Maisha ya Pemba; Hivi kuna ufuska kule?

Maisha ya Pemba; Hivi kuna ufuska kule?

Tuko

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2010
Posts
11,180
Reaction score
7,346
Kwa kweli naandika post hii kuwapongeza wanaoishi Pemba, kwani hata katika statistics za afya, kule ndio kwenye maambukizi kidogo zaidi ya Ukimwi.

Nakumbuka niliwahi kuwa Pemba kwa siku chache, ambapo pamoja na tamaduni tofauti zilizokuwa zinanishangaza, lakini moja ilinishangaza zaidi; Kwa siku sita nilizokaa pale, sikuwahi kuona hata mkono (zaidi ya viganja) na nyuso (kwa wachache) kwa wanawake. Ni full baibui na vilemba.

Nilikuwa nafundisha katika warsha fulani na walipotakiwa kufanya group discusion, haikuruhusiwa kuchanganyika wanawake na wanaume. Hii ilileta ugumu kwani ilipofika wakati groups zipresent kazi zao, ilikuwa shida sana kutokea mwanamke awakilishe group yake, na hata tuliposisitiza sana, basi waliojitokeza hawakuwa wanaweza kuelekeza kitu ubaoni , kwani kwa kufanya hivyo wangewageuzia watu maumbile yao kwa nyuma, na pengine angelazimika kunyanyua mkono na kufanya pengine kiwiko kionekane!

Walivyostrict na sheria zao, nikajiuliza, 'hivi Pemba kunaweza kuwa na zinaa'?
Kwa kweli zilikuwa siku chache ambaye kwa watu tuliozoea huku kwetu changanyikeni, zilikuwa ngumu sana...
 
Kule kunaitwa MAKKA ndogo. Ikifika saa mbili usiku huoni mtu nje.
 
dah, nazimiss sana enzi hizo.....siku hizi huku kwetu changanyikeni vidada vinatembea na chupi nje nje.....vinajifanya vinajua kila kitu yani.


sijui kwa nini wasichana wa sikuhizi wanaona ni lazima waonyeshe sehemu kubwa ya miili yao....halafu wanasema wanaume ndio wanatabia mbaya.
 
Nilikuwa sijui ila kwa data za UKIMWI nakubali maambukizo yako chini sana
 
Kwa kweli naandika post hii kuwapongeza wanaoishi Pemba, kwani hata katika statistics za afya, kule ndio kwenye maambukizi kidogo zaidi ya Ukimwi.

Nakumbuka niliwahi kuwa Pemba kwa siku chache, ambapo pamoja na tamaduni tofauti zilizokuwa zinanishangaza, lakini moja ilinishangaza zaidi; Kwa siku sita nilizokaa pale, sikuwahi kuona hata mkono (zaidi ya viganja) na nyuso (kwa wachache) kwa wanawake. Ni full baibui na vilemba.

Nilikuwa nafundisha katika warsha fulani na walipotakiwa kufanya group discusion, haikuruhusiwa kuchanganyika wanawake na wanaume. Hii ilileta ugumu kwani ilipofika wakati groups zipresent kazi zao, ilikuwa shida sana kutokea mwanamke awakilishe group yake, na hata tuliposisitiza sana, basi waliojitokeza hawakuwa wanaweza kuelekeza kitu ubaoni , kwani kwa kufanya hivyo wangewageuzia watu maumbile yao kwa nyuma, na pengine angelazimika kunyanyua mkono na kufanya pengine kiwiko kionekane!

Walivyostrict na sheria zao, nikajiuliza, 'hivi Pemba kunaweza kuwa na zinaa'?
Kwa kweli zilikuwa siku chache ambaye kwa watu tuliozoea huku kwetu changanyikeni, zilikuwa ngumu sana...

mkuu ni kweli kabisa wanawake wa pemba sio rahisi kuiona mikono yake na hata sura yake, full baibui kwa kwenda mbele.
Lakini hicho sio kigezo kwamba hawafanyi zinaa. Wapo wanaofuata maadili kama inavyoelekezwa na ni wengi lakini mazingira ndo yamechangia kwa kiasi kikubwa wao kulazimika kuwa watiifu.

Hebu wakute wapemba hao hao katika mazingira tofauti, mfano hapa dsm watoto wa kipemba wanawapa shida sana dada zetu. Mabinti wa kipemba wala huwezi kuwatofautisha na wengine, pedo pusha na vitopu kama kawa.

