Maisha ya miaka mitatu, Mtusi na Mnyaturu mkoani Morogoro

Maisha ya miaka mitatu, Mtusi na Mnyaturu mkoani Morogoro

Hii kitu ilinirudsha mchezon na nikaondoka kwa furaha maana nilijua hatoambulia kitu ukizngatia hata whatsp nisingetafutwa na tudem twangu twa hom so nikasema hii mbungi ni 0-0 mpka dk 90 na kila mmoja atatoka na puntos uno. Tulielekezana ma pattern then tukasambaana. Corazon alikua anatumia iphone 6G mhuni kivodaphone flan chakiwaki.


EPISODE 4.....

Kesho yake asubuhi baada ya usiku wa jana kubadirishanna cm (japo haikunifurahisha ile kitu) saa kumi na mbili na madakika yake niliamshwa na cm na baada ya kuangalia alikuwa ni Corazon.

Corazon: Hey! Morning

Camavinga: Morning! How is it?

Corazon: Am good, jus wake up ujiandae

Camavinga: It's okay am up now

Yalikuwa ni maongezi ya dakika chache tu na akakata cm.
Tulienda class na nakumbuka kilikuwa ni kipindi cha biology. Nilimtangulia kufika darasani na kama kawaida tulikuwa mbele kabisa na Queen. Queen alistuka kidogo kuona nina iphone na akaniuliza kama nimenunua cm mpya nikamjibu kwamba hapana ilikuepo tu nilikua siitumii inazingua kidogo ina kaubovu.
Mazungumzo yaliendelea......

Queen: Nimekupigia cm asubuhi hii hukupokea na text hukujibu

Camavinga: Sikuwa na texts na kipindi unapiga nilikua washroom naoga. Niliamua kumdanganya na alionekana kulidhishwa na yale majibu. Aliniomba cm aiangalie na hapa nikatafuta njia ya kumnyima kwani kulikuwa na wallpaper ya Corazon kwahiyo angegundua kuwa kunakitu nimemficha na sikuwa tayar agundue kuwa kunakauongo nimekafanya.
Nilimzuga kwamba kuna mtu ananipigia na nikatoka nje na nikapoteza muda huko nje mpka lecturer alipoingia class ndo nikarud class namimi. Tulipiga pindi na kwenye muda wa saambili na nusu kipindi kiliisha na tukatawanyika. Hapa nilijua kabisa Corazon lazima atanitafuta ili achukue cm yake na mimi nichukue yangu kwahiyo nikamuaga Queen kuwa nahitaji kurud room fasta na nilifanikiwa kumtoka Queen na nilipofika tu room nilisikia cm ikiita na alikua ni Mama yake Corazon kwahiyo sikupokea. Baada ya sim kukatika ikaingia namba yangu means Corazon alikua akinipigia. Nilipokea na akaniuliza nipo wapi nikamjibu nipo room, Corazon alinammbia yupo cafe anapata breakfast na akanitaka niende kumjoin lakini nikamwambia kuwa nilikuwa bize kidogo na nisingeweza kwenda. Alikuballi na akanambia kwamba itabidi tuonane kabla ya kipindi cha pili ili tukabidhiane cm na ikaisha hivo. Haukupita muda mrefu ki cm changu kidogo kilianza kuota na alikua ni baba yangu na kikubwa ilikuwa ni kujuliana hali na kunitaarifu kwamba mwezi ujao ambao ulikuwa ni mwezi wa pili amepanga kwenda kuwaona ndugu zake Rwanda na akanambia kama ningekuwepo home basi tungeenda naye. Hii habari ilinitoa mchezoni kidogo maana nilionakabisa nimekosa fursa ya kwenda Rwanda na father.

