Maisha ya Kiduku Lilo

Na toka ofisini saa 7 na elekea white sands
 
halafu siku isiyo na jina mtu kama kidukulilo atapotea jukwaani,bila kujua amekutwa na nini tutamtafuta tukumbushane moment za furaha kama hizi lakini inaweza kuwa ngumu.

maisha maisha maisha.fulahia sasa maana ndio unaishi hivi.
 
Huwa nazipenda sana story za huyu jamaa
 
Maskini tupo wachache sana hapa jf

Ngoja tuendelee kubeba maboksi ya wazungu
 
Haya yalikua maisha bora kwa mtz sasa ni boss wa dsm tu ndio anakula bataa hii
 
mungu akuzidishie mkuu kama kweli umefanya hivyo.
 
Kiduku Lilo namkubali sana na stories zake zina mtiririko unaoeleweke kitu kinachoonyesha ni uhalisia
 
Dr, Kiduku lilo huagiza pafyumu ya dola 690 kutoka paris. Kwa TZ Hupendelea za kuanzia 1M, halafu hatumii wallet kuweka fedha!! ...bado sana kumuigiza uyu jamaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…