Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kesho kutwa usishangae akawa kampeni meneja wa ccmwanajuana hao tuwaachage tu...lowasa yukowapi alitulaza usiku kuccha leo hii anasema anamuunga mkono mkuu unafanyaje hapo sasa...haya mambo tuyaachage tu wanaelewana hao
Tatizo nape hajitambui/hajielewi.kwa kuwa hana kingine cha kufanya nje ya siasa kule anatimika kama dekio yaani wanamtumia kwenye kampeni alafu mwishoni wanamtupa na atapewa jimbo kama danganya toto ili wamtumie tenaKweli CCM ina wenyewe, Nape alivunjika akikimbia na masanduku yenye kura gani zile leo hii hafai tena.
Mkuu kwani lazima awe Waziri, mbona ubunge tu unamtosha.Tatizo nape hajitambui/hajielewi.kwa kuwa hana kingine cha kufanya nje ya siasa kule anatimika kama dekio yaani wanamtumia kwenye kampeni alafu mwishoni wanamtupa na atapewa jimbo kama danganya toto ili wamtumie tena
Tatizo kashajiwekea lazima awe waziri ana machungu sana alitaka akubalike chamani angalau apewe hata cheo kuleMkuu kwani lazima awe Waziri, mbona ubunge tu unamtosha.
Umemaliza 💯💯Nape inabidi aishi kwa kujipeneekeza tu ndani ya CCM.
Akina Nape na vijana wengine hawawezi maisha nje ya CCM.
Ni watu dhaifu sana.kwa kifupi sana,maisha ya Nape yako hivi.
Hajiamini,hajui anatakaga kufanya Nini CCM.
Alijaribu kumbugudhi fisadi Lowassa,Katibu Mkuu wa CCM wakati huo Makamba akamzuia uongozi wa UVCCM,akamwambia,
"umefungiwa duniani hata mbinguni"
Kikwete akamwokoa na kumpa ukuu wa Wilaya.
Akajifanya kuungana na kundi la akina Sita kuanzisha chama kipya ndani ya chama wakakiita CCJ,Nape na wenzake wakashughulikiwa. Na karipio Kali wakapewa.
Nape akajidai kupambana na jambazi Bashite,baada ya Bashite kuvamia Clouds Redio,Nape akaTumbuliwa uwaziri.
Siku chache baadae Nape akaelekezewa Mdomo wa Bastola alipokua akitaka kwenda kufanya mazungumzo na Vyombo vya habari juu ya kutumbuliwa kwake.
Nape nae Kama Lissu akaanza kulalamika kuwa anafuatiliwa na wasiojulikana.
Nape Bado hakuwa salama,Nape alidukuliwa akimsema vibaya Raisi wetu mpendwa,mtetezi wa sisi wanyonge na kiboko ya Korona na Mabeberu.
Nape maisha ya mtaani wanayoishi akina Mbowe,lissu,Lema,Sugu hayawezi,akaona aende kuungama,kutubu na kujuta dhambi zake kwa kipenzi Cha Watanzania JPM.
Mimi mwenyewe nilishudia video ya Nape akitembea umbali mrefu huku jasho likimtoka naye akawa anajifuta kwa kitambaa akielekea ndani ya nyumba ya Taifa.
Leo hi nape anaomba apewe ruhusa ya kupiga mabuti wenzie.
Maisha ya Nape Ni kama ya digidigi polini,anaishi kwa kuogopa kuliwa.
Nape Ni bingwa wa kuandika tweet za mafumbo ambayo anayaelewaga yeye mwenyewe tu.Na juzikati hapa kaandika fumbo Kama hivi,
"wewe piga kelele tu ukiona unempigia kelele hajibu jiulize Mara mbili"
Sijui hapa alimlenga Nani.
Nape haeleweki Kama anapenda Haki au haramu.
Muasisi wa Goli la Mkono,kubadilisha matakwa ya watu ni laana kubwa hapendi Mungu.Mbona thread mmeanzisha wenyewe halafu mnaichangia wenyewe.
Una maana ni sawa na kusema hali yake ni ya samaki perege. Samaki nje ya maji ni dakika za kuhesabu hana maisha. Angalau kambare huwa ni mvumilivu kiasi hata akiwa nje ya maji lakini kifo huwa ni lazima.Nape Hana ujasiri tu,akili yake imetengenezwa kuwa hawezi kuishi bila CCM.
Bila uwepo wa CCM nape lazima age Hana akili ya pili yakeUna maana ni sawa na kusema hali yake ni ya samaki perege. Samaki nje ya maji ni dakika za kuhesabu hana maisha. Angalau kambare huwa ni mvumilivu kiasi hata akiwa nje ya maji lakini kifo huwa ni lazima.
Bila uwepo wa CCM nape lazima afe Hana akili ya pili yakeUna maana ni sawa na kusema hali yake ni ya samaki perege. Samaki nje ya maji ni dakika za kuhesabu hana maisha. Angalau kambare huwa ni mvumilivu kiasi hata akiwa nje ya maji lakini kifo huwa ni lazima.
Kulikoni tena? Mbona munaanza kuchafuana? Mbona wote ni wana-CCM?Nape Hana ujasiri tu,akili yake imetengenezwa kuwa hawezi kuishi bila CCM.
ulisema unafikiria kuhama CCM ,umeshafanya maamuzi?Kweli CCM ina wenyewe, Nape alivunjika akikimbia na masanduku yenye kura gani zile leo hii hafai tena.
Hiyo ndio hali halisi ya Nape na wengineo.Una maana ni sawa na kusema hali yake ni ya samaki perege. Samaki nje ya maji ni dakika za kuhesabu hana maisha. Angalau kambare huwa ni mvumilivu kiasi hata akiwa nje ya maji lakini kifo huwa ni lazima.