Tulionana na Corazon kabla ya kipindi cha pili na tukabadilishana cm zetu kila mmoja kachukua yake. Palepale kacm kadogo kakaanza kuvibrate na ilikuwa inasikika kiasi kwamba hadi Corazon aliisikia. Nilitaka kuvunga lakini Corazon akanambia cm kuwa cm inaita na sikuwa na namna nikapokea. Nilipotoa nilifurahi baada ya kukuta kuwa ni brother ndiye alikua anapiga na nilipokea kwa kasi ya 5G na bashasha.

Camavinga: Brother niajeeeeeeeeeeeee

Brother: Poa dogo maisha ya chuo unayaonaje?

Camavinga: Poa sana bro vip nawewe kazi inaendaje? ( bro naye alikuwa ni mwalaimu na aliajiriwa zile ajira za mwezi kwa 12, 2017 kama mnakumbuka)

Tuliongea na nikamkatisha nikamwambia kuwa nawahi kwenye kipindi na kumuahidi kumtafuta baada ya kipindi.

Nilimuomba radhi Corazon kwa kumpotezea muda na hakua na sera zaid ya kunambia hakuna tatizo.
Tulipia stors kidogo na kuachana pale na kuweka miahadi ya kuonana jioni baada ya vipindi jioni.

Tulimaliza vipindi ilikuwa saa 12 na dk 45 jioni na saa moja na nusu jioni tulionana na Corazon.

Jinsi nilivyoikana pisi yangu ya kitusi nilioiacha home kwasababu ya kulinda ukaribu wangu na Corazon........

See you in the next episode..........



Tulimaliza vipindi ilikuwa saa 12 na dk 45 jioni na saa moja na nusu jioni tulionana na Corazon.

Jinsi nilivyoikana pisi yangu ya kitusi nilioiacha home kwasababu ya kulinda ukaribu wangu na Corazon........

EPISODE 5

Ilikua saa moja ndio wakati tulipo onana na Corazon. Tulikuwa tushachange mavazi namimi nilikua nimevaa short trouser ya Adidas na shirt yenye mikono mifupi ilikua na rangi ya kijivu. Corazon alikua kavaa suruali t-shirt na chin alivaa raba nyeupe. Tulienda mbali kidogo ya hostels lakini ilikua ni ndani ya mipaka ya chuo. Tulipendelea sana kufanya matembezi ya jioni na hapa Queen nilikua nishaanza kumkataa kidizain lakini kutokana na urafiki na ukaribu wetu tulikua bado tunasoma pamoja na kukaa pamoja class.

Tulitoka mpka pembeni ya uwanja wa mpira wa miguu na tukawa tunamake stories nyingi na kiukweli hisia za kimapenzi zilikuwa zishaanza kutuingia lakini hatukuwa tayari kuzionyesha waziwazi kwa kila mmoja wetu. Mara simu ikaanza kuvibrate na nikataka kuvunga lakini kama kawaida sauti ilikuwa inasikika na Corazon aliisikia. Niliitoa cm na nikakuta ni pisi yangu niloiacha home.
(Huyu msichana hatatawala sana katika huu uzi kwahiyo hakuna haja ya kumpa jina. Ni mschana ambaye nayeye pia ni mtusi na wazazi wetu wanafahamiana sana na wana asili moja ni foreigners)

NI NGUMU SANA KUSEX NA MTU USIYE NA HISIA NAYE.


