I am back madam. I travelled almost all over America. Sasa nipo napata mapumziko but nadhani weekend hii ntaenda Zanzibar.Hata mimi nimemmiss Kiduku Lilo sijui yupo canada ama?
Mkuu ni roho tu mbaya za kimaskini. Nlikuwa sijui maana ya kufirisika ndo nmeuliza nikaambiwa ni kupungukiwa mali au pesa.Sijapungukiwa ndo kwanza zinaoongezeka.Mimi nipo nlikuwa tu katika safari nje ya nchiHaiwezekani ! kapunwa na Mademu wa Bagamoyo au TRA ? Kiduku Lilo huyu huyu mzee wa Magari ya bei kali ?
😁😁I am back madam. I travelled almost all over America. Sasa nipo napata mapumziko but nadhani weekend hii ntaenda Zanzibar.
Welcome back jamaniiiI am back madam. I travelled almost all over America. Sasa nipo napata mapumziko but nadhani weekend hii ntaenda Zanzibar.