Maisha ya mahusiano ya mapenzi niliyopitia mwaka 2024

Maisha ya mahusiano ya mapenzi niliyopitia mwaka 2024

monotheist

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2017
Posts
830
Reaction score
1,449
Mwaka 2024 lengo langu lilikua ni kitafuta mwenza hatimae tufunge ndoa lakini mambo yalikua tofauti kulingana na changamoto nilizokutana nazo katika mahusiano kutoka kwa wanawake mbalimbali

Mwanamke wa kwanza;

Huyu dada nilikutana nae mwanzoni mwa mwaka 2023 nilimpenda sana na nilikua tayari kuishi naye hata kwa ndoa ya serikalini ni single mother wa mtoto 1, ni mchaga, mkritu, anakunywa pombe, anakula kitimoto, anajua sana kutafuta pesa na anajiweza kiasi kiuchumi ila ni jeuri. Alinipenda sana na alikua ananipa sana vizawadi, mimi ni muislam na sinywi pombe tuliachana baada ya kuona hawezi kua mke bora maana alikia jeuri mno na alikua haipendi hata kidogo dini ya kiislam na alikua hawezi kuzuia hisia zake zidi ya uislam

Mwanamke wa pili;

Huyu nilikutana nae mwanzoni mwa 2024 ni muislam, mmakonde, bado alikua hajamaliza ujana (umri miaka 24), si mkweli mala aniambie anaishi kwa kaka yake mala dada yake, anaomba sana pesa hadi kero, alikua ananilazimisha sana nimuoe, jeuri akiamua siku nzima ananizimia simu na anaweza akasafiri bila kuniaga naye nikapiga chini

Mwanamke wa tatu;

Huyu dada anaishi mtaa wa pili baada ya mtaa ninaoishi ni muislam, huyu dada ajuagi utani wa mapenzi anakuzingu muda huohuo, anatabia ya kupayuka kwa sauti kubwa mkikwaruzana, anapenda sana kununa bila sababu za msingi, pia nazani anashida kwenye hisia alishawahi ingia geto kwangu mara 4 sijaambulia chochote ukimuandaa yeye anapiga story tu na ukiingiza dushe ni ugomvi hapo na wala si bikra naye tabia zikanishinda nikapiga chini

Mwanamke wa nne;

Huyu mdada alikua anashepu namba 8 ni mkristo miaka 22, si mkweli alikua beki 3 aliniongopea anaishi kwa dada yake, papuchi yake ilikua inanjia kubwa sana kama mdomo wa mamba ukimuweka dog style aisee ni mishuzi tu hadi kero, alikua hapendi kunyoa nywele za papuchi sijui alikua anashida gani huyu mdada anaacha msitu na hili joto la Dar ukimlazimisha ananuna na papuchi hatoi nilikua nazagamua hivyohivyo na ma nywele yake naye nikapiga chini

ANGALIZO; usioe au usiolewe kwa kukurupuka hakikisha mnatengeneza partinership mchunguzane mkishaliziana ndio uoe au uolewe binaadam tunatabia ya kuficha mapungufu usiombe hayo mapungufu ukutane nayo kwenye ndoa utasaga meno.

Imani yangu mwaka huu 2025 mungu atanibariki mke bora, mcha mungu, mkweli na mnyenyekevu insha'Allah
 
Mwaka 2024 lengo langu lilikua ni kitafuta mwenza hatimae tufunge ndoa lakini mambo yalikua tofauti kulingana na changamoto nilizokutana nazo katika mahusiano kutoka kwa wanawake mbalimbali

Mwanamke wa kwanza;

Huyu dada nilikutana nae mwanzoni mwa mwaka 2023 nilimpenda sana na nilikua tayari kuishi naye hata kwa ndoa ya serikalini ni single mother wa mtoto 1, ni mchaga, mkritu, anakunywa pombe, anakula kitimoto, anajua sana kutafuta pesa na anajiweza kiasi kiuchumi ila ni jeuri. Alinipenda sana na alikua ananipa sana vizawadi, mimi ni muislam na sinywi pombe tuliachana baada ya kuona hawezi kua mke bora maana alikia jeuri mno na alikua haipendi hata kidogo dini ya kiislam na alikua hawezi kuzuia hisia zake zidi ya uislam

Mwanamke wa pili;

Huyu nilikutana nae mwanzoni mwa 2024 ni muislam, mmakonde, bado alikua hajamaliza ujana (umri miaka 24), si mkweli mala aniambie anaishi kwa kaka yake mala dada yake, anaomba sana pesa hadi kero, alikua ananilazimisha sana nimuoe, jeuri akiamua siku nzima ananizimia simu na anaweza akasafiri bila kuniaga naye nikapiga chini

Mwanamke wa tatu;