Nilipata kufika sehemu moja unguja inaitwa Nungwi, huko kuna mahoteli ya kutosha ya kitalii na ya kawaida. Lakini pia kuna makazi ya wananchi jirani kabisa na hizo mahoteli na shughuli za uvuvi kama kawaida ya visiwani. Basi hapo nungwi kuna wadada wengi sana toka Tanga. Wamewashika wapemba hadi wamesahau familia zao, wanawake wa kizanzibari wanawachukia sana wadada wa Tanga kwa kuwaibia waume zao. wapemba wakishatoka baharini tu breki ya kwanza nyumba ndogo tangaline. Kwahiyo pemba kuna zinaaa kidogo kwakuwa wanaogopa kushikishwa adabu si kwa sababu ya maadili, ndo maana wakiwa maeneo mengine ni libeneke kwa kwenda mbele.
 
Kwani kwetu kukoje?
I mean huku bongo na Tanganyika yetu, mwalimu yupo ubaoni na mini...na walaaa hajali
 
mkuu ni kweli kabisa wanawake wa pemba sio rahisi kuiona mikono yake na hata sura yake, full baibui kwa kwenda mbele.
Lakini hicho sio kigezo kwamba hawafanyi zinaa. Wapo wanaofuata maadili kama inavyoelekezwa na ni wengi lakini mazingira ndo yamechangia kwa kiasi kikubwa wao kulazimika kuwa watiifu.

Hebu wakute wapemba hao hao katika mazingira tofauti, mfano hapa dsm watoto wa kipemba wanawapa shida sana dada zetu. Mabinti wa kipemba wala huwezi kuwatofautisha na wengine, pedo pusha na vitopu kama kawa.

Nilipata kufika sehemu moja unguja inaitwa Nungwi, huko kuna mahoteli ya kutosha ya kitalii na ya kawaida. Lakini pia kuna makazi ya wananchi jirani kabisa na hizo mahoteli na shughuli za uvuvi kama kawaida ya visiwani. Basi hapo nungwi kuna wadada wengi sana toka Tanga. Wamewashika wapemba hadi wamesahau familia zao, wanawake wa kizanzibari wanawachukia sana wadada wa Tanga kwa kuwaibia waume zao. wapemba wakishatoka baharini tu breki ya kwanza nyumba ndogo tangaline. Kwahiyo pemba kuna zinaaa kidogo kwakuwa wanaogopa kushikishwa adabu si kwa sababu ya maadili, ndo maana wakiwa maeneo mengine ni libeneke kwa kwenda mbele.


Inachekesha saana kwa the way ulivyo-flow, ila NI KWELI KWA USEMACHO. Hapa mjini wanaoongoza kukwapua katika maduka ya simu ni hao wavaao baibui na niqaab, tena wamegeuza vazi la heshima kuwa chambo. Pili, hawawezi kuishi huku bongo bila ya kuwa na boyfriend. Na haya mambo ya facebook ndo imewavuruga kabisa akili kwa kutongozana online na asbh wanawaaga wazazi wao ''Baba, leo naenda kumtembelea cousin wangu kulee chanika..ushan'faham eeh ndo amekuja toka micheweni atiiii'
 
Ukimwi upo ila kwa kiwango kidogo, population yao ni ndogo, kule ni vigumu kuchukua mwanamke, utajificha wapi! sio kwamba wanafuata saana maadili....
 
Nilikuwa sijui ila kwa data za UKIMWI nakubali maambukizo yako chini sana

Mkuu USIHADAIKE KABISA kwanza ufuska upo wa kutosha mie niliwahi kukaa huko na ukitaka kutafuna lazima uende KIMYA KIMYA SANA watu wasijue. Hapo utatafuna kwa uwezo wako.
Wako warahisi sana ila usijionyeshe kwa watu, mfanye siri kubwa sana na utatafuna wa kila aina: KUANZIA WALI, WAJANE, NA HATA MAJIMAMA YA NYUMBANI UTAGONGA BILA SHIDA.

TAKWIMU hizo ni za tangu 2002 hivyo sio kiashiria kuwa NGOMA HAIPO ipo kwa wingi tu.