NAOMBA NIWAPE SPECIAL AND SHORT ARTICAL KUHUSU MIMI NA HUYU BINTI MTUSI

Ilikuwa mwaka 2014 ndo nilimaliza skul secondary katika skul moja ipo wilaya flan mkoani tabora na ni private skul. Huu ndio mwaka ambao niliingia katika mahusiano na huyu binti. Yeye alikuwa anasoma tabora mjini. Alikua mbele darasa moja means mimi nilikuwa nyuma yake mwaka mmoja. 2014 yeye alikuwa yupo advance mimi nipo 4m4 tulikuwa tayari tushafahamiana toka kitambo kwasababu tulikuwa tunapishana mitaa tu na skul ya msingi nilosoma alisomea yeye pia ila seconday tulisoma skuls tofauti. Ilikuwa mwez wa 1 wiki moja kabla ya skuls kufunguliwa (2014, likizo ndefu ya muhula wa pili 2013, muhula wa kwanza kwa advance) tulionana katka kituo cha tuition yeye anasoma tuition ya advance mm ya 4m4. Sasa pale kituoni kulikuwa na utaratibu wa michezo baada ya vipindi namimi nilipendelea sana kudance muziki na nilikuwa na wanangu kama wa4 namimi wa5 tulikuwa tunacheza sana muziki. Tulikua na kiredio chetu cha kuweka memory card na tulikuwa na ngoma zetu special za kudance, nakumbula sikuile tulianza na wimbo wa Chris brown "yeah, yeah ,yeah" watu wengine wanautambua kama yeah×3. Tulianza kuonesha makali yetu mara tag la watu likaanza kutufuata tulipo madem na washkaj na wapita njia walituzunguka, nasisi hatukujali ila tuli-concentrate katika kuyarudi kwa mtindo wa ku-shake nakumbuka siku hiyo nilipoteza daftari zangu zote na beg langu la mgongoni na niligombezwa sana home. Baada ya wimbo ule kuisha tulishangaa watu walikuja na kuanza kutushangilia na kutubeba juu juu hakika walifurahi sana. Sasa baada ya hapo tulisambaana kurudi makwetu na wakati tupo njiani ndo nilikutana na huyu binti mtusi na alinisifia sana na akanambia nicheze tena lakini nilimvimbia na sikucheza. Alikuwa na cm akaniomba namba lakini mimi sikuwa na cm tayari maana nisingepata pakuitumia kwa jinsi home walivo wakali. Mshikaji wangu alikuwa na cm kwahiyo nikachukuwa namba yake na tukaanza kuwasiliana na baada ya kuanza kuwasiliana na huyu binti safari zangu kwenda kwao huyu rafkiangu ziliongezeka na nilifanikiwa kumpanga na sikusumbuka kwasababu alijaa mwenyewe automatically.

Hatukufaidi sana maana baada ya wiki moja mbele tulitawanyika kurudi maskul na likizo ya mwezi wa sita kama kawaida tulikuwa pale tuition center tunaendelea kuzuga zuga.

Mawasiliano yalizidi na tukawa wapenzi ileile yani kifupi alizama lakini muhuni sikuwa nimemuelewa maana hata umri wangu ulikuwa bado na sikuwa na attention sana na madem ilikuwa ni mimi nakudance kudance na mimi. Na nilikuwa bado sijawahi kulala na dem yani kusex, sasa akaanza kuingiza mada za kukutana ili tufanye yakikubwa na mimi sikutaka kumkataa tulipanga atalipa gest na akasema atatafuta gest ya mbali kidogo na mtaa wetu tulipanga j pili tukutane kwasababu wazaz wangekuwa wapo kanisani na tulipanga tuzuge tunaumwa ili tusiende kanisani lengo tukutane. Siku hiyo ya jpili nikazuga kweli na wazazi na bro wangu na masista walienda kanisani na nikabak mwenyew. Basi namimi nikalock milango nikaenda kwa rafkiangu ili tuwasiliane na binti. Nilifika nikamkuta jamaa kwao nikakuta tayri kashatuma matext kama yote. Lakini hizi zote mimi zilikuwa mbwembwe tu kujua wanapangaga vipi mission za kwenda kunyanduana na sikuwa na mpango kabisa na sikuwa na hisia kabisa na huyu binti yani nilikuwa na feel kama nipo na jamaa yangu tu na sio dem. Ghafla nilimbadirikia........


HAKUNA KITU KINAMUUDHI MWANAMKE AU MSCHANA KAMA KUCHEZEWA HISIA ZAKE.

Seen you in the next episode...........
 
