Ndege wafananao huruka pamoja na kwa tabia yake huyu kweli kalelewa Ki-CCM na hapo kafika nyumbani. UDC ulimpwaya! Katika waliokomaa kwa unafiki na kufuzu, huyu kweli ni zao la UVCCM! Sifa zote anazo!Huko bila kuropoka utakubalika? Unataka kusema mtu anaweza kukubalika kwenye kundi la matapeli bila kuwa tapeli?
JE, WAJUA?
Maisha ya Kenani yanatupa Somo
- Amekuwa Waziri Mkuu wa Chuo Kikuu cha Iringa
- Amekuwa Katibu Mkuu Mtendaji wa Jumuiya ya vyuo vikuu Tanzania TAHLISO
- Amekuwa mjumbe wa Kamati ya Siasa Tawi.
- Mjumbe wa Kamati ya siasa Kata.
- Mjumbe halmasahuri Kuu ya Wilaya.
- Mjumbe wa Kamati ya siasa ya Mkoa.
- Mjumbe wa halmashauri kuu ya Mkoa.
- Mjumbe wa Baraza kuu UVCCM Taifa,
- Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa
- Amegombea udiwani akakosa
- Akagombea uenyekiti UVCCM wilaya akakosa
- Akagombea uenyekiti wa UVCCM mkoa akapata
- Akaenda China kuwakilisha mkutano wa kiuchumi wa Vijana 2018
- Akateuliwa kukimbiza mwenge wa Uhuru kitaifa
- Akateuliwa kuwa DC Wialaya ya Arusha, baadae Akateuliwa tena Wilaya ya Iramba
- Leo Mwenyekiti wa CCM TAIFA Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan na Kamati Kuu ya CCM wanamteua kuwa katibu mkuu UVCCM Taifa.
Usikate tamaa, kuwa muadilifu, kuwa mzalendo, penda kujitolea na ishi kwa kuheshimu wengine. Wakati wa Mungu ukifika utainuka. Kazi iendelee
JE, WAJUA?
Maisha ya Kenani yanatupa Somo
- Amekuwa Waziri Mkuu wa Chuo Kikuu cha Iringa
- Amekuwa Katibu Mkuu Mtendaji wa Jumuiya ya vyuo vikuu Tanzania TAHLISO
- Amekuwa mjumbe wa Kamati ya Siasa Tawi.
- Mjumbe wa Kamati ya siasa Kata.
- Mjumbe halmasahuri Kuu ya Wilaya.
- Mjumbe wa Kamati ya siasa ya Mkoa.
- Mjumbe wa halmashauri kuu ya Mkoa.
- Mjumbe wa Baraza kuu UVCCM Taifa,
- Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa
- Amegombea udiwani akakosa
- Akagombea uenyekiti UVCCM wilaya akakosa
- Akagombea uenyekiti wa UVCCM mkoa akapata
- Akaenda China kuwakilisha mkutano wa kiuchumi wa Vijana 2018
- Akateuliwa kukimbiza mwenge wa Uhuru kitaifa
- Akateuliwa kuwa DC Wialaya ya Arusha, baadae Akateuliwa tena Wilaya ya Iramba
- Leo Mwenyekiti wa CCM TAIFA Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan na Kamati Kuu ya CCM wanamteua kuwa katibu mkuu UVCCM Taifa.
Usikate tamaa, kuwa muadilifu, kuwa mzalendo, penda kujitolea na ishi kwa kuheshimu wengine. Wakati wa Mungu ukifika utainuka. Kazi iendelee
Sio kuongoza kukimbiza mikoa yote unachotakiwa kujua kuwa mpaka mzunguuko unaisha kamalza km ngap?Duh kumbe mtu unateuliwa kuongoza mbio za mwenge?Si adhabu hiyo?..
Sitamani mtu aniteue kwa ujinga huo
Inaonekana ukiwa mtu wa Chama sana ni lazima ukose akili na ushahidi ni huyu jamaa.JE, WAJUA?
Maisha ya Kenani yanatupa Somo
- Amekuwa Waziri Mkuu wa Chuo Kikuu cha Iringa
- Amekuwa Katibu Mkuu Mtendaji wa Jumuiya ya vyuo vikuu Tanzania TAHLISO
- Amekuwa mjumbe wa Kamati ya Siasa Tawi.
- Mjumbe wa Kamati ya siasa Kata.
- Mjumbe halmasahuri Kuu ya Wilaya.
- Mjumbe wa Kamati ya siasa ya Mkoa.
- Mjumbe wa halmashauri kuu ya Mkoa.
- Mjumbe wa Baraza kuu UVCCM Taifa,
- Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa
- Amegombea udiwani akakosa
- Akagombea uenyekiti UVCCM wilaya akakosa
- Akagombea uenyekiti wa UVCCM mkoa akapata
- Akaenda China kuwakilisha mkutano wa kiuchumi wa Vijana 2018
- Akateuliwa kukimbiza mwenge wa Uhuru kitaifa
- Akateuliwa kuwa DC Wialaya ya Arusha, baadae Akateuliwa tena Wilaya ya Iramba
- Leo Mwenyekiti wa CCM TAIFA Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan na Kamati Kuu ya CCM wanamteua kuwa katibu mkuu UVCCM Taifa.