Kutokana na hali KUBWA YA UNYANYAPAA KISIWANI HUMO, watu wengi hawajitokezi kupima na hivyo hufunga safari hadi TZ BARA KUPIMA.
NA WAKIGUNDULIKA HUWA NI SIRI YAO MOYONI KATU HAWASEMI.

ILA TOTOZ ZIMETULIA MAANA HATA IKIWA NDANI YA BUI BUI UNAIONA FIGURE IMESIMAMA SAAAFI KABISA.

UKIBAHATIKA KUITANDIUA UNAIFAIDI SANA ZIPO TOTOZ ZIMEUMBIKA SANA HUKO.

NA UKIWA MTUNDU KATIKA BED WANAPAGAWA SANA NA KUTAKA HATA KUHAMIA JUMLA ILA KM WW NI BATHLOMEO INABIDI UBADILI UWE SHAIBU HAPO NDIO KAZI KWELIKWELI.:coffee:
 
Ukimwi upo ila kwa kiwango kidogo, population yao ni ndogo, kule ni vigumu kuchukua mwanamke, utajificha wapi! sio kwamba wanafuata saana maadili....
Nakubaliana kabisa na wewe, ukichukua mwanamke kila mtu atajua......
 
Jaribu uone moto, kwanza utaufanyia wapi? Na ndo maana wabunge wao wanapenda sana bara maana haluahalua si mchezo huku atiii.
 
watu wa pemba wanafanya kwa siri sana,ila wenyewe wanajuana wenyewe kwa wenyewe.na kama ukijulikana umeathirika kuna unyanyapaa wa hali ya juu,ila kabla ya ndoa lazima uwakilishe cheti cha kipimo cha ukimwi kwa sheikh
 


Mkuu USIHADAIKE KABISA kwanza ufuska upo wa kutosha mie niliwahi kukaa huko na ukitaka kutafuna lazima uende KIMYA KIMYA SANA watu wasijue. Hapo utatafuna kwa uwezo wako.
Wako warahisi sana ila usijionyeshe kwa watu, mfanye siri kubwa sana na utatafuna wa kila aina: KUANZIA WALI, WAJANE, NA HATA MAJIMAMA YA NYUMBANI UTAGONGA BILA SHIDA.

TAKWIMU hizo ni za tangu 2002 hivyo sio kiashiria kuwa NGOMA HAIPO ipo kwa wingi tu.

Kutokana na hali KUBWA YA UNYANYAPAA KISIWANI HUMO, watu wengi hawajitokezi kupima na hivyo hufunga safari hadi TZ BARA KUPIMA.
NA WAKIGUNDULIKA HUWA NI SIRI YAO MOYONI KATU HAWASEMI.

ILA TOTOZ ZIMETULIA MAANA HATA IKIWA NDANI YA BUI BUI UNAIONA FIGURE IMESIMAMA SAAAFI KABISA.

UKIBAHATIKA KUITANDIUA UNAIFAIDI SANA ZIPO TOTOZ ZIMEUMBIKA SANA HUKO.

NA UKIWA MTUNDU KATIKA BED WANAPAGAWA SANA NA KUTAKA HATA KUHAMIA JUMLA ILA KM WW NI BATHLOMEO INABIDI UBADILI UWE SHAIBU HAPO NDIO KAZI KWELIKWELI.:coffee:

Mkuu mimi nilifika huko, kila nikijitambulisha jina langu wakawa wananiita mnyamwezi na majina mengine mengi,na mbaya zaidi watoto wa kike hata nikiwasalimia wananchunia. Nikaona isiwe "inshu" nikajiita Makame na kuanza kujilazimisha lafudhi ya kipemba, basi baada ya muda mfupi kidogo kidogo nikaanza kuonekana mwenzao, ingawa sikufanikiwa kumtia kwenye kumi na nane zangu mtoto wa kipemba!!
 


Mkuu USIHADAIKE KABISA kwanza ufuska upo wa kutosha mie niliwahi kukaa huko na ukitaka kutafuna lazima uende KIMYA KIMYA SANA watu wasijue. Hapo utatafuna kwa uwezo wako.
Wako warahisi sana ila usijionyeshe kwa watu, mfanye siri kubwa sana na utatafuna wa kila aina: KUANZIA WALI, WAJANE, NA HATA MAJIMAMA YA NYUMBANI UTAGONGA BILA SHIDA.