Huyu dada anaishi mtaa wa pili baada ya mtaa ninaoishi ni muislam, huyu dada ajuagi utani wa mapenzi anakuzingu muda huohuo, anatabia ya kupayuka kwa sauti kubwa mkikwaruzana, anapenda sana kununa bila sababu za msingi, pia nazani anashida kwenye hisia alishawahi ingia geto kwangu mara 4 sijaambulia chochote ukimuandaa yeye anapiga story tu na ukiingiza dushe ni ugomvi hapo na wala si bikra naye tabia zikanishinda nikapiga chini

Mwanamke wa nne;

Huyu mdada alikua anashepu namba 8 ni mkristo miaka 22, si mkweli alikua beki 3 aliniongopea anaishi kwa dada yake, papuchi yake ilikua inanjia kubwa sana kama mdomo wa mamba ukimuweka dog style aisee ni mishuzi tu hadi kero, alikua hapendi kunyoa nywele za papuchi sijui alikua anashida gani huyu mdada anaacha msitu na hili joto la Dar ukimlazimisha ananuna na papuchi hatoi nilikua nazagamua hivyohivyo na ma nywele yake naye nikapiga chini

ANGALIZO; usioe au usiolewe kwa kukurupuka hakikisha mnatengeneza partinership mchunguzane mkishaliziana ndio uoe au uolewe binaadam tunatabia ya kuficha mapungufu usiombe hayo mapungufu ukutane nayo kwenye ndoa utasaga meno.

Imani yangu mwaka huu 2025 mungu atanibariki mke bora, mcha mungu, mkweli na mnyenyekevu insha'Allah
Du!! Je wewe hauna mapungufu? Hebu jichunguze kwanza.
 
Mwaka 2024 lengo langu lilikua ni kitafuta mwenza hatimae tufunge ndoa lakini mambo yalikua tofauti kulingana na changamoto nilizokutana nazo katika mahusiano kutoka kwa wanawake mbalimbali

Mwanamke wa kwanza;

Huyu dada nilikutana nae mwanzoni mwa mwaka 2023 nilimpenda sana na nilikua tayari kuishi naye hata kwa ndoa ya serikalini ni single mother wa mtoto 1, ni mchaga, mkritu, anakunywa pombe, anakula kitimoto, anajua sana kutafuta pesa na anajiweza kiasi kiuchumi ila ni jeuri. Alinipenda sana na alikua ananipa sana vizawadi, mimi ni muislam na sinywi pombe tuliachana baada ya kuona hawezi kua mke bora maana alikia jeuri mno na alikua haipendi hata kidogo dini ya kiislam na alikua hawezi kuzuia hisia zake zidi ya uislam

Mwanamke wa pili;

Huyu nilikutana nae mwanzoni mwa 2024 ni muislam, mmakonde, bado alikua hajamaliza ujana (umri miaka 24), si mkweli mala aniambie anaishi kwa kaka yake mala dada yake, anaomba sana pesa hadi kero, alikua ananilazimisha sana nimuoe, jeuri akiamua siku nzima ananizimia simu na anaweza akasafiri bila kuniaga naye nikapiga chini

Mwanamke wa tatu;

Huyu dada anaishi mtaa wa pili baada ya mtaa ninaoishi ni muislam, huyu dada ajuagi utani wa mapenzi anakuzingu muda huohuo, anatabia ya kupayuka kwa sauti kubwa mkikwaruzana, anapenda sana kununa bila sababu za msingi, pia nazani anashida kwenye hisia alishawahi ingia geto kwangu mara 4 sijaambulia chochote ukimuandaa yeye anapiga story tu na ukiingiza dushe ni ugomvi hapo na wala si bikra naye tabia zikanishinda nikapiga chini

Mwanamke wa nne;

Huyu mdada alikua anashepu namba 8 ni mkristo miaka 22, si mkweli alikua beki 3 aliniongopea anaishi kwa dada yake, papuchi yake ilikua inanjia kubwa sana kama mdomo wa mamba ukimuweka dog style aisee ni mishuzi tu hadi kero, alikua hapendi kunyoa nywele za papuchi sijui alikua anashida gani huyu mdada anaacha msitu na hili joto la Dar ukimlazimisha ananuna na papuchi hatoi nilikua nazagamua hivyohivyo na ma nywele yake naye nikapiga chini

ANGALIZO; usioe au usiolewe kwa kukurupuka hakikisha mnatengeneza partinership mchunguzane mkishaliziana ndio uoe au uolewe binaadam tunatabia ya kuficha mapungufu usiombe hayo mapungufu ukutane nayo kwenye ndoa utasaga meno.

Imani yangu mwaka huu 2025 mungu atanibariki mke bora, mcha mungu, mkweli na mnyenyekevu insha'Allah
Wee aio muoaji kama mzabzab tuu 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Pole na hongera, what doesn't kill you makes you stronger. Ni kanuni tu za maisha, omba mwaka huu ukutane na binti mrembo, muislam mwenzako, mwenye tabia nzuri za kuwa mke.

