Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Ni sheedaaa simu standard yenye kusupport instagram,whatsapp,opera,email za exchange/pop3,skype front cam inatosha! Kutoa dola 1000 kwa ajili ya kuorder SG N4 halafu simu yenyewe unaweka vocha za jero jero wala si post paid basi ni majanga mengine bora uiuze ufuge kuku kama kala jeremiah alivoshauri.
Hii simu kwa nchi Kama China tayari imeshatoka. Na inauzwa karibu Milioni na nusu kwa pesa za kitanzania. Na ni kama wiki ya pili sasa tangu itoke.
Tusiwe na chuki zisizo na msingi
Acha kutetea ujinga, labda huwajui Bongo mavi.
Billionare Diamond ana BMW X6 used ndio sembuse huyu anayeishi kwa hisani ya K?
Acha kutetea ujinga, labda huwajui Bongo mavi.
Billionare Diamond ana BMW X6 used ndio sembuse huyu anayeishi kwa hisani ya K?
Kwani hiyo simu ni big deal kihivyo?
Kwani hiyo simu ni big deal kihivyo?
Nilichotetea nini?
Sana tu kwa Bongo, ingekuwa siyo big deal asingefake maisha na kujifaraguwa.
Read between the line.
Akifake maisha, na wewe ukamuweka mawazoni kiasi cha kumuandika hapa, wewe una muda wa kufuatilia watu wanao fake maisha.
You are worse than those who fake it.
My dude umasikini wa mawazo tabu sana.
Watu wanahangaika kutafuta dawa ya Ebola na kufanya kilimo cha umwagiliaji Mars.
Huku sie mtu anayejulikana kwamba ni controversial kajipigia picha sinu yake, the weak minded are frenzied.
You have weak mind indeed, hao wanaitwa kioo cha jamii na wana followers wao huko Instagram ni lazima tukemee ujinga huu.
Ujinga unaolikabiri Taifa unatosha sana hatuwezi kumchekea mtu anayetaka kuwajaza ujinga vijana wetu.
That's is ur opinion, neno lako si sheria wala msaafu.
You have weak mind indeed, hao wanaitwa kioo cha jamii na wana followers wao huko Instagram ni lazima tukemee ujinga huu.
Ujinga unaolikabiri Taifa unatosha sana hatuwezi kumchekea mtu anayetaka kuwajaza ujinga vijana wetu.
You have weak mind indeed, hao wanaitwa kioo cha jamii na wana followers wao huko Instagram ni lazima tukemee ujinga huu.
Ujinga unaolikabiri Taifa unatosha sana hatuwezi kumchekea mtu anayetaka kuwajaza ujinga vijana wetu.
You have weak mind indeed, hao wanaitwa kioo cha jamii na wana followers wao huko Instagram ni lazima tukemee ujinga huu.
Ujinga unaolikabiri Taifa unatosha sana hatuwezi kumchekea mtu anayetaka kuwajaza ujinga vijana wetu.