Oya uwe unaunganisha hizi story kwenye uzi mmoja inakua rahisi kufuatilia. Ukiweka kila episode na uzi wake unapoteza audience.
 
Yani baada ya kumtumia picha akawa na hamu ya kukuona kisa unavutia? kwani ukiwa unamjibu huyo (mpumbavu) hakukuona?
 
Hii kitu ilinirudsha mchezon na nikaondoka kwa furaha maana nilijua hatoambulia kitu ukizngatia hata whatsp nisingetafutwa na tudem twangu twa hom so nikasema hii mbungi ni 0-0 mpka dk 90 na kila mmoja atatoka na puntos uno. Tulielekezana ma pattern then tukasambaana. Corazon alikua anatumia iphone 6G mhuni kivodaphone flan chakiwaki.


EPISODE 4.....

Kesho yake asubuhi baada ya usiku wa jana kubadirishanna cm (japo haikunifurahisha ile kitu) saa kumi na mbili na madakika yake niliamshwa na cm na baada ya kuangalia alikuwa ni Corazon.

Corazon: Hey! Morning

Camavinga: Morning! How is it?

Corazon: Am good, jus wake up ujiandae

Camavinga: It's okay am up now

Yalikuwa ni maongezi ya dakika chache tu na akakata cm.
Tulienda class na nakumbuka kilikuwa ni kipindi cha biology. Nilimtangulia kufika darasani na kama kawaida tulikuwa mbele kabisa na Queen. Queen alistuka kidogo kuona nina iphone na akaniuliza kama nimenunua cm mpya nikamjibu kwamba hapana ilikuepo tu nilikua siitumii inazingua kidogo ina kaubovu.
Mazungumzo yaliendelea......

Queen: Nimekupigia cm asubuhi hii hukupokea na text hukujibu

Camavinga: Sikuwa na texts na kipindi unapiga nilikua washroom naoga. Niliamua kumdanganya na alionekana kulidhishwa na yale majibu. Aliniomba cm aiangalie na hapa nikatafuta njia ya kumnyima kwani kulikuwa na wallpaper ya Corazon kwahiyo angegundua kuwa kunakitu nimemficha na sikuwa tayar agundue kuwa kunakauongo nimekafanya.
Nilimzuga kwamba kuna mtu ananipigia na nikatoka nje na nikapoteza muda huko nje mpka lecturer alipoingia class ndo nikarud class namimi. Tulipiga pindi na kwenye muda wa saambili na nusu kipindi kiliisha na tukatawanyika. Hapa nilijua kabisa Corazon lazima atanitafuta ili achukue cm yake na mimi nichukue yangu kwahiyo nikamuaga Queen kuwa nahitaji kurud room fasta na nilifanikiwa kumtoka Queen na nilipofika tu room nilisikia cm ikiita na alikua ni Mama yake Corazon kwahiyo sikupokea. Baada ya sim kukatika ikaingia namba yangu means Corazon alikua akinipigia. Nilipokea na akaniuliza nipo wapi nikamjibu nipo room, Corazon alinammbia yupo cafe anapata breakfast na akanitaka niende kumjoin lakini nikamwambia kuwa nilikuwa bize kidogo na nisingeweza kwenda. Alikuballi na akanambia kwamba itabidi tuonane kabla ya kipindi cha pili ili tukabidhiane cm na ikaisha hivo. Haukupita muda mrefu ki cm changu kidogo kilianza kuota na alikua ni baba yangu na kikubwa ilikuwa ni kujuliana hali na kunitaarifu kwamba mwezi ujao ambao ulikuwa ni mwezi wa pili amepanga kwenda kuwaona ndugu zake Rwanda na akanambia kama ningekuwepo home basi tungeenda naye. Hii habari ilinitoa mchezoni kidogo maana nilionakabisa nimekosa fursa ya kwenda Rwanda na father.

