Maisha ya magereza ya Tanzania ni kama jela za Marekani?

Maisha ya magereza ya Tanzania ni kama jela za Marekani?

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Maisha ya magereza wengi tumezoea kuyaona kwenye muvi na miziki hasa ya Kimarekani. Magereza ya huko kuna ubabe uliokithiri, magenge na kubakana kwa sana.

Kwa hapa Tanzania haya mambo nayo yapo?
 
Maisha ya magereza wengi tumezoea kuyaona kwenye muvi na miziki hasa ya Kimarekani. Magereza ya huko kuna ubabe uliokithiri, magenge na kubakana kwa sana.

Kwa hapa Tanzania haya mambo nayo yapo?
Kubakwa ni lazma
 
Umekosea kuandika MTU anayeishi jela marekani ambaye anakesi za kawaida MAISHA ni mazuri ndani ya jela kuzidi hata MTU aliyepo huru Tz

So jifunze kuwa deep conscious.
 
Back
Top Bottom