Maisha yaanza kumnyokea Idris Sultan

Maisha yaanza kumnyokea Idris Sultan

CEO Wa kampuni yenye faida anahamka SAA kumi kwenda kwenye ajira akitoka SAA nne Na hizi foleni uchofu masaa zaidi ya Saba atakuwa anamtumikia mwajiri wake kama kampuni Yake inafaida kwa nini asisimamie kampuni Yake awe anaenda huo muda Wa kazini ofisini kwake si angekuwa Na mafanikio Mara mbili maisha aya aya tusidanganyane
Maisha sio masihara.....na muda huwezi urudisha nyuma ye......
 
Biashara gani anafanya
Bila shaka itakuwa ya kuchafua mazingira......
Huyu kwa hiyo senti aliyowahi ishika...angewekeza kwenye Ardhi...angalau tujumba uswahilini...angekuwa na wapangaji...uahakika wa sente...na kuacha kudanganya watu kwamba yeye anamafanikio....wakati twaona kabisa anatumwa kazi na watu wa kawaida kabisa.....yeye kwa sasa angetakiwa kutuma sio kutumwa ...ngedereeee.
 
Maisha yamnyookee mara mbili? Alivyopata 500m+ alikuwa hajanyookewa? au Mchwa walimnyoosha wakambakiza empty?
 
Back
Top Bottom