chollemadulu
JF-Expert Member
- Dec 8, 2013
- 257
- 78
Hapo sasa ndio inapo ijia shida wanaendaga wapi au uwa wanaishi milele wasipo shambuliwaSijawahi ona kunguru akifa mwenyewe
Labda ashambuliwe
Mkuu labda hao ni wakutengeneza kama wakichina hiviG O O G L EView attachment 1648103
Hata sijuiHapo sasa ndio inapo ijia shida wanaendaga wapi au uwa wanaishi milele wasipo shambuliwa
Wajuvi wa mambo njooni mtufumbue macho kama vile wanasayansi karibuni jamani sisi hatujuiHata sijui
Labda wanahama baada ya mda.hawarundikani sehemu moja
Mimi mwenyewe nina miaka thelasini na saba tu labda nawenyewe hivyohivyo
Utaonaje sasa na hukai nao??Sijawahi ona kunguru akifa mwenyewe
Labda ashambuliwe
Wanalala kwenye miti ya minazi nnapoishi.Utaonaje sasa na hukai nao??
Binadamu si watu wazuriSijawahi ona kunguru akifa mwenyewe
Labda ashambuliwe