Tulionana na Corazon kabla ya kipindi cha pili na tukabadilishana cm zetu kila mmoja kachukua yake. Palepale kacm kadogo kakaanza kuvibrate na ilikuwa inasikika kiasi kwamba hadi Corazon aliisikia. Nilitaka kuvunga lakini Corazon akanambia cm kuwa cm inaita na sikuwa na namna nikapokea. Nilipotoa nilifurahi baada ya kukuta kuwa ni brother ndiye alikua anapiga na nilipokea kwa kasi ya 5G na bashasha.

Camavinga: Brother niajeeeeeeeeeeeee

Brother: Poa dogo maisha ya chuo unayaonaje?

Camavinga: Poa sana bro vip nawewe kazi inaendaje? ( bro naye alikuwa ni mwalaimu na aliajiriwa zile ajira za mwezi kwa 12, 2017 kama mnakumbuka)

Tuliongea na nikamkatisha nikamwambia kuwa nawahi kwenye kipindi na kumuahidi kumtafuta baada ya kipindi.

Nilimuomba radhi Corazon kwa kumpotezea muda na hakua na sera zaid ya kunambia hakuna tatizo.
Tulipia stors kidogo na kuachana pale na kuweka miahadi ya kuonana jioni baada ya vipindi jioni.

Tulimaliza vipindi ilikuwa saa 12 na dk 45 jioni na saa moja na nusu jioni tulionana na Corazon.

Jinsi nilivyoikana pisi yangu ya kitusi nilioiacha home kwasababu ya kulinda ukaribu wangu na Corazon........

See you in the next episode..........
Nimekaaa tayari.
 
Jinsi nilivyoikana pisi yangu ya kitusi nilioiacha home kwasababu ya kulinda ukaribu wangu na Corazon........

Continue.................

EPISODE 5

Ilikua saa moja ndio wakati tulipo onana na Corazon. Tulikuwa tushachange mavazi namimi nilikua nimevaa short trouser ya Adidas na shirt yenye mikono mifupi ilikua na rangi ya kijivu. Corazon alikua kavaa suruali t-shirt na chin alivaa raba nyeupe. Tulienda mbali kidogo ya hostels lakini ilikua ni ndani ya mipaka ya chuo. Tulipendelea sana kufanya matembezi ya jioni na hapa Queen nilikua nishaanza kumkataa kidizain lakini kutokana na urafiki na ukaribu wetu tulikua bado tunasoma pamoja na kukaa pamoja class.

Tulitoka mpka pembeni ya uwanja wa mpira wa miguu na tukawa tunamake stories nyingi na kiukweli hisia za kimapenzi zilikuwa zishaanza kutuingia lakini hatukuwa tayari kuzionyesha waziwazi kwa kila mmoja wetu. Mara simu ikaanza kuvibrate na nikataka kuvunga lakini kama kawaida sauti ilikuwa inasikika na Corazon aliisikia. Niliitoa cm na nikakuta ni pisi yangu niloiacha home.
(Huyu msichana hatatawala sana katika huu uzi kwahiyo hakuna haja ya kumpa jina. Ni mschana ambaye nayeye pia ni mtusi na wazazi wetu wanafahamiana sana na wana asili moja ni foreigners)

NI NGUMU SANA KUSEX NA MTU USIYE NA HISIA NAYE.


