Maisha yako ni biashara yako: Jizoeze kuweka mipaka, huwezi kuwa mwema kwa kila mtu

Maisha yako ni biashara yako: Jizoeze kuweka mipaka, huwezi kuwa mwema kwa kila mtu

Victor Mlaki

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2016
Posts
4,151
Reaction score
4,277
Thamani yako ipo kwenye namna unavyojiwekea mipaka katika maisha yako kulinda nguvu zako, marifa yako na muda wako. Watu la asili yao hupenda kuwatumia wenzao Kwa maslahi yao, ukizubaa utatumika sana na tatizo siyo wanaokutumia ila wewe unayetumika.

Wema siyo kutumika, huwezi kumfurahisa kila mtu. Acha kuishi bila mipaka, zuia wanaonyonya nguvu zako ( muda, akili na muda wako).
 
Don't be a Nice guy.
 

Attachments

  • Here is another one of those words where we get the definitions mixed up. You hear nice guys f...mp4
    3.3 MB
Back
Top Bottom