Maisha ya ndoa hivi sasa yakoje?

Maisha ya ndoa hivi sasa yakoje?

SweetyCandy

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2022
Posts
3,109
Reaction score
6,323
Unajua kuwa maisha ya kuwa single ni magumu, hivyo tunahitaji kuwa na maisha ya wawili, tupate watoto na tujenge familia.

Kwa wale walioolewa kuanzia mwaka 2020 hadi 2023, maisha ya ndoa yakoje? Visa vipo vingi; wengine wameuana, wameachana na wengine wanaishi pamoja kwa sababu fulani.

Naomba, kama umeoa au kuolewa, utoe ushauri.
 
Unajua kuwa single ni mbaya so tunahitaji tuwe na maisha ya wawili na tupate watoto tujenge familia .

Sasa kwa wale walioolewa wa 2020 to 2023 hapo maisha ya ndoa yapojee.

Kwa maana visa vipo nyingi sana . Wengine wameuana ,wameachana,wanaishi tu kwa ajili ya kitu .
NAOMBA KAMA UMEOA /KUOLEWA ndio utoe ushauri.
✍️
 
GYvOZ3hXsAAOChS.jpg
 
Wanaingia kwenye ndoa wakiwa na picha ya ndoa fulani, wengine wameingia kwenye ndoa na theory za wahamasishaji, wanasahau kuwa ndoa ni ya anayeoa na anayeolewa hao wawili ndio ndoa, waliobaki nje ni mashabiki, na si unawajua mashabiki watabaki kusema pale angepiga cross upande huu lingekuwa goli bila kuangalia hali ya mfungaji
 
Unajua kuwa maisha ya kuwa single ni magumu, hivyo tunahitaji kuwa na maisha ya wawili, tupate watoto na tujenge familia.

Kwa wale walioolewa kuanzia mwaka 2020 hadi 2023, maisha ya ndoa yakoje? Visa vipo vingi; wengine wameuana, wameachana, na wengine wanaishi pamoja kwa sababu fulani.

Naomba, kama umeoa au kuolewa, utoe ushauri.
Ndoa ni sawa ni Gereza cha muhimu tafuta mfungwa mmoja mtakayewezana na kukaa Selo moja huku mkisubiria siku kifungo chenu kitakapomaliza mtolewe Gerezani, elewa nilivyomaanisha.
 
Back
Top Bottom