Feyz
Member
- Oct 28, 2014
- 12
- 2
Wadau habari zenu
Jaman kama mjuavyo Bongo pashakuwa pagumu.. Sasa naomba mwenye kujua Maisha kwa ujumla ya South Africa anijuze..
Nataka kujua maisha ya huko kwa ujumla... Je nafasi z kazi zipo? Mm n mtanzania wa hali ya kawaida.. Je Nahitajika kuwa na kama shilingi ngapi za kuja kuanzia maisha huko?
Kama mnafahamu mafmbo mengine zaid tujuzane zaid..
Jaman kama mjuavyo Bongo pashakuwa pagumu.. Sasa naomba mwenye kujua Maisha kwa ujumla ya South Africa anijuze..
Nataka kujua maisha ya huko kwa ujumla... Je nafasi z kazi zipo? Mm n mtanzania wa hali ya kawaida.. Je Nahitajika kuwa na kama shilingi ngapi za kuja kuanzia maisha huko?
Kama mnafahamu mafmbo mengine zaid tujuzane zaid..