality last Night!
[emoji120][emoji120][emoji120]
vipi Mkuu kunatatizo?Eeh!
vipi Mkuu kunatatizo?
kwanini chiefKubwa sana, nakushauri ukae mbali.
Okay, kama yeye kanielewa huwezi kuzuia!
Okay, kama yeye kanielewa huwezi kuzuia!
Hahahaha AiseeSiku nikinunua Boda boda haki ya nani nakuja kuanzisha uzi humu, msipo changia nacomment mwenyewe, yan kila nusu dk upo ON TOP, nshagundua Haya maisha bila sifa huchomoi, kijana mdg lakn kila ninaemfuata PM hanijui lakn anamiamkia, Shwain Jf
Hahaha hii mbona IPO kinyume nami hata la 2 sijafikaJf ni madon tupu, wasomi wa UD, GPA kubwakubwa, wote wanajua mapenzi, hamna mwenye tecno woye wanaongea madini tupu mkuu. "za kuambiwa changanya na zako"
Mange mwenyew kama mzungu wa mbali anaeishi kisupa staa.... Hizo picha dahKwani huko dada mange yeye anasemaje