Nyanya mbichi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 3,716
- 2,218
Umenena boss, wakuvanga analima mbona sio tajiri kama mwenzake?Na wewe ukajidanganye uvamie kilimo kikunyooshe. Mafanikio ya mwafrica yana siri nyingi.
sababu ya kijinga na kitoto.Umenena boss, wakuvanga analima mbona sio tajiri kama mwenzake?
Kwahiyo wote wanaolima, hawatoki? Wapo vizuri waliotoka na si kila anayefanikiwa ni muuza ngada. Mnakatisha tamaa wengine.wakiuza vya kuuza huko wanajitia kulima, siye tunaolima mbona hatutoki.
my sweety umeongea point sana aisee nimekukubali kabisa yaani uvivu wako ndio umaskini wakoMaisha yako ni kama ngalawa ambayo wewe ndio nahodha wake.....juhudi zako na umakini wako wa kupiga makasia ndivyo vinavyokuhakikishia kufika salama safari huko ulipopanga kwenda......uvivu wako na uoga wako wa kupambana na mawimbi makali ya bahari vinaweza kuifanya safari yako iwe ngumu na hatimaye kuishia njiani......
Safari yoyote ya maisha inaanza na hatua moja mbele.......
Kumbuka hakuna jambo lenye kheri linalopatikana kiurahisi....mchakato wa kuifikisha boti yako nchi kavu unataka ujasiri na uvumilivu wa kiwango cha juu sana......
hahahahhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa uwiii jamaniMasanja bhana...hapa mkwanja ulikata akaamua akapige debe stend apate hata jero!!
Msanii wa kundi la Orijino Komedi, Masanja Mkandamizaji ameshare picha kadhaa kwa mashabiki wake wa kwenye mitandao ya kijamii kuonyesha jinsi anavyowajibika akiwa shambani kwake.
Akitoka hapo anaingia kwenye Black BMW X6 yake...ile desiigner anasema kwenye Panda
'White X6 panda,
Black X6 Phantom'
Ashabeba mzigo sana ,sasa anazugia kwenye kilimo.
wakiuza vya kuuza huko wanajitia kulima, siye tunaolima mbona hatutoki.
Mkuu, ukifuatilia ya watu utashindwa kujifunza.yeye kasema pesa zake zinatokana na kilimo na ushahidi wa picha huo hapo... Haya na nyie mnaosema ngada ndio imemtoa tuleteeni ushahidi basi.
Hamkawiagi kaa hapo usifanye juhudi useme wenzio wanabeba mzigoAshabeba mzigo sana ,sasa anazugia kwenye kilimo.
Ashabeba mzigo sana ,sasa anazugia kwenye kilimo.
Unamaanisha[emoji101]Ashabeba mzigo sana ,sasa anazugia kwenye kilimo.