PSL god
JF-Expert Member
- Nov 18, 2023
- 8,435
- 6,476
Hadi ww tajiri?Uswazi sisi ndio sisi wengine mafisi 😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadi ww tajiri?Uswazi sisi ndio sisi wengine mafisi 😁
Yawezekana hata akiwa mtaani anapata pesa kwa Iie mbinu ya 'tuma kwenye namba hii'Usumbufu usio na tija na kuomba watu hela pm
NaamUswahilini wanaishi mfumo wa kijamaa ambao ni wa kimaskini. Kwa hiyo wanaishi kwa kufArijiana cha mwenzake chake na chake Cha mwenzake... Hayo mAisha Yana uraibu Sana.
Hahaha nimecheka sana ila ndo wale waleYawezekana hata akiwa mtaani anapata pesa kwa Iie mbinu ya 'tuma kwenye namba hii'
Duh!Hahaha nimecheka sana ila ndo wale wale
Hivi mademu wa mule ni bure?Kuna raha yake flani hivi hasa kufaidi mademu wa burebure.
Sasa dem wa kuhonga elfu 10 au 20 anaridhika si ni sawa na bure tu?Hivi mademu wa mule ni bure?
Mbona mi siwapatagi?
Kumbe ww mchawi?Awamu hii naona wamekupiga bani ya maisha mpaka umekuja na ID ya Engonga🤣😂