TAKWIMU hizo ni za tangu 2002 hivyo sio kiashiria kuwa NGOMA HAIPO ipo kwa wingi tu.

Kutokana na hali KUBWA YA UNYANYAPAA KISIWANI HUMO, watu wengi hawajitokezi kupima na hivyo hufunga safari hadi TZ BARA KUPIMA.
NA WAKIGUNDULIKA HUWA NI SIRI YAO MOYONI KATU HAWASEMI.

ILA TOTOZ ZIMETULIA MAANA HATA IKIWA NDANI YA BUI BUI UNAIONA FIGURE IMESIMAMA SAAAFI KABISA.

UKIBAHATIKA KUITANDIUA UNAIFAIDI SANA ZIPO TOTOZ ZIMEUMBIKA SANA HUKO.

NA UKIWA MTUNDU KATIKA BED WANAPAGAWA SANA NA KUTAKA HATA KUHAMIA JUMLA ILA KM WW NI BATHLOMEO INABIDI UBADILI UWE SHAIBU HAPO NDIO KAZI KWELIKWELI.:coffee:



Kaka naona umepasua jibu!!!!!!!
 
Mkuu mimi nilifika huko, kila nikijitambulisha jina langu wakawa wananiita mnyamwezi na majina mengine mengi,na mbaya zaidi watoto wa kike hata nikiwasalimia wananchunia. Nikaona isiwe "inshu" nikajiita Makame na kuanza kujilazimisha lafudhi ya kipemba, basi baada ya muda mfupi kidogo kidogo nikaanza kuonekana mwenzao, ingawa sikufanikiwa kumtia kwenye kumi na nane zangu mtoto wa kipemba!!

hahaha!ungefanikiwaje nilivyokuwa nakutolea macho,,,lol!btw,,najua nna kesi but 4gven already,,haha
 
hahaha!ungefanikiwaje nilivyokuwa nakutolea macho,,,lol!btw,,najua nna kesi but 4gven already,,haha

Hahahahaaa, una kesi nzito wewe sijui utamtoa wapi wakili.

Nina wasiwasi na hiyo forgivenss, maana nimekuona kuleee unafundishwa kukataa forgiveness.

Lakini kwa kuwa wewe ni mama wa busara na una utaratibu wa kupanda mlimani, huenda bado neno forgiveness ni valid kwako, tatizo ni kwamba nimejifunza kule kwamba nisisamehe kirahisi rahisi, sasa hapo ndo kazi ilipo!!

anyway, tutayamaliza tu kimya kimya kama juma mchopanga.:coffee:
 
Kuna machalii wanafanya in TOUR OPERATOR flan hapa ARUSHA (husafiri btn zanzibar visiwa) waliwahi kuniambia kuwa PEMBA HAMNA UCHANGUDOA.

Machalii wengine walikwenda kule kwa mradi wa maji (Water engeneers) waliniambia pemba hamna CHANGU ila kuna MALAYA WENGI among themselves.
 
Kuna machalii wanafanya in TOUR OPERATOR flan hapa ARUSHA (husafiri btn zanzibar visiwa) waliwahi kuniambia kuwa PEMBA HAMNA UCHANGUDOA.

Machalii wengine walikwenda kule kwa mradi wa maji (Water engeneers) waliniambia pemba hamna CHANGU ila kuna MALAYA WENGI among themselves.


Kwanza kabisa punguza spidi unapowatamka wahandisi(engineers) ili uende nao sambamba.

Pili unasema malaya wengi among themselves? mbona sijakusoma kabisa unaweza ku-clarify tafadhali.
 
Kwanza kabisa punguza spidi unapowatamka wahandisi(engineers) ili uende nao sambamba.

Pili unasema malaya wengi among themselves? mbona sijakusoma kabisa unaweza ku-clarify tafadhali.
hapo kwenye red ninamaanisha kuwa as waislam wanaruhusiwa kuoa zaidi ya mmoja wanawake wengi wamekuwa wakishiriki tendo na waume wa wengine au vijana wa nyumba jirani kukidhi haja zao.Wanacheat kwa majiran ili kurahisisha kitendo manake kule hamna vigesti bubu kama bongo pia wanaogopa kuonekana wakiingia kwenye hizo nyumba. By the way ni vigumu kwa wanaume wagen kuwapata hawa wapemba.
 
Back
Top Bottom