Kama hukuwahi kusomea shule zetu zileee basi kwa namna moja au nyingine utakuwa hufahamu mambo mengi sana
maisha ya shule(msingi na upili) yalikuwa na changamoto nyingi sana ikiwemo kupewa adhabu za kuchimba visiki,kushika masikio, kichurachura ,kuzoa taka ,kwenda na chelewa shule lakini haikuondoa makundi ya watu wafuatao
1.watoro sugu mashuleni
2.wambea
3.watukutu walioshindikana
4.bakibencha kupunguza utukutu
5.makomedi wa darasa hata kama mwalimu yupo darasani
6.watoro wa rejareja kila siku kisingozio kikiwa nilikuwa naumwa
Binafsi nilkuwa nafasi ya 4 na ya 5
Lakini pamoja na hayo wanafunzi hawakufeli na waliendelea na masomo yao zaidi
na kufikia malengo yao walioyatarajia
Je wewe ulikuwa kundi gani katika maisha ya shule kuanzia primary hadi high level
maisha ya shule(msingi na upili) yalikuwa na changamoto nyingi sana ikiwemo kupewa adhabu za kuchimba visiki,kushika masikio, kichurachura ,kuzoa taka ,kwenda na chelewa shule lakini haikuondoa makundi ya watu wafuatao
1.watoro sugu mashuleni
2.wambea
3.watukutu walioshindikana
4.bakibencha kupunguza utukutu
5.makomedi wa darasa hata kama mwalimu yupo darasani
6.watoro wa rejareja kila siku kisingozio kikiwa nilikuwa naumwa
Binafsi nilkuwa nafasi ya 4 na ya 5
Lakini pamoja na hayo wanafunzi hawakufeli na waliendelea na masomo yao zaidi
na kufikia malengo yao walioyatarajia
Je wewe ulikuwa kundi gani katika maisha ya shule kuanzia primary hadi high level