MAISHA YA PWANI NI SHIDA

MAISHA YA PWANI NI SHIDA

moyafricatz

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2015
Posts
2,904
Reaction score
4,902
Jamaa kagombana na mkewe, akasusa kula[emoji899][emoji510] kurudi kazini kamkuta mkewe amevaa kanga imeandikwa *UKISUSA WENZIO WALA* ilipofika asubuhi mke akavaa kanga imeandikwa *UKITOKA [emoji124][emoji124]MWENZIO ANAINGIA*[emoji126][emoji126] jamaa akagoma kwenda kazini [emoji51][emoji51] mke akabadili kanga na kuvaa iloandikwa *NIMEMDHIBITI NDO MANA HATOKI*[emoji730] jamaa akaenda kuomba ushauri kwa rafiki yake akaambiwa twende nyumbani kwako, walipofika walimkuta mke kavaa kanga imeandikwa *ULIDHANI RAFIKI YAKO KUMBE ADUI YAKO*�� jamaa akaamua kusafiri siku tano ili kupunguza hasira. Aliporudi akamkuta mke amevaa kanga imeandikwa *NI BORA NIMPE JIRANI KULIKO KIOZEE NDANI*
Jamaa yuko ICU!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jamaa kagombana na mkewe, akasusa kula[emoji899][emoji510] kurudi kazini kamkuta mkewe amevaa kanga imeandikwa *UKISUSA WENZIO WALA* ilipofika asubuhi mke akavaa kanga imeandikwa *UKITOKA [emoji124][emoji124]MWENZIO ANAINGIA*[emoji126][emoji126] jamaa akagoma kwenda kazini [emoji51][emoji51] mke akabadili kanga na kuvaa iloandikwa *NIMEMDHIBITI NDO MANA HATOKI*[emoji730] jamaa akaenda kuomba ushauri kwa rafiki yake akaambiwa twende nyumbani kwako, walipofika walimkuta mke kavaa kanga imeandikwa *ULIDHANI RAFIKI YAKO KUMBE ADUI YAKO*�� jamaa akaamua kusafiri siku tano ili kupunguza hasira. Aliporudi akamkuta mke amevaa kanga imeandikwa *NI BORA NIMPE JIRANI KULIKO KIOZEE NDANI*
Jamaa yuko ICU!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
huyo afe huko huko wenzake wajilie kiroho swafi
 
Jamaa kagombana na mkewe, akasusa kula[emoji899][emoji510] kurudi kazini kamkuta mkewe amevaa kanga imeandikwa *UKISUSA WENZIO WALA* ilipofika asubuhi mke akavaa kanga imeandikwa *UKITOKA [emoji124][emoji124]MWENZIO ANAINGIA*[emoji126][emoji126] jamaa akagoma kwenda kazini [emoji51][emoji51] mke akabadili kanga na kuvaa iloandikwa *NIMEMDHIBITI NDO MANA HATOKI*[emoji730] jamaa akaenda kuomba ushauri kwa rafiki yake akaambiwa twende nyumbani kwako, walipofika walimkuta mke kavaa kanga imeandikwa *ULIDHANI RAFIKI YAKO KUMBE ADUI YAKO*�� jamaa akaamua kusafiri siku tano ili kupunguza hasira. Aliporudi akamkuta mke amevaa kanga imeandikwa *NI BORA NIMPE JIRANI KULIKO KIOZEE NDANI*
Jamaa yuko ICU!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
wow
 
Back
Top Bottom