Maisha ya Kenani Kihongosi ni somo; hii ndiyo safari yake Kiongozi

Nakubaliana na wewe. CV huwa inaonyesha achievements by merit! Kwenda kwenye mkutano China is not by merit, alishindana na Nani akapata hiyo achievement......
Umenena vyema sana....kuna ushabiki mwingi wa kipuuzi kabisa. Hakuna lolote hapo...
 
Kuna kipi cha kujifunza hapa.....hamna chochote acheni ushabiki vijana fanyeni kazi. Ujinga mtupu kusifia sifia tu. what is so special hapo? Tuna kazi ya kukuza uchumi wa nchi tukafanye kazi.
Huyu Kenan ni sehemu ya kukuza uchumi wa nchi maana nafasi aliyopata ni ya kuhakikisha Ilani ya Chama chake inatekelezwa. Kikubwa tumpe ushirikiano lakini pia kiongozi yeyote hawezi kufanya kazi akiwa pekee yake.
 
Hivi ni mimi tu ambae nimeshindwa kuona somo lolote hapa? Si kila mtu huwa anajishuhulisha na interest zake za kimaisha? Sasa ni nini kilicho special hapa cha mtu kujifunza?
 
Hivi Hana konekisheni kwenye system, ie Hana wanaombeba? Maana kwenye siasa Ni kubebana, not meritocracy
Alafu si umeona cv yake kakitumikia chama
Kakimbiza mpaka mbio za mwenge
Kwangu mimi naona ana stahili nafasi

Ova
 
Ajirekebishe, aache kuropoka ropoka. Kwa ujumla sasa akue. Tatizo la UVCCM ni uuaji.
Tumuamini, uongozi ni kujifunza na kadri tunavyopata nafasi ndivyo tunavyozidi kukua na kuongezeka katika ufahamu wa mambo ya uongozi.
 
Kuna fungu la pesa, ulevi na ufuska nyakati za usiku!
Haya mengine ni utashi wako. Unapolipwa kwa kukimbiza mwenge hakuna atakayekupangia matumizi ya pesa yako, ukiipeleka Bar au kununua uwanja ni wewe, ukienda kuhonga au kununua shamba la mpunga ni wewe.
 
Tumuamini, uongozi ni kujifunza na kadri tunavyopata nafasi ndivyo tunavyozidi kukua na kuongezeka katika ufahamu wa mambo ya uongozi.
Aache mihemko, mara leo anacharaza bakora watu hawa, mara kesho anasema wapinzani wachinjwe na wauawe. Ujinga mtupu kijana mdogo huyu, mtena angefika mbali sana! Ulimbukeni wake ni mwingi mno!
 
Duh kumbe mtu unateuliwa kuongoza mbio za mwenge?Si adhabu hiyo?..

Sitamani mtu aniteue kwa ujinga huo
Nafasi za kuomba kukimbiza mwenge huwa zinatangazwa, ukiamua kuomba unaweza kupata, wala siyo za uteuzi. Ila inakujengea ukakamavu na uzalendo
 
Somo liko wapi hapo sasa??
 
Nakubaliana na wewe. CV huwa inaonyesha achievements by merit! Kwenda kwenye mkutano China is not by merit, alishindana na Nani akapata hiyo achievement......
Wewe ungeipata exposure ya kwenda China ungeikataa?
 
Ni andiko la akili ndogo sana
Hivi ni mimi tu ambae nimeshindwa kuona somo lolote hapa? Si kila mtu huwa anajishuhulisha na interest zake za kimaisha? Sasa ni nini kilicho special hapa cha mtu kujifunza?
 
Kila mtu anapambana kwenye nafasi yake.

Wengine wanapambana huku mitaani.

Nyie mnapambana kwenye siasa!

Ova
Bavicha ukiwaambia haya hawakuelewi!

Wao wanaamini Lisu akiwa rais ndio umasikini wao utaisha

Ukiwaambia Mbowe ni tajiri wakati Lisu hajawahi kuwa hata mjumbe wake wa nyumba 10 hakuelewi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mafanikio ya hiyo CV,
Kuchapa viboko?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…