Maisha yaanza kumnyokea Idris Sultan

sion ubaya was yeye kuajariwa ili hali miradi yake pembeni inaenda vizuri wadau pia kumbukeni hapo choice akipatumia vizuri anapromo deal zake huko huko,go on idrisa
 
kumbe madam hakuzimaliza.
Haka ni kamchezo kakuringishia pipi ya kijiti amfuate tu waongee wayamalize sio ana tumia chambo cha pesa akijua ni ugonjwa wa fulani, Si juzi juzi kuna mtu alipiga yowe hapa katafuniwa hela zake sio huyu kweli?
 
Huyu jamaa ni fix hamna kitu hapo! jamaa hana akili ya kuwekeza hela yote aliyokuwa nayo angefungua radio yake! 500M ameiwekeza kwenye papuchi ya Wema labla kila mwanaume atakaye kuwa anatoka na Wema Sepenga Idris ndiyo anaye pokea malipo!
 


Sasa sisi inatuhusu nini???
 
sion ubaya was yeye kuajariwa ili hali miradi yake pembeni inaenda vizuri wadau pia kumbukeni hapo choice akipatumia vizuri anapromo deal zake huko huko,go on idrisa
Uko sahihi. Si unakumbuka Gadna alivyokuwa ananadi Nyumbani Lounge miaka ile kabla hajamwagana na mwanamuziki wake?
 
Million 500 unaajiriwa? why cant he come up with something tangible and make wonders? i doubt maneno yake!
 
Million 500 unaajiriwa? why cant he come up with something tangible and make wonders? i doubt maneno yake!
Kijana ali jiajiri kwenye kazi ya kuchimba kisima na kukijaza maji ime mkosti na kisima chenye hakijai ila yeye ndio kasafishwa na kuanza kudai eti kuna watu wame mtafunia hela zake,ni swali kwa kila mtu kiasi kama hicho kisha uajiriwe?sio rahisi kuamini ila ndio ukweli.
 
Yalisha myookea sasa hivi ana hesabu hasara tu.
 
Ni mtangazaji au amebuni kipindi ? This nyokaa is not serious at all from owning 500M Na kuja kulipwa kajimshahara Na akina JOE KUSAGA. Sepetu always was asking where is your bank account ? Dead and gone, the lost boy .
 
Hajasema kawekeza kwenye nini, na ni vipi CEO mzima unaenda kuomba ajira ya utangazaji
Kuona kuomba ajira na kuna kufanya kazi kwa hobby na pia mkumbuke yule jamaa ni mchekeshaji na bado anahitaji umaarufu Zaidi ya sasa, Mkumbuke si watanzania wote walokuwa wanafatilia hizi big brother na pia si wote wapo istagram, bado anahitaji umaarufu Zaidi ili ile kazi yake au kipaji chake cha comedy kiende sawa, na njia ya kwenda kuwa mtangazaji ukawa unasikika sikika ndani ya mwaka au miaka 2 akihama steshen tofauti tofauti na hasa clouds inayosikika kwingi baadae mtakuja shangaa, jamaa ana kichwa na malengo yake ni Zaidi unavyomjua ni kajanja kajanja flani.
 
So utajiri hadi unaanzia kwenye umaarufu kwanza?
 
So utajiri hadi unaanzia kwenye umaarufu kwanza?
KABSAA HASA KATIKA MASWALA YA ENTERTAINMENT INDUSTRY, kama ni Mfanyakazi au Mkulima huitaji umaarufu, kama ni mfanyabiashara huitaji umaarufu, ila kama uko kwenye hizo habari za Kwenye hiyo Industry inabidi uwe hivyo tu huna ujanja.
 
KABSAA HASA KATIKA MASWALA YA ENTERTAINMENT INDUSTRY, kama ni Mfanyakazi au Mkulima huitaji umaarufu, kama ni mfanyabiashara huitaji umaarufu, ila kama uko kwenye hizo habari za Kwenye hiyo Industry inabidi uwe hivyo tu huna ujanja.

KUFIKIRI NI KAZI NGUMU SANA NDIO MAANA WENGI TUNAKIMBILIAGA KUHUKUMU TU.

Yaani mtu akikwama kidogo tu eti kafulia, mara oooh kabuma! Binadamu buana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…