Confession: nilichepuka last yr, once!🤣🤣
 
Pole, pengine na wewe Una mapungufu ila wao waliamua kukuvumilia, hamna aliye mkamilifu! Utapoteza muda
 
Mwanamke hatafutwi, we focus na mambo yako utakutana nae kwenye mishe zako

Wanawake saivi wanatafuta ndoa mzee
 
Binafsi katika mwaka niliatttempt kuoa kabisa ila wanawake ambao nilikutana nao naona kabisa nataka kuoa after 5 years later. Nikiwa na 30 mana now Nina 25 kamili.

Mahusiano ya kwanza 01
Huyu dada alikuwa ni chubby ni bonge alikuwa ananipenda sana, na Mimi nilikuwa nampenda sana Tena sana. Mpaka tukawa tunaishi kama mume na mke, nilimtambulisho home kuwa mwezi wa saba namuoa nakumbuka ilikuwa January.
Baada ya kupeleka kwao taarifa kuwa nataka kukuona mama yake alikataa akasema malizeni kwanza chuo, tulikuwa second year that time. Basi akaniambia Fanya unipe mimba ili tuoane kwa urahis, mazeee nikaanza kupika mashine mpaka misuli ya paja ikawq inauma, pia kick mpka nikawa sitoi kabisa sperm nahisi ziliisha mana Kila siku lazima bao 4

Baada ya muda Kila siku Nakuta namba mpya kwenye simu yake, nikiuliza huyuu nani anasema x duuh naflash after times Tena Nakuta sms namuuliza huyu nani? Anasema x naflash mpaka wiki moja imebaki aende kwao field naona anachart na mwalimu wake wa o level kwanza demu ana miaka 23 ila teacher ana miaka 45 ana watoto 5 na mke aisee nililia sana kumbe teacher ameshamla sana manzi daah. Nikamfua makofi kum*ke akaanza kuniambia ndio maana sikutaka kuzaa na wewe kumbe wakati namgonga daily yeye alikuwa anatumia p2 hasa zile siku za hatari moyoni hataki mtoto ila machoni anataka daah niliumia sana NIKAPIGA CHINI.

mwanamke wa pili
Huyu nimeachana nae Official 15/10/2024
Picha linaanza huyu demu alikuwa chuo mwaka wa tatu, aisee nimemkuta bikra kabisa, demu yupo Chuo ila usiku akiwa kwao hakuna kuongea na simu, muuni nikapenda demu akanipa tunda nikatoboa aisee bikra watamu ule utamu aisee sio poa
K inalia taaa taaa taaa aaah kumanina.

Demu alikuwa ananipenda sana alikuwa ananisupport financially mpaka sometimes nalia aisee mana kwenye difficult moment yeye ndio alikuwa supporter mkubwa

Ila demu alikuwa na
1.kiburi
2.jeuri
3.majivuno
4.ujuaji
5.ubishi
6.masimango hasa alikuwa ananita masikini kabisa

Nilikuwa naumia ila nilikuwa nampenda sana upendo ulizidi nikiamini atachange.

Baba yake na mwanajeshi ana nyota tatu na mama yake ni polisi ana nyota tatu pia nadhani jeuri ndio ilianzia hapo.

Demu alikuwa ananipenda sana mana amewai kupigwq kisa Mimi sio mara moja aisee mpaka nikaamua kupeleka barua. Ili nimuoe nikapeleka barua.
Ikajibiwa na baba yake mahali ni 4m hakuna deni wala kutoa nusu.

Mimi wakati huo kazi yangu bajaj Tena nipo kwenye mkataba pia Bado nipo chuo mwaka wa pili.

Nikamwabia aisee wewe mkomalie mzee apunguze nitoe hata 1.5m mengine ntatoa baadae demu kakomaaa sana omba lakini mahali hataki kushuka.

Nikamuuliza kwanini Sasa mahali 4m akatoa sababu
1.nimemkuta bikra
2.ana degree
3.mzuri
4.ana uhakika wa ajira ya jeshi hivyo Mimi ntakuwa nimeoa mwanamke mwenye kazi yake.
5.mtaa mzima wanajuq ana tabia nzuri.

Nikaanza kumwambia madhaifu yake
Kwanza marafiki zake walikuwa matom boy wote na alikuwa hapendi Sana kugongwa ila wanaopendelea kushikwa kisimi nikajua alikuwa msagaji huyu mbwa.

Nikijaribu kumuelekeza anazingua akasema tuachane ila nataka unilipe msaada wote nikiokusaidia

Nikamwabia ulikuwa unanisaidia huku unahesabu?? Akasema ndio nilipe pesa zangu 1.5m tuachane aisee Bado jeuri IPO pale pale NIKAPIGA CHINI

Hapa nipo single natamani nikimaliza chuo niende zangu Canada nipate mama la kizungu niwe raia mademu wa kibongo jau

Mtu unania ya kuoa kabisa ila wanaleta manjegeka
 
Back
Top Bottom