Maisha ya Kenani Kihongosi ni somo; hii ndiyo safari yake Kiongozi

Maisha ya Kenani Kihongosi ni somo; hii ndiyo safari yake Kiongozi

Mbona sasa ana roho mbaya ya chuki ya kutamka zito auwawe Ina maana alipopita kote huko ajajistructure Ili awe civilized
 
Siyo lazima wote tupambane huko kwenye uvccm yenu! Sisi wengine tunapambana huku mtaani kiasi cha kuitwa Mabosi!
Wqpo wengine wanapambana uvccm huko
Wengine wanapambana bavicha
Wengine wanapambana mahakamani huko
Wengine wanapambana baharini huko
Wengine wanapambana kwenye biashara

Si wengine tuko huku mbali tunapambana na wakulima wa --- tunawaletea longolongo uwongo mwingi,tupate ugali

Ova
 
JE, WAJUA?

Maisha ya Kenani yanatupa Somo

- Amekuwa Waziri Mkuu wa Chuo Kikuu cha Iringa

- Amekuwa Katibu Mkuu Mtendaji wa Jumuiya ya vyuo vikuu Tanzania TAHLISO

- Amekuwa mjumbe wa Kamati ya Siasa Tawi.

- Mjumbe wa Kamati ya siasa Kata.

- Mjumbe halmasahuri Kuu ya Wilaya.

- Mjumbe wa Kamati ya siasa ya Mkoa.

- Mjumbe wa halmashauri kuu ya Mkoa.

- Mjumbe wa Baraza kuu UVCCM Taifa,

- Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa

- Amegombea udiwani akakosa

- Akagombea uenyekiti UVCCM wilaya akakosa

- Akagombea uenyekiti wa UVCCM mkoa akapata

- Akaenda China kuwakilisha mkutano wa kiuchumi wa Vijana 2018

- Akateuliwa kukimbiza mwenge wa Uhuru kitaifa

- Akateuliwa kuwa DC Wialaya ya Arusha, baadae Akateuliwa tena Wilaya ya Iramba

- Leo Mwenyekiti wa CCM TAIFA Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan na Kamati Kuu ya CCM wanamteua kuwa katibu mkuu UVCCM Taifa.

Usikate tamaa, kuwa muadilifu, kuwa mzalendo, penda kujitolea na ishi kwa kuheshimu wengine. Wakati wa Mungu ukifika utainuka. Kazi iendelee

Watajifunza wanaotaka kupitia njia ya siasa bali sisi wengine tunapitia njia ya Utumishi wa umma kupanda ngazi ila sio za ccm hizo pandeni wenye chama chenu
 
Ifike mahali ujinga wa namna hiyo isipewe air time

Yani mafanikio ya kisiasa tunayapa air time sana ndio maana Teuzism disoder inatawala kwa vijana wengi sana.

Tunaacha kuwa air time wataalamu tunawapa wanasiasa uchwara
 
Inavyoonekana jamaa kawekeza kwenye siasa.
 
JE, WAJUA?

Maisha ya Kenani yanatupa Somo

- Amekuwa Waziri Mkuu wa Chuo Kikuu cha Iringa

- Amekuwa Katibu Mkuu Mtendaji wa Jumuiya ya vyuo vikuu Tanzania TAHLISO

- Amekuwa mjumbe wa Kamati ya Siasa Tawi.

- Mjumbe wa Kamati ya siasa Kata.

- Mjumbe halmasahuri Kuu ya Wilaya.

- Mjumbe wa Kamati ya siasa ya Mkoa.

- Mjumbe wa halmashauri kuu ya Mkoa.

- Mjumbe wa Baraza kuu UVCCM Taifa,

- Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa

- Amegombea udiwani akakosa

- Akagombea uenyekiti UVCCM wilaya akakosa

- Akagombea uenyekiti wa UVCCM mkoa akapata

- Akaenda China kuwakilisha mkutano wa kiuchumi wa Vijana 2018

- Akateuliwa kukimbiza mwenge wa Uhuru kitaifa

- Akateuliwa kuwa DC Wialaya ya Arusha, baadae Akateuliwa tena Wilaya ya Iramba

- Leo Mwenyekiti wa CCM TAIFA Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan na Kamati Kuu ya CCM wanamteua kuwa katibu mkuu UVCCM Taifa.

Usikate tamaa, kuwa muadilifu, kuwa mzalendo, penda kujitolea na ishi kwa kuheshimu wengine. Wakati wa Mungu ukifika utainuka. Kazi iendelee

 
Mi sio CCM, Ila namkubali. nimekutana nae kama mara 2 arusha. Ni chalii poa sana.
 
Mafanikio ya hiyo CV,
Kuchapa viboko?
Kumbe ndiye huyu na roho yake ya korosho! Nadhani hii ndiyo ingekuwa CV yake namba moja!
Jeshini kwa wasiojulikana hakupita kweli huyu! Ndani ya CCM huyu ni mtaji, nje ya CCM hafai!

 
Kila mtu anapambana kwenye nafasi yake.

Wengine wanapambana huku mitaani.

Nyie mnapambana kwenye siasa!

Ova
Hawa kwenye siasa ni matapeli. Kupambana kwao ni kwa kuzidiana kujipendekeza na ghilba. Halafu watanzania wengi siku hizi wanaamini kuteuliwa kuwa kiongozi ndiyo kilele cha mafanikio. Kama huyu mwanzisha thread amejaribu kuonyesha eti jamaa kapambana lakini mimi sioni alichopambana nacho bali ni mtu aliyeamua kuwa njia anayodhani itampa kula yake ni siasa.
 
Ajirekebishe, aache kuropoka ropoka. Kwa ujumla sasa akue. Tatizo la UVCCM ni uuaji.
Huko bila kuropoka utakubalika? Unataka kusema mtu anaweza kukubalika kwenye kundi la matapeli bila kuwa tapeli?
 
Hawa kwenye siasa ni matapeli. Kupambana kwao ni kwa kuzidiana kujipendekeza na ghilba. Halafu watanzania wengi siku hizi wanaamini kuteuliwa kuwa kiongozi ndiyo kilele cha mafanikio. Kama huyu mwanzisha thread amejaribu kuonyesha eti jamaa kapambana lakini mimi sioni alichopambana nacho bali ni mtu aliyeamua kuwa njia anayodhani itampa kula yake ni siasa.
Mwanasiasa yoyote unafki lazima awe nao

Ndomana watu wanaambiwa usimpe dhamana mwanasiasa

Ova
 
Back
Top Bottom