Usikate tamaa, kuwa muadilifu, kuwa mzalendo, penda kujitolea na ishi kwa kuheshimu wengine. Wakati wa Mungu ukifika utainuka. Kazi iendelee
Hawa rafili zangu wa Akina Mutwa nawaamini sana kwa uzalendo na uongozi. Akamilishe degree zote kwanza ndio tumjadili.JE, WAJUA?
Maisha ya Kenani yanatupa Somo
- Amekuwa Waziri Mkuu wa Chuo Kikuu cha Iringa
- Amekuwa Katibu Mkuu Mtendaji wa Jumuiya ya vyuo vikuu Tanzania TAHLISO
- Amekuwa mjumbe wa Kamati ya Siasa Tawi.
- Mjumbe wa Kamati ya siasa Kata.
- Mjumbe halmasahuri Kuu ya Wilaya.
- Mjumbe wa Kamati ya siasa ya Mkoa.
- Mjumbe wa halmashauri kuu ya Mkoa.
- Mjumbe wa Baraza kuu UVCCM Taifa,
- Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa
- Amegombea udiwani akakosa
- Akagombea uenyekiti UVCCM wilaya akakosa
- Akagombea uenyekiti wa UVCCM mkoa akapata
- Akaenda China kuwakilisha mkutano wa kiuchumi wa Vijana 2018
- Akateuliwa kukimbiza mwenge wa Uhuru kitaifa
- Akateuliwa kuwa DC Wialaya ya Arusha, baadae Akateuliwa tena Wilaya ya Iramba
- Leo Mwenyekiti wa CCM TAIFA Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan na Kamati Kuu ya CCM wanamteua kuwa katibu mkuu UVCCM Taifa.
Usikate tamaa, kuwa muadilifu, kuwa mzalendo, penda kujitolea na ishi kwa kuheshimu wengine. Wakati wa Mungu ukifika utainuka. Kazi iendelee
Mzee wa MafailiHivi Hana konekisheni kwenye system, ie Hana wanaombeba? Maana kwenye siasa Ni kubebana, not meritocracy
Mkoa gani?KAWA MKUU WA MKOA BADO KIJANA..LEO
Mkuu, umefanya vyema kwa taarifa ya huyu kijana, lakini haya mambo ndani ya CCM ndiyo yanayotupa matatizo siku hizi.Usikate tamaa, kuwa muadilifu, kuwa mzalendo, penda kujitolea na ishi kwa kuheshimu wengine. Wakati wa Mungu ukifika utainuka. Kazi iendelee
Tuna akili za kichawa chawa na kipigaji pigaji. Hko kote alikopita hutasikia kama aliwahi kusema kwa mdomo tu jambo la heri kwa nchi yetu. Utakuta alikuwa anasifia na kujipendekeza. Watu wa aina hii ndiyo wanairudisha Tanzania nyuma.JE, WAJUA?
Maisha ya Kenani yanatupa Somo
- Amekuwa Waziri Mkuu wa Chuo Kikuu cha Iringa
- Amekuwa Katibu Mkuu Mtendaji wa Jumuiya ya vyuo vikuu Tanzania TAHLISO
- Amekuwa mjumbe wa Kamati ya Siasa Tawi.
- Mjumbe wa Kamati ya siasa Kata.
- Mjumbe halmasahuri Kuu ya Wilaya.
- Mjumbe wa Kamati ya siasa ya Mkoa.
- Mjumbe wa halmashauri kuu ya Mkoa.
- Mjumbe wa Baraza kuu UVCCM Taifa,
- Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa
- Amegombea udiwani akakosa
- Akagombea uenyekiti UVCCM wilaya akakosa
- Akagombea uenyekiti wa UVCCM mkoa akapata
- Akaenda China kuwakilisha mkutano wa kiuchumi wa Vijana 2018
- Akateuliwa kukimbiza mwenge wa Uhuru kitaifa
- Akateuliwa kuwa DC Wialaya ya Arusha, baadae Akateuliwa tena Wilaya ya Iramba
- Leo Mwenyekiti wa CCM TAIFA Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan na Kamati Kuu ya CCM wanamteua kuwa katibu mkuu UVCCM Taifa.
Usikate tamaa, kuwa muadilifu, kuwa mzalendo, penda kujitolea na ishi kwa kuheshimu wengine. Wakati wa Mungu ukifika utainuka. Kazi iendelee
Mleta mada hakumtendea haki, '' CV' ya huyo bwana imekosa mstari muhimuNdege wafananao huruka pamoja na kwa tabia yake huyu kweli kalelewa Ki-CCM na hapo kafika nyumbani. UDC ulimpwaya! Katika waliokomaa kwa unafiki na kufuzu, huyu kweli ni zao la UVCCM! Sifa zote anazo!
SimiyuMkoa gani?