Maisha ya urafiki na jambazi la kike chuoni

Kuna siku katoka likizo Arusha kuja chuoni, siku hiyo aliingia mida kama saa saba usiku akiwa na ngeu, michubuko nikamuuliza Vip akasema amekutana na majambazi kama watano hivi usiku huo walitaka kumpora simu na hela ikabidi apambane nao kama lisaa hivi hadi majambazi yakakimbia. Kweli jamani tangu hapo nikaona huyu mtu hafai kuwa rafiki yangu maana kuna siku atanichenjia
 
Nimejikuta nacheka sana hata sijui kwa nini
 
Mapolisi wengi huwa wanashiriki mishe za ujambazi ili wawapate vyema wahusika.
Mengine siwezi ongea hapa, kuna watu tuna fahamiana.
 
Ungefanyiwa recruitment kwenye chama lao,aliona sura yako imekaa kijambazi akaona unawafaa
 
Ila huu uzi unafurahisha😂😂😂😂😂
 
Umenikumbusha demu mmoja wa kujiita mkush naye anasoma sheria ni kama lijambazi alina kiuno
 
Hivi kwa nn arusha kuna majambakuzi yaliyoshindikana embu tupeni kinaga ubaga wajuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…