NAOMBA NIWAPE SPECIAL AND SHORT ARTICAL KUHUSU MIMI NA HUYU BINTI MTUSI

Ilikuwa mwaka 2014 ndo nilimaliza skul secondary katika skul moja ipo wilaya flan mkoani tabora na ni private skul. Huu ndio mwaka ambao niliingia katika mahusiano na huyu binti. Yeye alikuwa anasoma tabora mjini. Alikua mbele darasa moja means mimi nilikuwa nyuma yake mwaka mmoja. 2014 yeye alikuwa yupo advance mimi nipo 4m4 tulikuwa tayari tushafahamiana toka kitambo kwasababu tulikuwa tunapishana mitaa tu na skul ya msingi nilosoma alisomea yeye pia ila seconday tulisoma skuls tofauti. Ilikuwa mwez wa 1 wiki moja kabla ya skuls kufunguliwa (2014, likizo ndefu ya muhula wa pili 2013, muhula wa kwanza kwa advance) tulionana katka kituo cha tuition yeye anasoma tuition ya advance mm ya 4m4. Sasa pale kituoni kulikuwa na utaratibu wa michezo baada ya vipindi namimi nilipendelea sana kudance muziki na nilikuwa na wanangu kama wa4 namimi wa5 tulikuwa tunacheza sana muziki. Tulikua na kiredio chetu cha kuweka memory card na tulikuwa na ngoma zetu special za kudance, nakumbula sikuile tulianza na wimbo wa Chris brown "yeah, yeah ,yeah" watu wengine wanautambua kama yeah×3. Tulianza kuonesha makali yetu mara tag la watu likaanza kutufuata tulipo madem na washkaj na wapita njia walituzunguka, nasisi hatukujali ila tuli-concentrate katika kuyarudi kwa mtindo wa ku-shake nakumbuka siku hiyo nilipoteza daftari zangu zote na beg langu la mgongoni na niligombezwa sana home. Baada ya wimbo ule kuisha tulishangaa watu walikuja na kuanza kutushangilia na kutubeba juu juu hakika walifurahi sana. Sasa baada ya hapo tulisambaana kurudi makwetu na wakati tupo njiani ndo nilikutana na huyu binti mtusi na alinisifia sana na akanambia nicheze tena lakini nilimvimbia na sikucheza. Alikuwa na cm akaniomba namba lakini mimi sikuwa na cm tayari maana nisingepata pakuitumia kwa jinsi home walivo wakali. Mshikaji wangu alikuwa na cm kwahiyo nikachukuwa namba yake na tukaanza kuwasiliana na baada ya kuanza kuwasiliana na huyu binti safari zangu kwenda kwao huyu rafkiangu ziliongezeka na nilifanikiwa kumpanga na sikusumbuka kwasababu alijaa mwenyewe automatically.

Hatukufaidi sana maana baada ya wiki moja mbele tulitawanyika kurudi maskul na likizo ya mwezi wa sita kama kawaida tulikuwa pale tuition center tunaendelea kuzuga zuga.

Mawasiliano yalizidi na tukawa wapenzi ileile yani kifupi alizama lakini muhuni sikuwa nimemuelewa maana hata umri wangu ulikuwa bado na sikuwa na attention sana na madem ilikuwa ni mimi nakudance kudance na mimi. Na nilikuwa bado sijawahi kulala na dem yani kusex, sasa akaanza kuingiza mada za kukutana ili tufanye yakikubwa na mimi sikutaka kumkataa tulipanga atalipa gest na akasema atatafuta gest ya mbali kidogo na mtaa wetu tulipanga j pili tukutane kwasababu wazaz wangekuwa wapo kanisani na tulipanga tuzuge tunaumwa ili tusiende kanisani lengo tukutane. Siku hiyo ya jpili nikazuga kweli na wazazi na bro wangu na masista walienda kanisani na nikabak mwenyew. Basi namimi nikalock milango nikaenda kwa rafkiangu ili tuwasiliane na binti. Nilifika nikamkuta jamaa kwao nikakuta tayri kashatuma matext kama yote. Lakini hizi zote mimi zilikuwa mbwembwe tu kujua wanapangaga vipi mission za kwenda kunyanduana na sikuwa na mpango kabisa na sikuwa na hisia kabisa na huyu binti yani nilikuwa na feel kama nipo na jamaa yangu tu na sio dem. Ghafla nilimbadirikia........


HAKUNA KITU KINAMUUDHI MWANAMKE AU MSCHANA KAMA KUCHEZEWA HISIA ZAKE.

Seen you in the next episode...........
 
Back
Top Bottom