Maisha ya South Africa

Maisha ya South Africa

Feyz

Member
Joined
Oct 28, 2014
Posts
12
Reaction score
2
Wadau habari zenu
Jaman kama mjuavyo Bongo pashakuwa pagumu.. Sasa naomba mwenye kujua Maisha kwa ujumla ya South Africa anijuze..

Nataka kujua maisha ya huko kwa ujumla... Je nafasi z kazi zipo? Mm n mtanzania wa hali ya kawaida.. Je Nahitajika kuwa na kama shilingi ngapi za kuja kuanzia maisha huko?

Kama mnafahamu mafmbo mengine zaid tujuzane zaid..
 
Wadau habari zenu
Jaman kama mjuavyo Bongo pashakuwa pagumu.. Sasa naomba mwenye kujua Maisha kwa ujumla ya South Africa anijuze..

Nataka kujua maisha ya huko kwa ujumla... Je nafasi z kazi zipo? Mm n mtanzania wa hali ya kawaida.. Je Nahitajika kuwa na kama shilingi ngapi za kuja kuanzia maisha huko?

Kama mnafahamu mafmbo mengine zaid tujuzane zaid..
Subiri wadau wa south africa wakujuze mkuu
 
Kabla sijaendelea mbele kwani we unashing ngapi ambazo umekusanya iliuje kutafuta maisha huku.
 
2M kasoro kidogo
Nauli to SA kwa njia ya boaders

Utatoka Dar lilongwe ama Dar Lusaka sijajua bei.

Ukifika lilongwe utalala stand ili kuoko pesa.
asubuhi nenda kakate tiketi ya kwenda Joberg kama laki 3 ama laki 2.5 ya malawi....ambazo sawa na laki 1 ya Tanzania.

Utafika Joberg usilale guest itakugharimu natafuta hostel mtashare rooms na wengine.

Utakuwa unalipa dollar 6 hadi 10 kwa siku......sawa na say 20,000 to 25,000
yetu.
so piga hesabu utakavyodumu.

Note. Njia ya boarders ili wasile hela yako njiani hakikisha una passport kubwa na chanjo yako ya manjano card uwe nayo.

Hakilisha kama unahela za kigeni kama Kwacha ama Rand ama Dollar uwe na risiti zake.....hapo utasafiri kirahisi sana na kwa bei ndogo sana.
 
Mkuu ni kazi ya aina gani hiyo ambayo unaifuata huko sauzi bongo imeshindikana?! Sauzi changamoto ni nyingi kwa wageni hivyo inatakiwa ujiandae kisaikolojia pia. Kwa mtazamo wangu sio sehemu nzuri kama unaenda kuhustle
 
Mkuu ni kazi ya aina gani hiyo ambayo unaifuata huko sauzi bongo imeshindikana?! Sauzi changamoto ni nyingi kwa wageni hivyo inatakiwa ujiandae kisaikolojia pia. Kwa mtazamo wangu sio sehemu nzuri kama unaenda kuhustle
Yes......labda kama anaamua kuwa mzamiaji atabeba box huko
 
Back
Top Bottom