Maisha ya ndoa

PNC

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2015
Posts
8,106
Reaction score
14,353
Kabla ya ndoa mambo huwa hivi;-

MUME: Natamani sana iwe hivyo.
MKE: Vipi, wataka niondoke?
MUME: Hapana hata kidogo.
MKE: unanipenda?
MUME: Ndo maanake.
MKE: Utakuwa na mpenzi mwingine zaidi yangu?
MUME: Siwezi huo upuuzi.
MKE: Utanibusu milele?
MUME: Kila mara.
MKE: Je, utanipiga?
MUME: Aaaa haiwezi tokea.
MKE: Naweza kukuamini?
MUME: Naam.
MKE: Jamani mpenz!!

Sasa ukitaka kujua baada ya ndoa mambo huwaje?. Anza kusoma sms hii kuanzia chini kwenda juu.
 
Huwa yanatokea lakini.

Mwanzo mnaanza uzuri baadae inakuja kuwa kero
 
Beautiful ingenuity in joke art!
 
duh akili nzur wewe unafaa kuwa wazir wa sanaa haha
 
duh akili nzur wewe unafaa kuwa wazir wa sanaa haha
Mwanzo nilifurah sana ila kwa sasa nimechukia sana[emoji30] [emoji30] et Mimi niwe nape
 
Wee jamaa ni noma sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…