Maisha ya Wazungu kutoka Zama za Kilimo kwenda Zama za Viwanda

Daisy Llilies

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2019
Posts
1,017
Reaction score
2,158

Wenye viwanda walitangaza kazi na watu kutoka vijijini walihamia katika miji yenye viwanda. Nyumba zilikua na umeme lakini vyoo na bomba la maji vilikua nje.

Kulikua na mabafu ya kulipia na watu wengi wa hali ya chini walimudu kuoga mara moja kwa wiki. Hizi ni enzi za The Poor Law.

Usipomudu kufanya kazi na kujinunulia chakula ulipelekwa kwenye nyumba za masikini. Huko ulitunzwa kama mfungwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…